Explorer

1.9K posts

Explorer banner
Explorer

Explorer

@Exp_l0rer_

Katılım Eylül 2022
1.9K Takip Edilen859 Takipçiler
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@Mrkongajr Mr Blue_Pesa Wakali Kwanza_Natamani Fid Q ft Matonya_Usinikubali haraka Ben Pol_ Pete Jordan ft Mirror, Ngwea_Bila wewe Kidumu_Haturudi Nyuma Barnaba ft Beka, Amini_Natumaini AY_leo Bob Junior_Oyoyo Top C_Ulofa Pasha_Hidaya Mwana fa ft Alikiba_Kiboko yangu
Indonesia
1
0
0
50
MRKONGA
MRKONGA@Mrkongajr·
Throwback Thursday. - Matonya ~ Tax Bubu. - Benpol ~ Nikikupata. - Fid Q ~ Sihitaji Marafiki. -Prof Jay ~ Kipi Sijasikia.
Indonesia
2
6
17
441
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
Sema hii ngoma nazidi kuiona kali, kila nikiisikiliza.... 🙌🏽 Baaad ni Mtaalam sana 🔥
Dullah_theKing🎧 tweet media
Filipino
17
36
261
6.5K
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@Makaveli_255 Kwenye huu ulimwengu wa Chatgpt unatoa challenge za namna hii...😅
HT
0
0
0
49
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@fezoomaster Sidhani kama wana mkimbia....Ni kama mtoto anavyoondoka nyumbani anapoona mda wa kujitegemea umefika na anaweza kujimudu...
Indonesia
0
0
0
121
fezoo
fezoo@fezoomaster·
Kwa nn wasanii wanamkimbia sana msanii wenu Almasi ?? au anawanyonya sana na mikataba yake ??
Filipino
10
20
115
3.8K
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Grok ni mdau wa Chudai, alafu anatoa baraka eti 😂😂
Spana & V.A.R Movement tweet media
Filipino
94
31
633
176K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Wateja wangu muda huu wakiniulizia kioo cha simu gani hapo 😅
kasesco☆ tweet media
Indonesia
6
9
59
3.2K
🍂
🍂@VisitMarangu·
@Exp_l0rer_ @goeroben @spana_Konki Umepambania sana na suala la 'kujiamini' kwamba nikimuuliza alikua anaongea na nani sijiamini? We ni mjinga.. mke/mpenzi ni jukumu langu kama mwanaume wake kufahamu vitu ambavyo nakua na mashaka navyo. Hiyo ndo maana ya kua kiongozi/eader wa mahusiano. Sio fashion show hiyo.
Indonesia
1
0
1
53
Waziri Wa Mbeya
Waziri Wa Mbeya@waziri_mbeya98·
Why water is normally used as coolant in many machines?? Hata Hili Swali Kuna Watu Watakosa?😃🙌👇
Eesti
6
16
76
1.2K
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@goeroben @spana_Konki Sina maana iyo bro.....Nadhani rudia kusoma tweet ya mdau aliye tweet... Utanielewa zaidi.... Kuna mambo ya kuuliza lakini sio kuhusu kuwa busy na mazungumzo ya simu....
Filipino
1
0
1
127
Malimi
Malimi@goeroben·
@Exp_l0rer_ @spana_Konki Kwahyo kwako kulinda mahusiano ni kukalia kimya kila kitu? Yaani hapo ndio unajiona uko matured na ata kushika simu NO.😂 What if unamahusiano na malaya utajuaje Sasa? Au unadhani malaya hawana serious relationships? Insu sio kuwa insecure, inshu ni kuhakikisha unamtu sahihi.
Filipino
2
0
1
130
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@Brother_0101 Mwanamke hutulia sehemu ambayo anaona nafsi yake inapata amani/imeridhia... Maana yake hapo mwamba ndiyo anaforce mambo...akili ya mwanamke haipo kwake....
Indonesia
2
0
4
276
Movie Plug🎬
Movie Plug🎬@MoviePlugHQ·
Nimewahi kulala na mwanamke wa mtu bila kujua. Kiufupi alinambia yupo single.. nikaamini kwa mashaka lakini. Baadae jamaa (msela wangu nisiyesemanaye sana) akanicheki eti nimekula Demu wake💔. Nikaongea na msela, kiroho safi yakaisha. Tukasameheana. Ajabu jamaa akamrudia huyo Demu aliyemcheat kwangu. Umejifunza nini kupitia huu MKASA.?😅
Indonesia
6
4
58
2.5K
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@jawsootz2007 @spana_Konki Hapana bro.... Mfanye mwanamke wako "Awe na hofu ya kukupoteza" usi force mambo hapo ndiyo tunapo fail....
Filipino
1
0
2
211
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@goeroben @spana_Konki Mfano kakujibu "nilikuwa na mazungumzo na watu wa nyumbani", What next?.. Ukiwa hujiamini na mahusiano yako ndiyo pale unaanza kupanic/kufoka, mtu akiamua kukucheat anakucheat bro. Kuuliza uliza sio njia ya kulinda mahusiano, zaidi ya kuonesha udhaifu kwamba hujiamini.
Indonesia
2
0
2
284
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@kishoka_ @spana_Konki Nyie ndiyo kila siku tunakuta confession zenu kwenye anonymous "mara mwanamke wangu kafanya hivi, mara imeenda imerudi" huwezi mchunga mwanamke kama mbuzi, utaishia kupiga yowe tu kila siku.....
Indonesia
0
0
0
258
Explorer
Explorer@Exp_l0rer_·
@chapo255 Hii inanikumbusha nilivyokuwa primary moja Ngoma ya Top C _ Ulofa, iliskika sauti ya Kiba mule, je ni kwamba alikiba aliandika Ulofa?
Indonesia
0
0
0
339
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Kwenye siasa ya muziki, Baba Levo kuvujisha video inayoonesha Diamond akimsaidia Mbosso kuandika ‘PAWA’ wimbo mkubwa kwenye EP ya ‘Chumba #3’ japo Mbosso mwanzo alikataa hii inamaana kubwa sana! Watu wa Cuba kama Polepole washaelewa! If you don’t get it, forget about it.
SANUKAnaCHAPO tweet media
Filipino
70
37
903
74.8K
ABD
ABD@SamataJr_12·
@Makaveli_255 Na ile kuingia uwanjani Fainal ya world cup imemchafua sana kibiashara
Indonesia
2
0
26
4.3K
Dullah_theKing🎧
Dullah_theKing🎧@DullahTheking2·
Hii Umeisikia Mkuu??? Kama ndio unaiRate vipi {0-10} 🤔 Kama bado fanya kama unaipa Sikio Mkuu 👊🏾
Dullah_theKing🎧 tweet media
Indonesia
24
22
239
70.6K