Kada Wa Chama 🇰🇪

1.7K posts

Kada Wa Chama 🇰🇪 banner
Kada Wa Chama 🇰🇪

Kada Wa Chama 🇰🇪

@Baba_Ntilie

Maisha ndo haya haya Kula vizuri Duniani Vaa Vizuri Duniani Pitia aina zote Za Raha za Dunia.. Mbinguni hakuna kula😂

Kenya Katılım Eylül 2021
202 Takip Edilen159 Takipçiler
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ni raisi gani wa Tanzania ambae ukisikia watu wanamuongelea vibaya huwa unachukia na hata unajaribu kumtetea 1. Nyerere 2. Mwinyi 3. Mkapa 4. Kikwete 5. Magufuli 6. Samia
Filipino
176
36
320
23.7K
britishboe
britishboe@british77boe·
Mfano Usiku umelewa ukaichukua afu Asubuhi unakuja kuamka unakuta umeichapa kavu kavu😂😂kitu cha kwanza unafanyaje??
britishboe tweet media
Indonesia
81
29
325
45.2K
Kada Wa Chama 🇰🇪
Kada Wa Chama 🇰🇪@Baba_Ntilie·
@millardayo Hili Taifa badala watu wawekeze kwenye viwanda watu wapate Ajira, Wanawekeza kwenye kamari waendelee kuwanyonya masikini na Waziri anapongeza🤔🤔
Indonesia
0
0
2
738
millardayo
millardayo@millardayo·
Vunjabei Group chini ya Mtendaji Mkuu wake Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei, leo imezindua rasmi jukwaa jipya la michezo ya kubahatisha lijulikanalo kama Vunjabei Bet, likianza operesheni zake hapa Nchini Tanzania, huku likiwa na mpango wa kupanuka katika Nchi saba za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Akizungumza katika uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Robert Mbwasi, aliyemwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, amempongeza Fred Vunjabei kwa jitihada zake za kutafuta fursa za Kimataifa na kuwekeza Nchini, akibainisha kuwa Sekta ya Ubashiri imeendelea kuwa na mchango mkubwa kiuchumi ambapo kwa mwaka 2024/2025 pekee imeingiza takribani Shilingi bilioni 260. Jukwaa hilo jipya linatarajiwa kutoa huduma si tu ndani ya Tanzania bali pia kuvuka mipaka na kuhudumia masoko ya Nchi saba jirani, hatua inayolenga kuongeza ushindani wa kibiashara na kuboresha huduma katika sekta ya ubashiri wa michezo Katika kufanikisha mradi huo, Vunjabei Group imeingia ubia na kampuni ya Kimataifa kutoka Nchini Italy iliyowekeza katika teknolojia ya uendeshaji wa mfumo huo, huku Kampuni hiyo ya ndani ikichukua jukumu la kuwekeza katika miundombinu, usimamizi na masoko katika Nchi zote zitakazofikiwa Ukuaji wa sekta ya ubashiri umeendelea kuwa kichocheo muhimu cha maendeleo ya michezo Nchini, ambapo kupitia udhamini wa Ligi, Vilabu na matukio mbalimbali, Kampuni za kubashiri zimechangia kukuza Vipaji vya Vijana na kuimarisha tasnia ya michezo, huku uzinduzi wa Vunjabei Bet ukitarajiwa kuongeza ajira, fursa za uwekezaji na ushindani katika Soko la burudani Nchini na Ukanda mzima. #MilladAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
37
22
679
73.7K
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Baba yake mzazi hakupendezwa binti yake kushiriki Miss Kinondoni 2005 bila ridhaa yake, kwasababu alitaka asome kwa bidii ambapo alitakiwa kuingia chuo kikuu mwaka wa kwanza. Kwa mujibu wa Nancy mwenyewe, baba yake alifahamu kuwa anashiriki umisi baada ya kumuona gazetini lakini baadaye akamuacha ashiriki kutimiza ndoto yake na kuanza kumpa sapoti Alifanya vizuri Miss Dar Indian Ocean na Miss Kinondoni. Katika finale za Miss Tanzania mwaka huo baba yake alisafiri kutoka Arusha kwenda Dar es salaam ili kumpa sapoti mwanae huyo. Wakati shindano likiendelea ukumbini, Nancy hakujua baba yake yuko wapi, lakini ilipotangazwa 5 bora yeye akiwa mmojawapo alimuona baba yake akisimama kwa furaha mbele ya ukumbi wanapokaa waandishi wa habari. Baada ya Nancy kutangazwa mshindi wa taji la Miss Tanzania 2005, alimuona baba yake akirukaruka kwa furaha na kupanda jukwaani lakini alizuiwa na mabaunsa. Nancy alimfuata baba yake wakapiga picha pamoja. Anasema baba yake alikuwa na upendo sana kwa watoto wake wote watano na mwingine wa kumlea na aliwapambania wawe na maisha mazuri ikiwemo kupata elimu bora japokuwa baba yake hakuwa na elimu kubwa ila alifanikiwa kwa kupambana kimaisha Nancy aliposhinda Miss Tanzania alizawadiwa nyumba jijini Dar e salaam na hadi sasa amebaki kuwa mshindi pekee wa taji hilo aliyezawadiwa nyumba. Pia anabaki kuwa mrembo pekee wa Miss Tanzania aliyefanya vizuri zaidi Miss World ambayo kwa mwaka huo ilifanyika Sanya nchini China. Aliingia top 6 na kutwaa taji la Miss World Africa 2005. Amekiri kushinda Miss Tanzania kulimfungulia milango ya fursa mbalimbali kimaisha Nancy aliyezaliwa 1986 jijini Arusha na kusoma shule ya msingi na secondary nchini Kenya, baada ya kulitumikia taji Miss Tanzania alirudi chuo akahitimu degree ya kwanza ya biashara chuo kikuu cha Dar es salaam(UDSM), kisha 2023 alihitimu master's degree katika education economic and international development kutoka University College London ambacho ni moja ya vyuo vikuu bora duniani Mrembo huyo kikazi ana majukumu mengi ikiwa ni pamoja na kuwa mjasiriamali, mwandishi wa vitabu, mdau wa maendeleo ya elimu kupitia JengaHub aliyoianzisha ili kuleta mageuzi ya kielimu kwa watoto kupitia teknolojia. Kiujumla Nancy ameonesha mfano halisi wa maana ya urembo na malengo(beauty with purpose) kwa kuweza kujisimamia vizuri kutunza heshima yake, mafanikio binafsi na kuweza kuitumikia jamii vizuri Katika maisha binafsi, mwaka 2016 alifunga ndoa na Luca Neghesti waliyekuwa pamoja muda mrefu, mumewe ni mfanyabiashara pia mwanasiasa, wamejaaliwa mtoto mmoja wa kike. Ni miongoni mwa mahusiano na ndoa za watu maarufu zilizodumu muda mrefu, huonekana pamoja mara kwa mara ikiwemo kufanya mazoezi wakiwa wote Mwenye suti nyeupe ni mumewe siku walipofunga ndoa, na wa upande wa kushoto ni baba yake mzazi, Abraham Sumari ambaye aliaga dunia 2024. FOLLOW @SwahiliRealTalk KWA HISTORIA NYINGI ZAIDI
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
12
27
162
25.3K
Dickson Henry
Dickson Henry@DicksonHen7900·
@SwahiliRealTalk Duu! Huyu Nancy kama angepata neema ya kumpokea Yesu kama mwokozi wake, hakika angefanya mambo makubwa sana. Lakini ndo hivyo tena, maisha bila Yesu ni kama mvumo wa upepo.
Indonesia
3
0
1
577
killo_Killotz
killo_Killotz@killo_killo11·
Jamaaa anawafundisha wasanii wenzake kwamba unaweza ukawa na pesa lakini bado ukaishi maisha ya kawaida.😎
killo_Killotz tweet media
Filipino
21
45
691
39.9K
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Mwandishi 🎤 Nayce unaweza kutuambia kosa gani kimefanya ukatimuliwa TILISHO. Nayce 🎤 Kiukweli TILISHO ni Familia yangu , naumia sana navyoona watu wananisema vibaya na kueneza uvumi 🎤 Sipo tu kwenye kitengo cha Ukondakta kwa sasa ila TILISHO bado nifamilia yangu iliyonilea na kunifungulia Fursa 🎤 Niwaombe sana wanaoendelea kueneza huu uvumi waache mara moja najua ni wivu tu unawasumbua --------------------------------- 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 SEMA HUYU DEMU KAPIGWA VITA SANA AISEEE AFU SIO KIBUNGO DEMU ANA SURA NZURI SEMA TU NDO HIVYO
Headboy wa mtaa tweet media
Filipino
17
20
120
27.9K
Bukayo Shafi🇹🇿
Bukayo Shafi🇹🇿@Bukayoshafi77·
🔴🔵Najua unajua soka bro ila trust me bingwa wa Uefa anatoka upande huu.✍️
Bukayo Shafi🇹🇿 tweet media
17
5
76
1.5K
#FreeNinja
#FreeNinja@_zolendronic·
@Baba_Ntilie Mzee Lowassa alikuwa anasisitiza sana elimu elimu elimu .. namuelewa leo
Filipino
1
0
0
15
#FreeNinja
#FreeNinja@_zolendronic·
Kuna dini inaruhusu mwanaume kumuingilia mkewe kinyume na maumbile?
#FreeNinja tweet media
Indonesia
24
5
39
6K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Oktoba 29, Jaji Othman Chande, amesema suala la upoteaji wa Watu linaendelea kuwa miongoni mwa changamoto kubwa za Kijamii zinazolikumba Taifa pamoja na Dunia kwa ujumla akisisitiza kuwa uzito wa tatizo hilo ndiyo sababu limepewa kipaumbele maalum katika uchunguzi wa Tume hiyo. Jaji Chande ameeleza kuwa takwimu za Kimataifa zinaonesha ukubwa wa tatizo hilo ambapo mtandao wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani umebainisha kuwa kati ya mwaka 2020 hadi 2024 zaidi ya Watu 284,000 wameripotiwa kupotea Duniani kote hali inayodhihirisha kuwa suala hilo si la Nchi moja pekee bali ni la Kimataifa Aidha, ameongeza kuwa hata katika Nchi zilizoendelea Barani Ulaya pamoja na Marekani bado matukio ya Watu kupotea yanaendelea kuripotiwa akitaja mifano ya Nchi kama Ubelgiji na Uholanzi, huku akibainisha kuwa sababu za upoteaji hutofautiana kulingana na mazingira ya kila Nchi jambo linalohitaji uchambuzi wa kina kabla ya kufikia hitimisho. Akizungumza Aprili 28, 2026, katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Nyerere (JNICC), Jaji Chande amesema "suala la upoteaji linatukera sana, ndiyo maana tumeweka kama moja ya vyanzo vya masuala ya Kijamii, pia ni changamoto Duniani kote, Mtandao wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani unasema kuwa kati ya mwaka 2020 hadi 2024, zaidi ya watu 284,000 waliripotiwa kupotea Duniani, hata Ulaya, Watu wanapotea, Ubelgiji, Marekani, Uholanzi na Nchi nyingin, sababu zinatofautiana, hivyo kila Nchi ina vyanzo vyake, kuna viashiria takribani 74 vya aina ya Watu wanaopotea Duniani, hivyo ukitaka kuelewa kwa undani lazima ubainishe chanzo cha kila tukio.” Jaji Chande. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
186
6
213
47.9K
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Sasa hii pisi inaubaya gani? Kuna watu mna changamoto ya afya ya akili we akikupa huyu hupigi?
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿 tweet media
Indonesia
32
15
74
5.1K
Wizard of Oz 🇭🇰 🇰🇪
Wizard of Oz 🇭🇰 🇰🇪@PeteroMaina·
Evidence kwa Kalatas. Why do you guys record your intimate moments with people 🤔 🙄. She cheated with a Mbaba the husband got to see the video. Marriage is broken completely. It can't be repaired.
English
36
58
353
22.7K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Kifo cha mtu gani pengo lake haliwezi kuzibwa kamwe hapa nchini👇👇. 1. Steven kanumba 2. John pombe magufuli 3.Sajuki 4.Ablet mangwea 5. Kinyambe 6.Mzee majuto 7.Edward lowasa. 8. William lukuvi 9. Benjamin mkapa 10.Samu wa ukweli
Suomi
65
13
119
10K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Huyu ni nani haraka haraka!!? Otea proffessional yake😂💔🔥
The champ👑 tweet media
Indonesia
82
45
142
6.6K
RasoulHK🍁
RasoulHK🍁@rasoulHK·
@Dafarida01 Tulia hivyo hivyo kuna nyingine ya Mzumbe imetoka muda huu nakutumia
Filipino
1
0
0
606
Dafarida🥀😌
Dafarida🥀😌@Dafarida01·
Wewe ulie Ntumia Hii Connection ya Dada wa TIA ni mshenzi sana, ume zoom kwenye makovu tu umeacha sehemu zote za maana 🚮
Dafarida🥀😌 tweet media
Indonesia
6
6
15
16.8K
M K
M K@MarryKayoa·
Ukiwekwa style ile lazima shimo lionekane jamani.
Polski
80
23
179
34.3K