Bin Muhamady

3.5K posts

Bin Muhamady

Bin Muhamady

@BinMuhamady

PATRIOT AGENT

Katılım Eylül 2019
4.5K Takip Edilen291 Takipçiler
Vunga
Vunga@VungaEl74·
IRAN IMEBIDI WAWE WALPOLE TU , Elewa neno Mapendekezo ansante. MAPENDEKEZO 10 YALIYOTOLEWA NA IRAN LEO APRILI 7, 2026 kama counter-proposal kwa mapendekezo ya kusitisha vita na Marekani/Israel. Mwisho wa kudumu wa vita sio kusitisha kwa muda mfupi tu katika eneo lote. Dhamana za usalama kwamba Iran haitashambuliwa tena na Marekani au Israel. Kukomesha mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon na washirika wengine wa Iran katika eneo hilo. Kuondolewa kabisa kwa vikwazo vyote (sanctions) vya Marekani na kimataifa dhidi ya Iran. Kukomesha migogoro yote katika eneo pamoja na Iraq, Yemen, n.k. Itifaki ya usalama wa kupita protocol for safe passage kupitia Strait of Hormuz, ikiruhusu Iran kudhibiti au kutoa sheria. Kufungua tena Strait of Hormuz kwa meli, lakini kwa masharti. Kutoza ada ya takriban $2 milioni kwa kila meli inayopita kugawanywa na Oman. Msaada wa kujenga upya (reconstruction) wa miundombinu iliyoharibiwa na mashambulizi, kupitia mapato ya ada au fidia. Mwisho wa uhasama na kurudi kwa mazungumzo ya amani ya kudumu, pamoja na kukubalika kwa urutubishaji wa nyuklia wa Iran na mambo mengine. Wamekubali TRUMP SIO OBAMA AU BIDEN 😅😅😅
Vunga tweet mediaVunga tweet media
Indonesia
14
5
19
1.8K
Rodrick Mwazembe
Rodrick Mwazembe@Mwa77031Rodrick·
@ayubu_madenge Hata kama itapatikana cease fire ya kudumu, Iran kashavunjwa miguu, it's proxies kama Hamas, is no more, Hesbollah iko hoi, nchi imebaki magofu tu, viongozi wengi wameuawa, so what then
Indonesia
6
0
3
657
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Ukiacha yote yaliyowapata, ila Iran imejifunua kwa dunia na watu ambao walikuwa hawaielewi sasa wameitambua vizuri. Iran sio nchi nyepesi kabisa, hawa jamaa ni watata, Iran imejengwa kwa uongozi na mipango madhubuti, pia imejengwa na watu wataalamu wanaoipenda nchi yao.
Filipino
34
25
371
6.3K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Mnajua kama SPEED bado anavaa bendera ya kenya (Kacha) mkononi mwake? Na atakuwepo kwenye Wrestlemania 42 in next 12 days pale VEGAS? Mania 42 ndio tukio kubwa linalofuatiliwa zaidi duniani la kimichezo. Kenya inaendelea kupeperushwa kimataifa BURE.
Indonesia
11
43
686
11.6K
daniel hanuka📟 🇮🇱
daniel hanuka📟 🇮🇱@LionsOfZion_ORG·
Meanwhile in Gaza, Hamas 'freedom fighters' are busy enforcing their version of freedom on the people of Gaza. Pretty sure all the pro-justice demonstrators will be thrilled to see this.
English
53
375
774
20.9K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mwenye akili humtukuza Mungu, lakini mpumbavu humkufuru bila kujua anajidhuru mwenyewe. Kumkufuru Mwenyezi Mungu ni ishara ya moyo uliojaa kiburi na akili iliyopotea.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
37
94
617
15.7K
Arsen Ostrovsky
Arsen Ostrovsky@Ostrov_A·
🔴 Devastating news! 2 bodies recovered after Iran missile strike on Haifa home overnight, 2 still missing.
Arsen Ostrovsky tweet media
English
109
14
128
5.4K
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Kuna dalili ya kadi nyekundu kwa hili papatupapatu
Indonesia
14
0
70
4.7K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
“Tutarudi nyuma sana kama tutaendekeza UCHAWA. Na mataifa mengine watatuzomea sana. Tukiwa na critical mind tukaambizana UKWELİ tutasonga mbele. Lakini kama tutasifiana tu, tunapotea”. Askofu Stephano Musomba wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
22
128
1.1K
17.9K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Did you that Africa is equally divided into Islam and Christianity
Tanzania Abroad TV tweet media
English
6
3
24
2.2K
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
Hii ni Chinook, ni moja ya Takataka mbele ya Iran. Tecnolojia hii ukiipeleka Iran haichukui sekunde 15 Tazama ilivyo fanywa baada ya kujaribu kuipeleka Katika mipaka ya Iraq na Iran Kumuokoa Rubani wao. Alafu anakuja Mtoto mdogo anasema Marekani ilipeleka helikopta zao Ndani ya Iran zikamuokoa Rubani wao na kuondoka nae. Jamani jamani Mnafichwa mengi.
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚 tweet media
Indonesia
6
3
68
5.7K
Tanzania Abroad TV
Tanzania Abroad TV@AbroadTanzania·
Siku zilizoongezwa kwa Tume ya MO29 zimeisha, kwanini wanakaa kimya kama wameongeza tena siku?
Polski
5
19
168
5.5K
TEKU 🥇
TEKU 🥇@kamchetki·
@privaldinho Mango huna kazi za kufanya nini? Sasa hapa unataka kubishana nini? Kwamba hujui UK ina ma PM wangapi? Acha kupotezea watu muda
Indonesia
1
0
0
306
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Sawa ufalme ni nini na una faida gani kwa Uingereza? Kwanini huo ufalme usifanywe kidomekrasia pia?
Ray Asel@rayasel94

@privaldinho Ufalme sio serikali, serikali ya Uingereza inaongozwa na prime minister

Filipino
11
1
35
5K