Sabitlenmiş Tweet
Ndekule C.E.O
13.4K posts

Ndekule C.E.O
@DwayneDedan
Mastering Procurement & Supply Chains 🌐 | Cargo Tally Pro 📦 | Global Shipping Aficionado 🚢 | Cultivating Modern Rice & Tobacco Farmer 🌾 I 🚬 to serve the 🌍
Mara, Tanzania Katılım Temmuz 2014
1.4K Takip Edilen1K Takipçiler

@sheebecky @kasesco_tz Majengo ya Musoma mvua kubwa ikinyesha panakua jaruba la mpunga
Indonesia

@Rehemawilliams1 @ThomasJosephat3 We ujawai Lima mbona hizo gunia za kawaida Sana
Indonesia

@Mazikuagric @ThomasJosephat3 @AbdallaZanzibar Hii pia ilinitokea mwaka juzi ila mpunga ulivyoaanza kufunga wakaanza kusema natumia ndumba kuja kuvuna gunia 29 kwa Eka kabisa wakasema nimeroga maana wengi kule ulikuwa ukivuna Sana Eka 1 ni gunia 15 unaonekana mkulimA haswa
Indonesia

@ThomasJosephat3 @AbdallaZanzibar Mi nimewahi kupigwa mawe kisa kupanda kwa msitari oya watu hatari ila nakaza Ivo Ivo mafanikio yanakuwepo
Indonesia

@AbdallaZanzibar @ThomasJosephat3 Na ndo best way kuhudumia shamba sema Kuna mda wakulima tunakuwa wabishi sana
Filipino

@AbdallaZanzibar @ThomasJosephat3 Kachukue wafungwa ni gharama nafuu na unapanda pakubwa ni bajeti yako tu
Filipino

@ThomasJosephat3 Hiii Kupanda kwa Mistari ni Best Way shida sisi kwenye Mashamba Yetu huko Utatafuta watu Wilaya Nzima hutapata mtu 😀
Indonesia



Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya kifo cha ndugu yetu, Mhe. William Lukuvi, ambaye nimepata heshima ya kufanya naye kazi kwa karibu ndani ya Bunge kwa kipindi cha miaka kumi, kuanzia mwaka 2010 hadi 2020.
Katika kipindi hicho chote, nimemfahamu kama kiongozi mzoefu, mahiri, na mwenye hekima kubwa katika utumishi wa umma. Alikuwa si tu mwakilishi wa wananchi, bali pia alikuwa sura ya Mkoa wa Iringa kwa muda mrefu—akisimama imara kulinda maslahi ya watu wake na taifa kwa ujumla.
Iringa leo imepoteza kiongozi shupavu na sauti muhimu ya maendeleo. Taifa kwa ujumla limepoteza mtumishi aliyekuwa na uzalendo wa dhati na moyo wa kujitoa.
Kwa niaba yangu binafsi, napenda kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, na wananchi wote wa Iringa. Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Asante kwa utumishi wako, Mhe. Lukuvi. Tutakukumbuka daima.

Indonesia


















