iam_panditi🇹🇿

6.1K posts

iam_panditi🇹🇿 banner
iam_panditi🇹🇿

iam_panditi🇹🇿

@DadytzP

@ChelseaFC 🇬🇧⚽️ @SimbaSCTanzania 🇹🇿⚽️ EastAfrica_Kid 🙍🏾‍♂️

Kilimanjaro, Tanzania Katılım Temmuz 2019
602 Takip Edilen646 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
iam_panditi🇹🇿
iam_panditi🇹🇿@DadytzP·
Msanii pekee ambaye namkubali tokea nimeanza kujitambua yaan namkubali kinoma noma Asee ni @bill_nass ndio msanii wangu namkubali iwe jua iwe mvua Tokea nilipoanza kumtambua kwa ngoma ya #Chafupozi huyu jamaa dah hajawahi niangusha kabisa @bill_nass Mimi ni Shabiki yako🙌 🔥🔥
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Indonesia
2
6
20
0
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
LEO UKIWA UNALALA JARIBU HIZI NGOMA ZA DON WILLIAMS NA KENNY RODGERS UTANISHUKURU.... -The Gambler – Kenny Rogers -​I Believe in You – Don Williams -​Lady – Kenny Rogers -​Tulsa Time – Don Williams -​Islands in the Stream – Kenny -Rogers (with Dolly Parton) -​You're My Best Friend – Don Williams -​Lucille – Kenny Rogers -​Lord, I Hope This Day Is Good – Don Williams -​Coward of the County – Kenny Rogers Good night...🌃
English
10
35
80
2.4K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Ig @william_andason
Ig @william_andason@WiliamAndason·
Hakuna Stage Ngumu Kwenye Maisha Kama Kutafuta Mtu sahihi Wa Kuoa. Wakuu nyie Mmewezaje..?
Indonesia
42
48
396
15.5K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Now Days Kugonga Mke wa Mtu ni Rahisi Mno kuliko hawa Mademu Walio Single Aisee..,💔🚮
Filipino
78
42
405
45.1K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mwanamke ndie mtu ambae anapata risk nyingi kutokana na sex na madhara kwake ni makubwa kuliko kwa mwanaume. But, wanawake wameamua kutokuwa waelewa na kuzingatia hilo kwa kuhisi wako sawa na wanaume. Ona. Nani anapata ujauzito kwa sababu ya sex? Nani ana uwezekano mkubwa wa kufukuzwa shule kwa sababu ana mimba? Nani ana uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha yake kwa sababu ya kutoa mimba? Nani anatumia dawa hatari kama vizuizi vya uzazi na P2 ili kuepuka mimba? Nani anadhalilishwa na kuitwa majina machafu kwa sababu ya sex? Nani anabeba vinasaba (DNA) vya mwenzake baada ya sex? Nani ana uwezekano mkubwa wa kuwa mgumba kwa sababu ya maisha yake ya zamani ya uzinzi na utoaji mimba? Lakini kwa namna fulani, wanawake bado wanaamini kuwa wanaume na wanawake ni sawa linapokuja suala la sex na kwamba matokeo ya sex yanapaswa kuwa sawa kwa jinsia zote mbili. Nature imethibitisha kuwa wanawake ndio wanaopata hasara kubwa zaidi linapokuja suala la sex kabla ya ndoa, lakini waache wanawake waendelee kubishana kwa sababu ya kupenda kwao usawa na kuachia nyeti zao kwa tamaa za pesa na maisha mazuri. Wanawake wanajiharibu wao baadae wanajuta. Ila mjue malaya hashauriwi. Hiyo ndiyo sababu kubwa siwezi kumhurumia mwanamke aliyeharibikiwa kutokana na uzinzi wake ambao upo monetized. Endeleeni kujilinganisha na wanaume linapokuja suala la sex. Tuone ni nani atakayepata maumivu ya matokeo yake mwisho wa siku.
Filipino
17
27
142
6.9K
Lenzo Mnyama
Lenzo Mnyama@MnyamaLenz11357·
Nasikia kimoja 200k Kuna ukweli apa?
Lenzo Mnyama tweet media
Filipino
30
9
213
26.6K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Fabrizio Romano
Fabrizio Romano@FabrizioRomano·
🚨💙 Moisés Caicedo when asked about Real Madrid looking for a midfielder: “I want to become a Chelsea legend”. “I’m under contract at Chelsea and my focus is on #CFC and Ecuador”, told @elchiringuitotv.
Fabrizio Romano tweet media
English
2.3K
5.9K
57.2K
1.8M
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
𝗪𝗮𝗺𝗰𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼
Kiburi Kinauwa Uwezo Uvivu Unaua Malengo Hasira Inauwa Heshima Wivu Unaua Amani Hofu Inaua Ndoto
Indonesia
16
88
292
5.5K
iam_panditi🇹🇿
@__Masstown Wanapata posho kwa promo wanazofanya kwao sio hasara kwako ndio hasara kuwafata 😂😂😂
Filipino
0
0
5
416
EL SUKAYO 🇹🇿
EL SUKAYO 🇹🇿@Elsukay0·
🚨TOP 5 YA MIKOA YENYE VIJANA WENYE PESA Kwenye hii mikoa unakuta dogo wa miaka 25 ila tayari yupo financially free 1. Mara Tarime nyamongo 2. Geita 3. Mbeya chunya 4. Shinyanga kahama 5. Songea Tunduma
Indonesia
25
25
153
7.9K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
Kuna muda utafika katika maisha yako ambapo baadhi ya watu watajuta kwa nini walikutendea vibaya. Niamini, hakika siku hiyo itafika.
Indonesia
11
65
273
4.2K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Ukishazaliwa mwanaume kazi unayo hata kama huna.
Filipino
17
88
568
11.2K
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
🚨Mshambuliaji hatari wa costal union Adam Paul salamba (26 yrs) amefunguka kuwa bado anayo nafasi kubwa ya kupambana na kutimiza ndoto yake ya kucheza kilabu kubwa barani ulaya real Madrid ya Spain, pia amesema covid 19 ilinirundisha nyuma sana kisoka kwani ilikatisha dili la👇
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Filipino
19
16
262
18.7K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
Alikiba
Alikiba@OfficialAliKiba·
RADIO is KING, To all my EAST AFRICA people “FINALE” got an exclusive release on your fav radio station, Tune in 📻 🔥!!!! South Sudan, Zambia, Malawi we got you.
Alikiba tweet mediaAlikiba tweet mediaAlikiba tweet media
English
15
67
338
9.8K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi
KAPETO🇹🇿
KAPETO🇹🇿@kapeto98·
Hakuna Stage Ngumu Kwenye Maisha Kama Kutafuta Mtu sahihi Wa Kuoa. Wakuu nyie Mmewezaje..?
Indonesia
90
77
691
30.1K
iam_panditi🇹🇿 retweetledi