
@EsirEid @godbless_lema Kwenye kipengele cha tajiri kuiona pepo ni bora ngamia kupenya tundu la sindano....wangewaongeza wanasiasa,na watawala....kuiona pepo ni bora ngamia kupenya tundu la sindano
Indonesia
mkaanani
4.6K posts

@BenjaminiKeneth
send message link unaweza kunitumia story,connection,tangazo,kupitia link belowa https://t.co/xXEa1hOxvc






Michezo ya Kausha Damu inamaliza sana watu uko Mitaani. Apo Buguruni kuna tukio limetokea jamaa ni dereva wa daladala kuna nyumba amepanga anaishi na mke wake, kwenye hiyo nyumba kuna dada amehamia hapo hata miezi mitatu bado tena amehamia na mume wake. Huyo dada aliyehamia




Bashungwa awaagiza Polisi kuimarisha doria mitandaoni kudhibiti wanaotaka kuvuruga amani na utulivu wa nchi "Sasa hivi wahalifu wengine wamehamia mitandaoni, kama ambavyo mnafanya doria za mitaani, tuimarishe doria za mitandaoni."







