Msamaria

74 posts

Msamaria

Msamaria

@BlasiMark

Tomorrow is going to be okey

Katılım Aralık 2021
53 Takip Edilen1 Takipçiler
Msamaria retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Je, wale waliopoteza viungo vyao vya mwili? Waliokatwa masikio? Waliogongwa misumari miguuni? Waliofanya ukatili wa kutisha kama kulawitiwa wakati wakimtetea Mzee MBOWE akiwa mbunge wa HAI, wamepewa faraja au kuombwa msamaha? Wengine walilazimika kutelekeza familia zao na kuwa wakimbizi kwa kuhofia usalama wao. Hali hii inajenga picha kuwa Mzee MBOWE ameweka maslahi yake binafsi mbele na kusahau gharama kubwa waliyolipa wafuasi wake. Hii ni dhihaka kwa watu wote ambao waliwahi kuamini katika njia zake. Hii inatuogopesha ambao tumewahi kumpambania hadharani. Hata hivyo, SABAYA anatakiwa kuomba msamaha mwenyewe, siyo kuombewa msamaha. Kimsingi, msamaha ni jambo la kibinafsi na la kimaadili kati ya mtu aliyekosea na yule aliyekosewa. Msamaha wa kweli unahitaji sauti ya mkosaji mwenyewe.
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
189
411
1.8K
88.6K
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@mwigulunchemba1 Kwa manufaa ya umma wote watanzania hili swali ingejibiwa hapa
Indonesia
0
0
0
73
Mwigulu Nchemba, PhD
Mwigulu Nchemba, PhD@mwigulunchemba1·
Hujambo ndugu, nimepokea swali lako. Tafadhali nipatie mawasiliano yako ili niweze kupata ufafanuzi zaidi na kulifuatilia ipasavyo.
Hancy Machemba@hancymachemba

Mh waziri mkuu @mwigulunchemba1 mchumi na msomi hasa. Naomba kujua kwann serikali inapambana sana kuinua wananchi wake na wakati huo huo Kuna baadhi ya taasisi za serikali zinauwa uchumi wa watu hao hao? Unakuta supplier anadai tasisi kwa miaka pengine mtaji kakopa bank.

Filipino
90
52
496
146.7K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Haya sasa! Kama wewe ni MHITIMU WA CHUO KIKUU na mpaka sasa HUJAPATA AJIRA, basi MAGEREZA wametangaza FURSA hapo 👇, Ila SHARTI ni kwamba; ni LAZIMA UWE MFUNGWA. Hii itasaidia KUMALIZA tatizo la UKOSEFU WA AJIRA. Changamkieni FURSA.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
9
7
61
5.8K
Eazy E
Eazy E@ImmvReal22·
@BlasiMark @HecheJohn Hospital,Barabara, maji nk, ni hivi hivi ambavyo tunaviona au Kuna vingine vinajengwa?hospital hizi hizi ambazo watu wanakosa dawa,maji haya haya ya kutoka kwa shida na Kuna vijijin havina maji, Barabara hizi hizi za mchongo au?
1
0
0
13
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crowne. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa gari!!! Yaani gari Machuma yote, engineering iliyopo pale kwenye gari unanunua bei sawa na ushuru wa mtu ambae amekaa ofisini tu na anakuchaji hela yote hiyo!!!! Wakati mwingine kodi zinakua bei juu kuliko manunuzi!!!! Huyu kijana awe mkulima au mfanyakazi, anafanya kazi ngumu sana kupata hiyo fedha, then inachukuliwa hivi… Alafu baada ya mda CAG anasoma ripoti kwamba uwanja ulitakiwa kujengwa kwa bilioni 187 baadae ukajengwa kwa bilioni 337.. Mara umekaa unaambiwa kuna eti Waziri anatumia gari binafsi ya bilioni 2, unajiuliza mtumishi wa umma ametoa wapi bilioni 2 kununua gari na mshahara wake unafahamika, au anamiliki nyumba tano za thamani ya bilioni tatu, nne au tano… aniliki mashamba ya mabilioni, amempa mama mkwe wake nyumba ya bilioni tano na gari la kutembelea la milioni 500. Pesa zote hizi za mlipa kodi anaeumizwa kiasi hiki na mzigo wa kodi… Hapa nimesema magari tu, Ukienda kwenye kila kitu kinachoingizwa na kutoka Nchini ni mzigo wa kodi na maumivu kwa Mwananchi.. Na mwisho wa siku badala hizi fedha zitumike kwaajili ya maendeleo yetu zinaishia kwenye mifuko ya vibaka. Hakuna barabara, hakuna maji, hakuna umeme.. Maisha magumu , mishahara duni hasa kwa walimu na manesi. Hatuwezi kukubali kuwa watumishi wa vibaka wanaopora mali za umma.
John Heche tweet media
Indonesia
238
641
2.3K
136.9K
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@ImmvReal22 @HecheJohn Ukipangilia vizr resilimali tulizo nazo tutakuwa na viwanda vingi tutaacha utegemezi mkubwa wa kuagiza bidhaa
Indonesia
0
0
0
12
Eazy E
Eazy E@ImmvReal22·
@BlasiMark @HecheJohn 3.matumizi ya rasilimali yanahusiana vipi na Importation taxes ya bidhaaa kutoka nje?
Indonesia
1
0
0
13
Eazy E
Eazy E@ImmvReal22·
@BlasiMark @HecheJohn Kwa hiyo unaona ni sawa kitu chenye thamani ya 10m kiwe na Kodi 10+m?
Indonesia
1
0
0
5
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@ImmvReal22 @HecheJohn Unaelew maana ya matumizi sahihi za resilimali ? Unaelewa maana ya sera nzuri za kiuchumi ? maswali Yako nimejibu Kwa IQ kubwa ndio MAANA unapata shida 😂
Filipino
3
0
0
19
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@juma118505254 @HecheJohn Hyo ndio hoja yetu ya msingi tujiulize kama WANanchi wa kawaida tuna wajibu gani Kwa viongozi wanaonekana kufanya matumiz mabaya ya Kodi zetu
Indonesia
0
0
0
13
juma
juma@juma118505254·
@BlasiMark @HecheJohn Kodi huwa zipo ila vip kuhusu matumizi sahihi ya raslimali tulizonazo katika kumpunguzia mwananchi mzigo wa utitiri wa kodi??
Filipino
1
0
0
13
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@ImmvReal22 @HecheJohn Kodi unayolipa ndiy hyo inayokuletea hospitali, Barbara,maji nk,, kwhy Hela unayolipa ina rudi kwako na Kwa ndug zako huko kijijini ,,jambo la msingi tukiwa na sera nzuri za kiuchumi na matumiz sahihi ya resilimali zetu ,tunaweza kupunguza mrudikano huu mkubwa wa Kodi
Filipino
2
0
0
27
Eazy E
Eazy E@ImmvReal22·
@BlasiMark @HecheJohn Sawa Kodi ni lazima,Je uliona wapi Kodi inakua same price ya manunuzi mzee?hawa jamaa hawataki viwanda kwa sababu hizo Kodi za magari zitalipwa na nani?
Indonesia
1
0
0
34
Majengo SS Jamal
Majengo SS Jamal@Jengos_mss·
@juma118505254 @BlasiMark @HecheJohn Kuendeshwa kwa kodi ndio utoze 200% ya bei ya manunuzi Embu fikiria unanunua gari mpaka kufika bandarini imekula m10 halafu kuitoa bandarini mpaka uipate mikononi m 10 Sidhani kama kuna nchi ina aina ya kodi na ushuru kiasi hicho Kwa hesabu yyte ile haiwezi kuzidi manunuzi
Indonesia
2
0
0
64
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@nyamweziempire @EduTalkTz Mm ni mwalimu Kwa uzoefu wangu watoto tunawapokea zaidi ya asilimia 90% wanauwezo mdogo San wengine hata kusoma hawezi kwahivyo unachokisema ndio kinacho fanyika ,, kuhus hyu dad mama ni mcharuko hivo je mtoto akili atazitoa wap ?
Filipino
0
0
0
17
Maalim
Maalim@nyamweziempire·
@BlasiMark @EduTalkTz Huyu dada anahoja nzito ili itwe shule lazima ionyeshe uwezo wa kumnyanyua mwanafunzi kutoka zero to above
1
0
0
19
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Nikiwa Moro Sec niliwahi kupinga sana hili jambo. Ililetwa hoja kwamba kila mwanafunzi anapopata “A” mitihani mikubwa kuanzia Mock mpaka NECTA, Mwl wa somo apewe pesa. Nikauliza, na anapopata F je? Vipi mwalimu anayewatoa watoto kwenye F kwenda D, C?
Filipino
13
26
129
10.6K
Dickson Henry
Dickson Henry@DicksonHen7900·
@EduTalkTz @BlasiMark "Mdomo una haraka kuliko ubongo"🙂 nimeyapenda matusi ya ulaya ni soft sana Kumbe ulikuwepo moro sec Vijanawangu wapo pale siku nikiwatembelea huko nitakutumia picha ya jengo la mortuary, sikuhizi mortuary pameboreshwa sana kuna ofisi nzuri, car wash, marehemu wana enjoy sana😉
Filipino
2
0
0
71
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@juma118505254 @HecheJohn Nitajie nchi moja tu duniani inayoendeshwa bila Kodi? jibu haipo ,,,Tukiwa na sera nzuri za kiuchumi na matumizi sahihi ya resilimali huu mrudikano mkubwa wa Kodi utapungua siyo kuondok kabisa ,, badala yake tunakuwa na mfumo wa Kodi ambao siyo wa moja Kwa moja Kwa mlajii
Indonesia
1
0
0
56
juma
juma@juma118505254·
@BlasiMark @HecheJohn Vip raslimali tulizonazo kaka haziwezi kutusaidia mpaka tuminyane na kodi na tozo tu.
Indonesia
3
0
0
73
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@godbless_lema Na kutaka kutukuzwa kama miungu watu ,, kiubinadamu tu mtu UTU wa mh lisu uko wap ,amepigwa risasi ,ameitwa mhaini😭 binafsi naamini mh lisu Yuko nyuma ya nondo za gereza kwasababu ya umma watanzania siyo kwasababu ya kulinda heshima yake
Indonesia
0
0
0
63
Msamaria
Msamaria@BlasiMark·
@godbless_lema Siasa haijengwi juu ya heshima au utu wa mtu mmoja, bali hujengwa juu ya maslahi, nguvu ya taasisi, na makubaliano ya jamii ,mh Lema ni wewe uliyetufundisha siasa ni maisha ya watu ,,mh Lema ni wewe uliyetufundisha tuko hapa kwasababu ya viongozi wa binafsi waliojali heshima Yao
Indonesia
1
0
2
2.3K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Nimeona watu kadhaa ambao ni hatari sana kwa heshima ya Mh Lissu, wengine ambao walikuwa wanasiasa mashuhuri na wanaishi Dar, na hawajawahi hata kukanyaga mahakamani, ghafla wamekuwa “mashabiki” wa uhuru wake kwa spinning ya hoja ambayo inatengenezwa kumshushia heshima yake. Mh Lissu ana heshima kubwa sana kisiasa nchini kuliko mwanasiasa yoyote. Kama risasi na jela zilitumika kummaliza zikashindwa, mkakati mpya sasa ni kujaribu ku–scale down heshima yake iliyojengwa juu ya misimamo inayobeba haki. Kazi hii inafanyika kwa bidii sana. Hata hivyo, mkakati umekosewa mpaka sasa, maadui zake hawakupaswa kutoka kuwa wapambe wake ghafla.
Indonesia
49
288
1.5K
58.3K