Lusoz lusoz

49 posts

Lusoz lusoz banner
Lusoz lusoz

Lusoz lusoz

@FLusoz

baddfidy

Katılım Nisan 2019
156 Takip Edilen5 Takipçiler
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Ebwana mayai yana viini viwili? Aisee sikuwahi kuona
Sandton, South Africa 🇿🇦 Suomi
54
32
333
0
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Tatizo kocha au wachezaji?
Sandton, South Africa 🇿🇦 HT
393
27
944
0
Nipashe Tanzania
Nipashe Tanzania@Nipashetz·
#VIDEO Mwenyekiti wa Kamati ya Ushindi ya Stars na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametua Cairo muda huu kuongeza hamasa kwa timu hiyo ambayo kesho itaikabili Kenya katika mchezo wa pili wa Kundi C wa Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (Afcon 2019).
Indonesia
6
4
81
0
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Mbunge wa Arusha Mjini @godbless_lema alisema haya mapema, mlipaswa kumsikiliza, tusingelikuwa hapa. Rais @MagufuliJP wapinzani wako kisiasa sio maadui zako, wasikilize, walikupa ushauri kabla ya "business crackdown" hii ambayo unakutana nayo sasa. Hukutaka kumsikiliza!
Filipino
10
29
252
0
Nikkwapili
Nikkwapili@nikkwapili·
Kumnyamazia mjinga ndio njia sahihi ya kumjibu
Indonesia
9
6
108
0
Lusoz lusoz
Lusoz lusoz@FLusoz·
@halimamdee Hii tz wetu inaendeshwa na mtu so analoamua yeye ndiyo hilo watu inabid wafatee Mimi na wewe atujui hiyo ziara inamaana gan ila mmmh 🖐️🖐️ miiaka kumi si mingi awamu ya Kwanza imebaki miez tu..
Indonesia
0
0
0
0
Stay
Stay@FocusedKr·
@shaffihdauda1 Sasa kama huyu kiumbe msumbufu anaondoka Supa Cup si ndio namshindilia magoli mengi mengi huyu Sarri
Indonesia
1
0
6
0
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
🚨BREAKING NEWS: Eden Hazard is officially a Real Madrid player. Imeisha hiyo Done deal. : ✍️ Chelsea kishingo upande wamekubali kupokea Dau la £88.5m ✍️ EPL best player since Ronaldo?
English
34
29
900
0
Lusoz lusoz
Lusoz lusoz@FLusoz·
@shaffihdauda1 Atuna budi kukubari maana hazard ndiye alikuwa anamaamuz ya mwisho yeye mwenyewe ndoto yake ilikuwa akacheze bernabeu so upande wetu ametuacha na uzuni ilawewe ameondoka na furaha maana ndoto yake imekamilika
Indonesia
0
0
0
0
Lusoz lusoz
Lusoz lusoz@FLusoz·
@Kasesela Tunaianza safari pamoja ilahukombelenin tutakuja kugeukana tu
Eesti
0
0
0
0
Kasesela
Kasesela@Kasesela·
Wazo la Mhe Rais la kutengeneza Mabilionea zaidi ya 100 kabla hajaondoka madarakani ni la kuungwa mkono kwa nguvu zetu zote. Huu ndio ujenzi wa uchumi wa kati
125
42
703
0
Deogratias Munishi
Deogratias Munishi@DeoMunishi·
Viongozi wa serikali walipigwa marufuku kupanda ndege za ATCL bila kulipia. Hii ndege imeenda Afrika Kusini. Je, imelipiwa? Na gharama hiyo imelipwa keshi?
Deogratias Munishi tweet media
Filipino
43
24
298
0
ITVTanzania
ITVTanzania@ITVTANZANIA·
#SWALILAKIPIMAJOTO:UHARIBIFU WA BAADHI YA MIUNDOMBINU YA SHULE KUHISIWA KUFANYWA KWA HUJUMA. JE ADHABU KWA WATAKAOBAINIKA IONGEZWE ILI IWE FUNDISHO KUDHIBITI MATUKIO HAYO.
Indonesia
42
3
18
0
Halima James Mdee
Halima James Mdee@halimamdee·
😂 hata FUTARI , kila mtu anakula KWAKE!!😂! Mzee MEKO ameshawafanya MATAJIRI kuwa MASIKINI, na MASIKINI kuwa MASIKINI ZAIDI!! 😳 Masikini TULIJENGEWA chuki dhidi YA MATAJIRI..tukiaminishwa,wakishuka TUTAPANDA 😂!SASA wote tuko HOI hakuna wa kumpiga mwenzie MIZINGA 😭 CCM Oyee😂
Jon Mrema@JonMrema

Enzi zile kabla ya awamu hii ya 'vyuma kukaza' Muda kama huu ilikuwa ama mwendo wa 'Backet' au umealikwa na Friend anayefanya kazi kwenye Coorporate World for a drink au 'Event' ......Leo tunalazimishwa kuwa wachoyo. .......

Indonesia
69
36
431
0
#NIPENI_MAUA_YANGU💐
#NIPENI_MAUA_YANGU💐@Roma_Mkatoliki·
Kwanini MayWeather Nayeye Asije Tanzania Kutalii....Na Hapo Hapo Tumuombe Pambano La Kirafiki Na Mwakinyo!??? Ebwana Ee Mawazo Hayo👆 Ni Kama Akili Za Muheshimiwa Gani? 👇👇
Filipino
66
37
972
0
Lusoz lusoz
Lusoz lusoz@FLusoz·
@ITVTANZANIA Misiba ya sikuizi nivichekesho badala ya kukaachini kuomboleza kwa majonzi watu wanatumia nafasi hiyo kukosoa mambo ya siyo na ukweli wowote walikuwa wapi kuongea wakati akiw hai jamani hemu tukumbuke Dr mengi naealikuwa binadamu kama sisi sasa tusiangalie nini alifanya
Indonesia
0
0
0
0
ITVTanzania
ITVTanzania@ITVTANZANIA·
"Tuache uongo, tuache kuingiza yasiyokuwepo, kama kweli tunampenda Dr.Mengi basi haya mengine ya uongo uongo,hadithi za kutunga hizi tungeachana nazo".Dk.Kikwete.
Filipino
33
85
400
0
Idris
Idris@IdrisSultan·
Ile video ukisikiliza kwa makini utasikia feni, na kama sijakosea ile feni ipo namba tano. Ni ramadan kwahiyo nimesikiliza tu audio kwa sasa.
Filipino
107
40
1.4K
0
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Sijawahi kuona Barcelona wanacheza hovyo namna hii kwenye maisha yangu
Shaffih  Dauda tweet media
Indonesia
487
45
1.8K
0