fred vunjabei

63 posts

fred vunjabei banner
fred vunjabei

fred vunjabei

@FNgajiro

CEO : Vunjabei Group

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2019
100 Takip Edilen7.5K Takipçiler
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Mpangilo wa uchunguzi kupitia majaribio na vipimo ili kupata ujuzi mpya ni Sayansi lakini utumiaji mzuri wa Sayansi ili ituletee matokeo au vitu vitakavyo rahisisha maisha na kutatua changamoto fulani kwenye maisha ya watu ni Teknolojia Je Teknolojia ni zao la Sayansi? Think 🧐
Indonesia
0
0
2
346
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Unyama 7 Mstari wa 2; Hata kama ana kipato chake usiache ajihudumie toa hela 🤣
Indonesia
3
0
15
713
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Sisi MASHEMEJI ni kama yalivyo MAENDELEO, hatuna CHAMA
Indonesia
0
1
27
2.6K
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
My sister, chanzo chako cha kwanza cha mapato ni mwanaume wako, hayo mengine yafanye ziada tu
Filipino
10
3
30
3.5K
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Mwanamke asiyeomba hela ni wa kumkwepa, anakupunguzia hasira za kutafuta.
Indonesia
3
2
25
3.1K
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Wanyamwezi wanasema “Sanga ng’oko yalalaga hibala yawaga nhwale” yaani kuku akilala nje tu anageuka kuwa kwale. Maana yake kwa mfano ni kuwa mpenzi wako akichepuka mara moja tu hawezi kuacha anabadilika kuwa ndege pori. Piga chini kwale hiyo !!
Filipino
3
1
26
3.3K
MATUKIO DAIMA Tv
MATUKIO DAIMA Tv@TvDaima·
Tumeamua kuanzia Sasa tuwe na mikutano ya Hadhara ya jumuiya ya wazazi,Uvccm,UWTna chama ili kueleza mafanikio ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM wakijaribu kutupiga sisi tutawamaliza kabisa Kwa hoja zenye mshiko-Fadhil Ngajilo mwenyekiti wazazi CCM mkoa wa Iringa #BarazakuuUWTmkoa
MATUKIO DAIMA Tv tweet mediaMATUKIO DAIMA Tv tweet mediaMATUKIO DAIMA Tv tweet media
Indonesia
2
0
6
339
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Tumia FURSA ulizonazo kazini kuimarisha BIASHARA ulizonazo mtaani kama mikopo, network n.k
Indonesia
2
2
22
2.7K
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Jinsi mnavyoishi kwa ubahili, kijinyima na kujibanabana mwezi huu ndivyo sisi WAKINGA huishi miezi yote kumi na mbili
Indonesia
1
0
31
3.5K
Yolamu25
Yolamu25@andrea_mwaluko·
@FNgajiro 👍my role mode,,natamani sana nifike ata robo ya ulipo fikiaa
Indonesia
1
0
0
184
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Ukiwa kijana ishi kama kijana, maliza ya ujana kabisa ili usije kutia aibu uzeeni #MzeeKijana
1
0
54
4.1K
Ali Kamwe
Ali Kamwe@AliKamwe·
Kama shabiki wa Yanga, ni tukio gani la timu yetu lilikupa furaha zaidi kwa mwaka 2022?
Indonesia
489
79
2.1K
220.1K
fred vunjabei
fred vunjabei@FNgajiro·
Siku nyingine unamuwish birthday Ex wako siku tofauti na aliyozaliwa ili ajue umeshamove on mazima 🤣
Filipino
2
2
21
0