
Deo Ryoba
21.2K posts





Kila mtu ajue na ninarudia Tume ya Chande haikulenga kubaini ukweli bali kupindisha ukweli na kumsafisha aliyeiunda licha ya kwamba kila mtu anajua chanzo cha uovu huo ni CCM na serikali yake haramu na dhalimu. Tume hiyo ni batili kutokea kuundwa kwake, kazi yake ni haramu, na zao lake ni haramu. Hakuna chochote kinachofanywa na time batili na haramu kinaweza kuwa halali. Hivyo, yeyote anayekubali kuunga mkono maovu yaliyotokea na kubariki kazi haramu ya tume hiyo haramu ni msaliti wa wote waliouawa na wadhalimu hawa. Yeye na vizazi vyake vinne wamejilaani. Mungu Wetu Mwema hadanganyiki na atatoa adhabu yake kwa wakati wake.


Hata waongo nao huzeeka. Huyu aliwezaje kuwa jaji Mkuu?









Lissu akiendelea kusalia na huuuuu msimamo kwamba bora abaki gerezani kuliko kufanya maongez ya maridhiano kwa taifa nitaamin kabisa afai kuwa kiongoz mkuu wa nchi maana msimamo kama huo nimsimamo wa wanaharakat sio kiongoz bado pengo la mbowe nitakuwa wazi nakukosa wa kuziba

Naomba kuungana na mdau mmoja aliehoji Hivi @ChademaTZ2 tangu kuanzishwa kwake 1992 kwenye taifa letu letu ni nini cha maana wamewahi kukifanya kwenye jamii? maana hata ofisi tu zimewashinda kujenga 1.hatujawahi kusikia wala kuona wamejenga hata choo shuleni 2.hatujawahi kusikia wala kuona wametoa msaada kwa makundi maalum. 3.hatujawahi kusikia wala kuona wakitoa elimu wala uwezeshaji kwa vijana yani hata kwa kushirikiana na sponsors wao ili wawape vijana exposure. 4.hatujawai kusikia wala kuona wakiunga mkono lolote lenye manufaa kwa Taifa. Anauliza Mdau (Mwisho wa kunukuu)


Fikiria wewe ni mwanachama wa chadema na ni Wakili wa Chadema pia ni Wakili wa Lissu ambae kwa Mwaka mzima sasa unajitolea mahakamani kwenye kesi ya Lissu, Halafu ghafla hivi unaona viongozi wa Chadema wanakukataa na kisha wanakuzushia uongo wa kiwango hiki. Poleni sana mawakili wasomi Michael Mwangasa, Hekima Mwasipu, Dokson Matata, Paul Kisabo, Nashon Nkungu, Fredrick Msaki, Deogratius Mahinyila nk, Utumishi wenu ndani ya Chadema na katika kesi ya Lissu sisi wanasiasa tunaujua, Mmetusaidia sana sana kwa miaka yote tukiwa Chadema, Tuliamini hata tukiondoka mtaendelea kuheshimiwa na kuthaminiwa, lakini bahati mbaya chama kwa sasa kiko na wanaharakati uchwara wasiojua la mwadhini wala la mnadi sala. Hiyo ndio Chadema ya Wanaharakati haina dogo inaweza kudhalilisha yeyote na kumfedhehesha, Fungukeni akili achaneni na hao wahuni, heshima mliyonayo mnaweza kusimama bila kujiegemeza kwenye hicho chama! Kwa sasa sehemu salama kwenu ni @ChaummaT tu Na Yericko Nyerere
















