Dioniz
7.7K posts

Dioniz
@Dioniz__
Pharmacist |Gymit| Waves don’t Die
Don Puerto Katılım Şubat 2019
2K Takip Edilen2K Takipçiler

Kwaya ikiimba kumuombea Dionizi na wenzake waliopotezwa katika Mkoa wa Rukwa. Hiyo ndiyo hali ya maisha katika nchi yetu kuteka, kunyanyasa, kupoteza na kuua watu imegeuka kuwa kitu cha kawaida. Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania inatoa hakikisho kwa haki ya kuishi na kupata hifadhi ya maisha kwa kila mtu, ajabu yake haki hii sasa imegeuzwa kuwa hisani kutoka kwa Wababe na Wadhalimu walio madarakani.
Filipino

@rosemgandi @ivymuthe There should be a condition on that reply somewhere 😂😂
English
Dioniz retweetledi

@Dioniz__ Uzuri unajua Dio hakuna mtu yupo kumkandamiza mwingine.
Indonesia

@Dioniz__ @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ I made a mistake ila nilikuwa namanisha hivyo ahsante sana mkuu we learn together.
Filipino

@AdvocateKondele @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ Mamlaka hazipokei plan ya jengo au ramani
zinapokea maombi na kufanya First na second inspection.
Kwa ngazi ya ADDO ukaguzi hufanywa na Kamati ya Chakula na dawa (Ward Food and Drugs Committee), baada ya hapo hupelekwa ngazi ya wilaya , mkoa hadi kufika baraza la famasi
Filipino

@Dioniz__ @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ Ndomana nimesema plan mkuu ya jengo lako. Au ramani ndo itaeleza kuwa Lina ubora gani ahsante.
Filipino

@AdvocateKondele @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ kwenye mabano uliweka (Pharmacist)
sio kila mwenye taaluma ya famasia ni pharmacist
Indonesia

@Dioniz__ @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ Mzee nimesema cheti Cha muuzaji lazima awe na elimu ya mambo hayo Kam anaitwa hvyo sawa lkn muuzaji lazima awe na elimu
Indonesia

@Miss_caren12 @AdvocateKondele @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ kwenye ADDO aneuza ni mtu mwenye cheti cha ADDO
ambae ni mhudumu aliepatiwa mafunzo ya ADDO
Kwenye pharmacy anaeuza ni Dispenser, Pharmaceutical Assistant, Pharmaceutical Technician na ngazi ya juu ni Pharmacist
HT

@Dioniz__ @AdvocateKondele @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ Kwenye ADDO anaeuza ni yupi
Na kwenye phamarcy ni yupi
HT

@AdvocateKondele @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ usisahau vigezo kama distance from another pharmacy na Standards of a premise.
hivi vyote ni lazma vizingatiwe
HT

@AdvocateKondele @Miss_caren12 @Labella_Mafia95 @Lizzie36021 @bahati_amosi @DullahTheking2 @NiftyStringZ17 @Masakajunior1 @Exquisite_255 @shiggaJr @Ambele_Young @GoodluckMalekoJ wakili
kama ulimaanisha duka la dawa muhimu (ADDO), basi muuzaji si mfamasia
mfamasia hahusiki kwenye ADDO.
Hata kwenye pharmacy pia mfamasia sio muuzaji.. ni superintendent
Indonesia

@deus_mathew hapa issue ipo kwenye LATERAL ENTRY
India mtu mwenye Diploma anaanzia mwaka wa pili degree.
Wakati utaratibu wa registration (provisional au full) ni mtu aliesoma angalau semester 8.
Indonesia

Mtu aliemruhusu mwanafunzi kwenda intern anamzuia kufanya mtihani? Au nimeelewa vibaya?
Na kama yeye alimruhusu kwenda intern sababu gani anaitoa ya kumzuia kufanya mtihani wa leseni??
Bonge La Afya@BongeLaAfya
Kuna hiki kitu wenzetu wa baraza la famasia mnatuangusha sana. Mtanzania mwenye diploma kaenda India kusoma degree ya Pharmacy, kamaliza, kafaulu. Karudi Tanzania, TCU wakamtambua, nyie kama baraza mkamtambua, mkampeleka intern, serikali ikamlipa mwaka mzima. Kamaliza intern unamnyima mtihani, hutaki kumsajili, hiki ni nini tena asee?
Indonesia

@igy_bm23 @fundo_baraka upo sahihi daktari
ingawa sheria ina loophole moja.. Pharmacy inaweza kuanzishwa halafu maabara ikafwata, lakini ikianza maabara -pharmacy council hua hawatoi kibali cha kufungua pharmacy eneo hilo.
Indonesia

@fundo_baraka Kuna ka document flan mwana alinipa 😂😂
Nimeuza
Kuna distance kabsa inabs uzingatie 😂
Filipino

Sema ideal
Protocol ina kataza uwepo wa maabara binafsi sehemu moja na famasi
Sema ndio bongo daslam
CoCo🍫@YourFrenchFry
Ukishaona maabara afu kuna kapharmacy pembeni 😅😅 tumia za kuambiwa na za kwako
Indonesia













