dCpills
1.4K posts


Hii hapa nyingine kubwa kutoka Msimbazi kuja kwako Mwanasimba kindakindaki.
Sasa unaweza kuwapa burudani wakupigiao kwa kufanya goli la Chama dhidi ya mtani kuwa muito wa simu yako. Nani kwenye simu yako unatamani awe wa kwanza kukutana na goli lile la mwaka wa mbele? 😄 #NguvuMoja

Indonesia

Unamfahamu Haruna Nionzima vizuri au una tweet kwa mihemuko
Farhan Kihamu Jr@FKihamu
Haijawahi kutokea kwenye historia ya Ligi Kuu Bara Mchezaji kama Clatous Chota Chama, The Greatest ever.
Indonesia

@AlexSamoja Na hakikubalii kumshtak jamaa iyoo ndio itakua interview yake ya mwsho kumfanyia player wa kiume
Indonesia

Kuna namna Toxic Feminist tukiwaendekeza watatuletea Dunia ya wanawake inayochukia wanaume, Pichani ni mchezaji Jean Mateta akifanyiwa Interview, kwa furaha ya ushindi alijikuta anamkumbatia Mtangazaji Olivia wa TNT. Baya kuliko Feminist wameanza kumshawishi Olivia afungue kesi ya Kudhalilishwa kushikwa bila ridhaa yake. Zuri kuliko Olivia amesema ni jambo la kawaida haoni shida kukumbatiwa kwa furaha kama vile, najiuliza tu ni mara ngapi wadada wanatukumbatia wanaume tena anakuja anakimbia Alex Waooh, Waooh, na hatujawahi kuhisi ni udhalilishaji, ila ukimkumbatia mwanamke Feminist wanachora mstari wa GBV.
Feminist ni mbwa ✍️

Indonesia

@90Princewill Hey @PuntrrAi please change this WJ4TGK to the safest 400 odds without removing any team.
English

@ChiefGodlove666 Leo ndio nmegundua kumbe X inaruhusu mtu kuandika hivi😂😂😂😂😂
Indonesia

Kuhusu issue ya tunduma watu kupoteza sehemu zao za siri ukweli ni huu hapa kwanza nianze kwa kusema Tanzania ni nchi yenye vijana wapumbavu wajinga wasiokua na akili hakuna mtu anaweza iba sehem za siri katika maisha yangu nimekataa ujinga na umaskini kinachowatesa watu wa tunduma ni ujinga na umaskini kukosa akili mtu watu wanapigwa wanaumizwa waganga na wachungaji wapate hela eti katokea mtu anasema yeye ndo amechukua sehem za siri za wenzie ila Hawezi kurudisha mpaka aitwe mchungaji furani pekee ndo anaweza kumuombea sehem za siri zirudi upumbavu kabisa hakuna uchawi hapo wala nini ni genge la wahuni wakishilikiana na wazee wa fursa wakucheza na akili za watu wanataka kumuingiza mganga na Mchungaji kati aombee ionekane tatizo katatua watu wa tunduma msiuane kijinga kijinga mnaua nduguzeni sababu ya mjinga mmoja anapiga hela ndio maana niliandaa program ya kufundisha maisha na kuwapa ukweli wa dunia mimi nimefanikiwa nikiwa na umri mdogo napesa magari na kilakitu sababu sio mpumbavu kiingilio cha darasa langu niliweka laki tano Wacha niongeze kidogo iwe hata million sitaki wajinga wajinga waingie na waujue ukweli wa dunia utabaki mjinga Kama utagoma kujifunza mpumbavu mmoja ko na WEWE unaamini sehem za siri zinapotea ausio pumbavu kabisa Tanzania vijana washamba sana ndio maana kenya na Uganda VIJANA wadogo wanahela hawaendekezi ujinga ujinga wakipumbavu tusipobadilika vijana wa Tanzania tutaendelea kuishi kwakusingizia watu wengine na serikali wakati mchawi wa maisha yetu ni SISI wenyewe vijana wa Tanzania kweli tunapitwa hela na vijana wa kenya 🇰🇪 haya tuache kenya Uganda kweli Uganda ikawe na mabillionaire wadogo tanzania ukinitoa mimi hakuna kuna pumbavu pumbavu penda umbea shenzi mimi mnaniuzi


Indonesia

@NMweusi85571 Mwachenii sinyorita wangu.... zinaua hadi baskeliii road mamb n mengi
Indonesia

Arusha na Mbeya hazikupaswa kuwa majiji
O.m.B.o.i@just_toksik
.i do not know what were the reasons behind zilizofanya waone Arusha inastahili kuwa jiji honestly nada.
Indonesia

@Sativa255 Nimegundua bongo makaria wachache saana yaana unapewa mkeka wa odds76 unaweka jero. Kweli???
Indonesia

@shaffihdauda1 Sasa unauhakika gani amefariki kama mwili haujapatikana ndugu mwandishi.
Eesti






















