𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣

1.2K posts

𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 banner
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣

𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣

@Bendela_Jr

#Born_In_Kilwa, Football fan Of @simbaScTanzania// @ManCityus// @FCBarcelona. Entrepreneur, critical & creative thinker 🧠

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2023
6.9K Takip Edilen3.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣
humu ndani nikiwaletea huu ujasiriamali wangu kutoka bahari ya Kilwa nitapata wateja kweli ...?!😁 📌hapo bado hazijakauka vizuri
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 tweet media𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 tweet media
Indonesia
26
53
170
6.5K
Mr cleansheet
Mr cleansheet@cleansheet_1·
Hivi hawa simba wakichukua ligi au kombe lolote la CAF patakalika kwel Mbon kama ulimbuken mwingi sana
Mr cleansheet tweet media
Filipino
7
7
16
368
deric
deric@derc2323·
YANGA. KUMA Edmundi kuma Chama kuma Diara Kuma Mwalimu kuma Refa. Kuma MASHABIKI WOTE WA SIMBA NA YANGA KUMA🥲🥲
Filipino
78
16
247
17K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
🚨 OFFICIAL: Kikosi cha SIMBA kinachoanza dhidi ya Yanga 🇲🇱 Kassali 🇹🇿 Kapombe 🇹🇿 Kibabage 🇨🇮 Toure 🇿🇦 Rushine 🇹🇿 Kagoma 🇸🇳 Kante 🇿🇲 Chama 🇨🇩 Mpanzu 🇸🇳 Gueye 🇨🇮 Oura
SportsArenaTz tweet media
Filipino
9
7
149
4.9K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
🚨 OFFICIAL: Kikosi cha YANGA kinachoanza dhidi ya Simba 🇲🇱 Diarra 🇨🇮 Yao 🇨🇩 Boka 🇹🇿 Bacca 🇹🇿 Mwamnyeto 🇹🇿 Damaro 🇨🇩 Maxi 🇹🇿 Mudathir 🇨🇮 Pacome 🇹🇿 Dube 🇺🇬 Okello
SportsArenaTz tweet media
Filipino
11
7
173
5.7K
Mshauri wa Engonga
Mshauri wa Engonga@Dee7_Legend·
@Bendela_Jr Maranyingi sana nawaambia vijana, Elimu Cheo pamoja na Akili, hivi ni vitu tofauti kabisa.. unaweza kuwa na elimu kubwa tu lakini akili yako ikawa inazidiwa na Mtu alieishia Darasa la Nne..
Indonesia
1
0
1
14
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 retweetledi
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Ukiona nina repost tweet yako sio kwamba nakushobokea NO kwa sababu nakuchukulia wewe kama familia yangu na cycle yangu ya humu hivyo na wewe usiache yangu ukiiona TL.
Indonesia
12
54
116
3.1K
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 retweetledi
Ismail
Ismail@Mofey203·
Naomba repost yako familia 🔥🔥👊💯 Hili Tank La Sinoray Mayai Leo Nalitupa Kwa Bei Ya Ofa Lipia 100K Kikupe Complete Na Mfuniko Wake. Location Arusha Ngusero Mwisho Wa Bajaji No 0627379558
Ismail tweet media
Filipino
9
55
65
1.9K
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 retweetledi
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
JINSI YA KUJIBADILISHA KUWA BORA NA KUFANYA WATU WAKUOGOPE NA KUKUHESHIMU Tumia Hizi Mbinu 11 Za Kivita Ambazo Huwezi Fundishwa Shuleni. Zingatia Namba 5 Ni Muhimu Sana👊!! Fungua (Coment) THREAD//UZI🧵👇🏾
MWANAHISABATI tweet media
Indonesia
7
28
58
5.7K
𝕓𝕖𝕟𝕕𝕖𝕝𝕒 𝕛𝕣 retweetledi
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
Tunapo sema hawa jamaa ni mashoga Tuna maanisha kwamba Serikali zao zinawalinda watu hao kwa sheria. Kuunga mkono ushoga mara nyingi humaanisha serikali kutunga sheria za kulinda haki za watu wa LGBTQ+ si lazima kuhimiza, bali kulinda dhidi ya ubaguzi. Kwahiyo ukitaka kuwatetea watu hawa kwa kusema mbona Sehemu fulani mashoga wapo Naam uko Sahihi ila Swali linakuja 👉 je! Serikali yao inawaruhusu Wafanye Ushoga? Hapa chini Nimekuekea Orodha ya nchi ambazo zimetunga sheria zinazolinda au kuruhusu wazi mahusiano ya jinsia moja kama ndoa au haki za kiraia. Kwahiyo unapokuja kuleta Utetezi wako kwa watu ambao wana ulinzi kutoka katika Serikali zao lazima Na wewe Tukuhesabu ni miongoni mwao hao. Tuanze na Ulaya 👉Ujerumani 👉Ufaransa 👉Uhispania 👉Uholanzi (ndio wa kwanza duniani 2001) 👉Ubelgiji 👉Uswidi 👉Norway 👉Denmark 👉Finland 👉Ireland 👉Uingereza 👉Ureno 👉Austria 👉Switzerland Tunakuja Nchi za Amerika Kaskazini na Kusini 👉Marekani 👉Canada 👉Mexico 👉Brazil 👉Argentina 📯Chile 👉Colombia 👉Uruguay 👉Costa Rica Tunakwenda Nchi za Asia-Pacific 👉Australia 👉New Zealand 👉Taiwan wa kwanza Asia 👉 Israel Tunakuja Nchi za Afrika 👉Afrika Kusini Pekee barani Afrika ndio Nchi Imeruhusu ndoa ya jinsia moja (Ushoga+ Usagaji) PIA KUNA NCHI ZINAZO LINDA HAKI LAKINI SI NDOA KAMILI Hapa serikali zinalinda dhidi ya ubaguzi, au kuruhusu. Mfano 👉Italia 👉Jamhuri ya Czech 👉Hungary ina ulinzi mdogo lakini pia ina vikwazo 👉Japan baadhi ya miji. NCHI AMBAZO SERIKALI HAZIUNGI MKONO NI KOSA AU HAZILINDI KAMA UNABISHA KUA SHOGA ALAFU TUONE KAMA UTALINDWA. 👉Tanzania 👉Kenya 👉Uganda 👉Saudi Arabia 👉Iran 👉Qatar Na zingine zote za Kiarabu Katika nchi hizi, Sheria zinapiga marufuku mahusiano ya jinsia moja, Hakuna ulinzi wa kisheria Dhidi ya watu hao. Adhabu inaweza kuwa kali hata kifungo au zaidi Naomba Niishie hapa Ila Tambua kama Wewe ni shoga au ndugu yako ni shoga katika Mataifa haya ambayo hayana Sheria za kuwalinda mashoga Basi huyo ndugu yako au wewe mwenyewe unafanya makosa kama makosa mengine kwa sababu sheria haikulindi. Cc Chotara Mweusi
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚 tweet media
Indonesia
5
4
13
2.8K