ENGINEER

1.8K posts

ENGINEER banner
ENGINEER

ENGINEER

@EngineerMbwa

art of thinking

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2021
329 Takip Edilen296 Takipçiler
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@Mr_pikipiki @mgunda_d Wewe unatangaza tuu biashara yako tuu, kuwa na boda nyingi hivyo ni ngumu kuzisimamia labda ufanye zile za kukopesha kama wanavyofanya WATU au Mo dewji ila hii ya hesabu kwa siku huwezi Fanya kwa zaidi ya boda 70 Kumanage watu 70 unahitaji HR accountant sio mtu moja peke yako
Indonesia
1
0
1
62
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@Flyboytz26 @Mr_pikipiki Sijaona wakipiga hesabu ya kumlipa mtu anayezisimamia hizo boda, Mo anao ma manager na watu wengi sana wanamsaidia. boda 70 inabidi kuwe na watu wakufuatilia, hawezi kufuatilia peke yake biashara ya boda 70.
Indonesia
1
0
1
127
YP
YP@PeterLearns·
@INFLUENCERjr @EngineerMbwa Supplier wakubwa wa mafuta yanayoingia hapa nchini wanatumia njia hiyo. Then sisi tunanunua kwao. So wakiwa affected tunakua affected. Though bado sielewi kwa nn gharama imepanda haraka kiasi iko na kuna reserve.
Filipino
1
0
2
209
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Ni 20% tu ya mafuta yote duniani ndio yanapita kwenye mlango wa bahari wa Strait of Hormuz (ambao upo chini ya Iran). Inaamanisha kuna 80% yanapita njia nyingine salama sasa inakiwaje Dunia inakumbwa na uhaba wa mafuta kwa kukosa 20% tu?
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
45
17
412
31.7K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@prossoff Makampuni ya kubeti hawajali wewe utabetije ila hao washikaji wanalipwa zaidi watu wakilose mikeka kwahiyo jamaa inabidi ahakikishe anawashawishi watu kubeti ila pia waliwe sana kuliko kushinda
हिन्दी
1
0
5
343
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Wageni humu kinachoendelea ni kwamba; BARAKA anasema hawa waandaa matreni ni wanafanya kazi na makampuni ya betting. Kwamba Mikeka kudondoka ni mipango ya wakamaria wakuu wanaoandaa treni. Kwamba Wakamaria wakuu wanaoandaa matreni wanalipwa kutokana na mikeka kudondoka. Wakamaria wanapinga vikari shutuma hizo na ndio kitu kinachoendelea. Chagua upande wewe ila usisahau kuoa mwanamke bikira na kama ushaoa slightly used virgn kumanyoko zako.
Indonesia
96
68
787
37.2K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@barakawamb Una ushaidi wa kufanyika kwa hayo kwa report ya mwaka Jana ? Unajua yoyote aliyewajibishwa kwasababu ya report ya CAG ya mwaka Jana?
Indonesia
0
0
0
36
BarakaWambura
BarakaWambura@barakawamb·
Nimesikia makelele ya upotoshaji kwamba kwanini Rais Samia hajachukua hatua dhidi ya watu waliotajwa kwenye ripoti ya CAG. Hii hapa elimu ndogo: CAG hutoa ripoti kwa Rais kwa mujibu wa katiba, wajibu wa Rais ni kuipokea na kuisambaza rasmi ili iendelee na hatua zinazofuata, na hafanyi maamuzi ya moja kwa moja kisheria na kiutawala juu ya watu waliotajwa. Rais baada ya kupokea ripoti inapelekwa bungeni, ambapo kamati za bunge kama PAC na LAAC huichambua ripoti, na wahusika waliotajwa huitwa ili kujieleza, na mapendekezo hutolewa, na si kawaida Rais kuchukua hatua hapo hapo. Baada ya hapo Rais na mamlaka zingine kama TAKUKURU huanzisha uchunguzi ikiwa hao watu watabainika katika tuhuma hizo, hatua kama kusimamishwa kazi zinachukuliwa kiutawala lakini huwa sio hukumu ya mwisho. Acheni kupotosha umma,eti angekuwa Magufuli angechukua hatua maramoja, ni wapi katika utawala wake aliwahi kupokea na kufanya maamuzi hapo hapo.
BarakaWambura tweet media
Indonesia
25
16
36
12.7K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@Joesottes Nina GPA nzuri, CV yangu imekaa poa, Nina jibu maswali vizuri na nipo smart afu nanyimwa kazi kisa nimekunywa maji anapewa mwengine!!
Indonesia
1
0
15
3K
𝚂𝚘𝚝𝚝𝚎𝚜 Ⓡ
Watu wakienda kufanya interviews, huwa wakipewa maji wanahisi wanaoneshwa ukarimu kumbe ile nayo ni interview mojawapo.
Indonesia
14
20
483
36.7K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@zoetjesheeftX Hiyo ni sisi tulikuwa tunahesabu kuanzia asubuhi saa moja yetu ni asubuhi saa 12 yetu ni jioni mzungu akaja yeye anahesabia kuanzia saa sita usiku saa moja yake ni usiku saa 12 yake ni mchana. Uandishi tukachukua kwa mzungu muda tukaendelea na ule ule wa kwetu
Indonesia
0
0
0
159
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@KennedyMmari Kwasababu ulikuwa una copy na kupaste tafuta uliyotoa kichwani au prepare yoyote uliyofanya mwenyewe uone kama itakuja hiyo percentage
Indonesia
0
0
0
101
Zirconium 🦷 💉💊️.
Zirconium 🦷 💉💊️.@a_madembwe·
@Balyx_ @Gaspinho15 Matangazo yamehamia kwenye Digital platforms ( Influencers ) ndyo wamekuwa watangaza biashara. 2. Mishahara Mikubwa baadhi ya wafanyakazi + malimbikizo 3. Watangazaji wengi hawana Vyeti Bodi ya idhibati inataka waende shule Hizo ndyo sababu kubwa 3 za media kufa
Indonesia
4
0
29
2.6K
Balyx
Balyx@Balyx_·
Maishani mwangu sikuwahi kutegemea kama media house especially ya Tz ambayo 80% ya content zake ni Uchawa na Ushoga inaweza firisika. Kwani hizo promos za kila siku Walikua wanafanya bure? Alafu mdau kwenye toys zake akipush toy moja pale si ashaclear? Au hausiki?
Indonesia
15
19
414
27.4K
War Monitor
War Monitor@WarMonitors·
⚡️#BREAKING INSANE video of the Iranian missile impacting in Dimona, Israel
English
242
2.3K
12.5K
595.1K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@Aruatani Unakufa road kisa raisi anawahi uzinduzi wa albamu ya Zuchu
Indonesia
0
0
0
20
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@MaxTz255_ Nilikuwa najua ni nguruwe tuu kumbe mpaka kuku!!
Indonesia
0
0
0
182
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Nikweli Broiler wanapewa ARV's?
Polski
10
4
40
5.6K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Katika hii video Kamanda wa Kikosi cha Basij cha Iran, Gholamreza Soleimani alisema: “Israel ina uwezo wa kupigana kwa siku 10, na Marekani ina uwezo wa kupigana kwa siku 30.” Hata hivyo, Israel imemuua Soleimani katika siku ya 18 ya vita.
Indonesia
9
17
132
10.7K
ENGINEER
ENGINEER@EngineerMbwa·
@chapo255 Na mostly wanauliza maswali kutokana na post za msanii Instagram
Polski
0
0
0
93
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Unasikiliza interview nyingi za media unagundua watangazaji wengi ni weupe sana kwenye taarifa ndio sababu wanakosa maswali thabiti ya kuuliza wasanii na watu maarufu.
Indonesia
18
30
379
12.6K
Buba9️⃣9️⃣
Buba9️⃣9️⃣@massuidentity·
Kati ya watu waliojichagulia wazazi na Taivina yupo. Jamaa ana wazazi wanaomsapoti jamaa adi kwenye betting sio maza sio mshua. Mzee wake Anamwita Taivina mashine ya kazi😂🙌🔥 Sasa njoo wewe sasa kamuombe mzee wako stake uone kama hajakupiga panga yule dingi mkurya. TAIVINA🙌
Filipino
8
15
166
12.2K