#KitaaREJEX OUT NOW..!!!

114K posts

#KitaaREJEX OUT NOW..!!! banner
#KitaaREJEX OUT NOW..!!!

#KitaaREJEX OUT NOW..!!!

@FidQ

The Top Of Rap's Elite | Tanzanian Hip Hop Artist | Vision Imple-Ment(e/o)r - Bookings: [email protected]

Tanzania Katılım Şubat 2010
592 Takip Edilen338.1K Takipçiler
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Watu wengi hawajui ila Mimi nawapa hii Fid Q ana one of the best Gospel song Tanzania and y’all sleeping on that song since 2018 😄
Filipino
15
21
352
22.6K
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
millardayo
millardayo@millardayo·
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Farid Kubanda maarufu kama Fid Q, amesema moja ya sababu kubwa inayofanya Muziki wa Tanzania kushindwa kupata Tuzo za Kimataifa kama Grammy ni Wasanii wengi kushindwa kudumisha utambulisho wa muziki wao na badala yake kuiga mifumo ya muziki kutoka Mataifa mengine kama Amapiano na Afrobeat. Fid Q ameyasema hayo leo Mei 21, 2026 wakati wa uzinduzi wa Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Flava, litakalofanyika Julai 10, 2026 katika Ukumbi wa Mlimani City, Jijini Dar es Salaam ambapo amesema kuwa Tanzania ilisimama kidete kupitia muziki wa Bongo Flava uliokuwa na utambulisho wa kipekee uliobeba lugha, utamaduni na simulizi za maisha ya Mtanzania, hali iliyoufanya muziki huo kutambulika ndani na nje ya mipaka ya nchi. “Miaka ya mwanzo ya Bongo Fleva ilijengwa na vijana waliokuwa wakielezea maisha halisi ya mtaani, ndoto, changamoto, mapenzi na matumaini ya jamii lakini kwa sasa aina hiyo ya muziki imepungua nguvu, huku baadhi ya wasanii wakiegemea zaidi katika maudhui yasiyo na uhalisia wa maisha yetu na kuhamasisha ngono, tujiulize swali, ukisikiliza Bongo Flava ya sasa, kweli inawakilisha sauti ya Tanzania? Wakati wasanii wengi wanafanya Amapiano na Afrobeat, bado tunaweza kusema tuna sauti yetu ya kipekee?” amesema Fid Q. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
18
12
123
15.5K
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
ECS
ECS@TakeoffYrn15·
The only thing I can request as a fan is a Vinly Records of his Albums.@FidQ ---#KitaaOLOJIA
English
0
2
1
186
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
🔴⚪️⚫️
🔴⚪️⚫️@kaludghy·
Chuki humchoma anayeihifadhi - Fid Q 2016
Suomi
0
1
2
183
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
EazyE
EazyE@E__zyE·
Fidstyle Friday: Langa 2011
English
3
32
96
4.5K
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
Chamlile R Kivuruga
Chamlile R Kivuruga@c_kivuruga·
Zingua once ni ok, Twice ni go go awaaaaaaay…. Pray by @FidQ
English
0
1
0
136
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
🦺🦅
🦺🦅@SurveyorMuni·
Mambo yakinizidia mi hupray🙏🙏. @FidQ
Indonesia
0
1
1
301
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
Hip hop Icon🤠
Hip hop Icon🤠@SwahiliKid22·
muda mwingi niko sober kazi na sala kama mkoba....! naamini Mungu ni mmoja ndo maana, I am a professional....! @FidQ
Indonesia
0
1
15
581
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
*MBOTELA🐐😅*
*MBOTELA🐐😅*@B2bMaestro·
"Usiposhtuka Africa unaweza kuzikwa UKIWA HAI" CC @FidQ
*MBOTELA🐐😅* tweet media
Polski
1
1
3
366
#KitaaREJEX OUT NOW..!!! retweetledi
/ˈdeɪ.vɪd/
/ˈdeɪ.vɪd/@DaveMollel·
'STUKA' vya gizani navyo huja mwangani/ KUMBUKA siri ya wawili huvuja kama mmoja bado yupo duniani/ Kwa hilo nakuapia.. YALIYOTOKEA tutayasikia/hata ukichimba shimo UKAONGEA na kuyafukia @FidQ - #KitaaOLOJIA
Indonesia
0
1
3
299