
@Mr_pikipiki @mgunda_d Wewe unatangaza tuu biashara yako tuu, kuwa na boda nyingi hivyo ni ngumu kuzisimamia labda ufanye zile za kukopesha kama wanavyofanya WATU au Mo dewji ila hii ya hesabu kwa siku huwezi Fanya kwa zaidi ya boda 70
Kumanage watu 70 unahitaji HR accountant sio mtu moja peke yako
Indonesia
























