Father Ibrahimu

3K posts

Father Ibrahimu

Father Ibrahimu

@Fatheribrahimu

Mtumishi wa Yesu Kristo Zaburi 67:1 Mungu na atufadhili na kutubariki, na kutuangazia uso wake. For More teaching follow links below

Katılım Eylül 2022
790 Takip Edilen462 Takipçiler
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Hii ajali imetokea maeneo ya Malendi apo mpakani mwa Tabora na Singida ikihusisha basi la kampuni ya God First Luxury. Poleni sana aisee
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Filipino
13
16
182
8.7K
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@Tanganyikan Ni suala la bosi yaani mmiliki wa BUS , Maana mchina anatengeneza kulingana na oda yako utakavyo mwenye Bus
Indonesia
0
0
0
63
Uncle Fafi
Uncle Fafi@Tanganyikan·
Hizi bus mchina anapozitengeneza hatufikirii wenye miguu mirefu.
Română
14
0
66
6.2K
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@TBoundBuses Wana masharti magumu sana wachina hapo, Nchi yetu ila wanatupangisha kwa masharti, Ofisi za mabasi wanataka 10 tu, halafu kila BUS Route 1, so nasisi tumekosa kwa sababu Route zimejaa, Kwa sasa wanahitaji Msafirishaji anayekwenda Congo tu
Filipino
2
1
2
478
Tanzania Bound Buses
Tanzania Bound Buses@TBoundBuses·
Taratibu hapa EACLC panaenda kuwa Ubungo Bus Terminal mpya, kila kampuni inataka offisi hapo.
Tanzania Bound Buses tweet mediaTanzania Bound Buses tweet media
Filipino
11
9
208
24.9K
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@SamsonErnest_ Kila safari ya KiMungu lazima iwe na misukosuko japokua wengi misukosuko huwa haituitaki, na angetuonesha mapema kuwa kutakua na misukosuko hakuna mtu angeikubali huduma/UTUME
Indonesia
1
1
1
35
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
Mungu alimwambia Musa aende nchi ya ahadi ila hakumwambia habari za migogoro itakayomkuta njiani na changamoto iliopo kwenye nchi ya ahadi, unaweza kupata maelekezo ya Mungu ya kwenda eneo lenye kila kitu unachokihitaji, ila asikuambie changamoto utakazokutana nazo.
Indonesia
2
4
16
161
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
Moto ulioanza nao katika usomaji wa neno la Mungu na kutafakari, hakikisha unautunza siku zote. Na kama umezima ndani yako, uwashe tena. Mungu yupo tayari kukusaidia.
Indonesia
7
11
27
245
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
MJARIBU SHETANI HAMWOGOPI MWOMBAJI MZURI  Mt 4:3 SUV [3] Mjaribu akamjia akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu, amuru kwamba mawe haya yawe mikate.  Yesu akiwa kwenye maombi ya siku 40 ya kufunga, alikutana na mjaribu shetani. Tukio ambalo linatupa mshangao na kushtuka kidogo, maana tulitegemea mtu akiwa kwenye maombi mazito namna hiyo asingeweza kusogelewa na Shetani. Nataka ujifunze jambo hapa, hasa ukiwa mwombaji mzuri, baadhi hufikiri shetani hawezi kutusogelea na kutujaribu wakati tupo kwenye maombi makali. Ukiwa mwombaji Sana, utakutana na mjaribu, tena wakati ambao upo karibu sana Mungu wako.  Kukutana na mjaribu shetani haimaanishi kuna mahali umekosea mbele za Mungu.  Mjaribu anakuja kwako ili umkosee Mungu wako, na si kana kwamba umekosea ndio maana amekusogelea.  Tunapata funzo kubwa sana hapa kuwa tunapaswa kujaa neno la Mungu, ndipo tutaweza kukabiliana na mjaribu. Mt 4:4 SUV [4] Naye akajibu akasema, Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.  Mtu asiye na neno la Mungu la kutosha, anaweza akaingia kwenye mtego wa mjaribu, na akiwa kwenye maombi yake. Nasema hivyo kwa sababu sio ajabu ukamkuta mwombaji amenasa kwenye mtego wa dhambi. Narudia shetani haogopi waombaji kama unavyofikiri, anaogopa mwombaji mwenye neno, ambaye hawezi kumdanganya na kumwingiza kwenye mitego yake miovu. Mjue Mungu unayemwomba na kumwamini kupitia neno lake, ili ajapo mjaribu asiweze kukutoa kwenye mstari wa ki-Mungu. Soma neno ukue kiroho  Liwe jua iwe mvua soma biblia na kutafakari  Mungu akubariki sana
Indonesia
3
10
18
317
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@Kicheche_jr Waliitengeza sana tena kitambo, napitaga mara nyingi ninapoenda Mlima wa MAOMBI huko Turiani,
Filipino
1
0
1
89
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Hii nchi kuna barabara ya kutoka Dumila pale feri kwenda hadi madizini Turiani sijui ni contractor gani alijenga pale. Oya ni bonge la barabara bwana. Hongera yake.
Indonesia
4
2
36
1.6K
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@TweveDevota Nmekutana nayo Jangwani, Usalama, Manzese, urafiki, na Ubungo Leo hii
Indonesia
0
0
0
14
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Kila nikifikiria kurudi Dar nakumbuka hizi adha😅
Indonesia
13
4
87
7.8K
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
Usiwakorofishe watoto wako kila mara bila sababu za msingi, ukiwa kama mzazi/mlezi epuka uchokozi kwa watoto. Unaweza kuwavunja moyo na kuwakatisha tamaa, na wakakosa heshima kabisa kwako.
Filipino
1
4
16
188
Father Ibrahimu
Father Ibrahimu@Fatheribrahimu·
@MkulimaKante Mwaka huu hauishi mkeo atachukua MIMBA , Mungu akiyefanya tumbo lake hatashindwa kuwapa mtoto,
Indonesia
0
0
0
3
Kante
Kante@MkulimaKante·
Binti kama una tumbo la kuzaa zaa kwa juhudi sana. Mimi na mke wangu mwaka wa tano huu tunahangaika kutafuta mtoto mpaka kwa sasa tuna mpango wa kwenda kuadopt tu maana kama mahospitali yote tushamaliza, mpaka dawa za kienyeji wapi. Walaaniwe wanaotupa watoto💔
Filipino
30
26
155
6.3K