@privaldinho@SheriaNgowi East timu ni moja tu ilofika fainal na ndo kubwa inayojulukana na dunia,
Kama una bisha leta picha ya timu yako ilofika hatua hii, KILA NIKIANGALIA HII CLIP, NAPATA IMANI TIMU YA KWANZA TZ KULETA KOMBE LA CAF NI YANGA
Jezi ya Yanga ndio jezi ya vilabu iliyotumika kwenye wimbo rasmi wa AFCON 2024. Imevaliwa na zaidi ya watu wawili kwenye video. Kumbuka AFCON haihusiani na vilabu lakini jezi yetu ipo. Tukisema sisi ni klabu ya Taifa muelewe. We are Young Africans. Asante @SheriaNgowi
Nimeambiwa hizi Kanuni klabu wenyewe huwa wanapitisha, kuna sehemu nimechoka sana.
YANGA kapita mlango tofauti kapigwa MILLION TANO halafu SIMBA aliyechelewesha mchezo kwa dakika nne na kumpa tabu mwenye haki za matangazo katozwa MILLION MOJA.
Kanuni wamepitisha wenyewe😀
Ratiba ya Yanga imekabana sana, Taifa Stars wanacheza DSM Novemba 21 kisha Wachezaji wake watasafiri kuelekea Algeria 🇩🇿 wana mechi ya klabu bingwa November 24, mbanano sio poa.
Vaa uzi wa nyumbani wa Timu za Taifa tukutane Benjamin Mkapa Jumanne Novemba 21, 2023 @TaifaStars_ v Morocco baada ya mchezo na Niger kesho, jezi zinapatiikana maduka yote ya Sandaland na Yenga Classic.
#MtokoWaTaifa
Try Again ameahidi Simba Kuwa katili kwenye Dirisha la Usajili lijalo.Thats very Good
Kwenye Football ni ngumu Kuacha Magugu na Ngano vikue Pamoja.Ni Muhimu Kutoa Magugu na Kuacha Ngano ili Kutengeneza Mazingira mapya ya Ushindani Simba SC
A BREATH OF FRESH AIR
Shirikisho la Kimataifa la Historia ya mpira wa miguu na takwimu Duniani (IFFHS) limeitangaza Yanga kuwa ni Klabu namba nne kwa ubora Afrika na Simba SC namba 12.
Takwimu hizi ni kwa kipindi cha kati ya September 01, 2022 hadi Augst 31, 2023, huku vilabu namba moja ni Al Ahly ya Misri na Wydad Casablanca ya Morocco.
#MillardAyoSPORTS
KHALID AUCHO AMEFUNGIWA MECHI TATU NA FAINI YA 500,000/= KWA KOSA LA KUMPIGA KIWIKO IBRAHIM AJIBU KWENYE MCHEZO DHIDI YA COASTAL UNION.
Huku pia Kamati imemfutia kadi ya njano Charles Semfuko wa Coastal Union, wakidai hakustahili kadi.
🚨 KISA USHIRIKINA, YANGA KULIPA MILIONI 5
Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh 5,000,000 (miliano tano) kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi katika mchezo dhidi ya Simba SC.
@Mzeewajambia Wanafki wakubwa mbona kwa linonga hukuongea, mbwa ni mbwa tu, bodi ya l8gi hata wakiwafungia wachezaji wote wa Yanga,YANGA unashinda tu, tunajua hizo ni hasira za kuwapiga 5G, nyoko zenu
SWALI;Kwanini Khalid Aucho ameadhibiwa tena na Kamati wakati alionyeshwa Kadi ya Njano?
JIBU; Kamati haitoi tena adhabu kama angeonyeshwa Kadi Nyekundu kwa tafsiri ya Double Punishment
Kadi ya Njano ni onyo tu na sio adhabu ✅
Simba wamempata kocha mkubwa Sana na mwenye profile Kubwa ,mpeni nafasi afanye kazi yake Viongozi mtekeleze majukumu yenu ni mambo yote ya kiufundi muwe kama washauri tu sio waamuzi.
Simba SC leo wamepata tuzo ya kuwa na Mashabiki bora katika michuano ya African Football League baada ya mchezo wa fainali kati ya Mamelod na Wydad.
Tuzo hiyo Mashabiki bora wa Mashindano imetolewa na Shirikisho la Soka Africa CAF na kupokelewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, Salim Abdallah Muhene maarufu kama Try Again.
#MillardAyoUPDATES
Akiwa na umri wa miaka 36 @coach_rulani anabeba superleague. Natamani sana taifa letu lizalishe profile ya kocha kama huyu kwa maana ya umri, exposure na determination
🎯Kitendo cha Simba kutwaa tuzo ya mashabiki bora katika michuano ya AFL inaakisiwa na kazi kubwa anayoifanya Ahmed Ally katika hamasa. Mashabiki wa Simba wamewaacha mbali mashabiki wa Yanga.