
@Sisimizi3 Sasa kama ww chawa leo umeshanga madudu aliyo fanya huyo afisa sisi manguchiro tusemaje aiseeee watu wanapo sema hawo hawastahili kuwepo hapo muwe mnaelewa aiseeee mnazidi kututia aibu ama taifa kwa vitendo vya hovyo mnazidi kufanya ndo wana wamekalia kutukana watu na kuua
Indonesia




























