Joseph Jilili
1.7K posts

Joseph Jilili
@FukoJilili
football and music
Arusha, Tanzania Katılım Mayıs 2021
2.1K Takip Edilen441 Takipçiler

#TajiriLaKihaya
Aaah kmmmk!
Hawa wanawake wanene…. Ni wazuri wakiwa tu wamevaa nguo…
Hela yangu imeenda bure hapa…
Nini hiki💔💔💔💔
Indonesia

@PolycarpMDM Taifa la Rwanda ni dogo kwa geographia na lina population ndogo ni rahisi kusimamia sheria kwenye kundi dogo, sehemu kubwa za barabaran wamefunga camera, so ukiendesha gari unakuwa unaonekana na camera kila mahali, 2023 nilikuwa Rwanda niliona watu wanavyotii sheria barabaran.
Indonesia

Nchini Rwanda,
Ni Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Seneti pekee walio na haki ya kipaumbele barabarani, yaani ruhusa ya kutumia njia maalum.
Mawaziri hulipia magari wanayotumia kupita katika Barabara hizo na kukatwa kutoka kwenye mishahara yao.
Waziri mmoja aliwahi kutozwa faini ya dola 50 kwa kosa la kuendesha gari kwa mwendo wa kasi kupita kiasi.

Indonesia

@SportsarenatzTz @MarcoMzumbe Wenyew wanavokanyaga hivyo ndio wanaharibu
Indonesia


@EsirEid Cha kwangu kilirudi ndani mpaka nikawa nawaza au kuna mtu alinishika bega😂😂
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Niseme tu ukweli Tumeshinda ila sijawahi bana MBUPU hivi….
Sidhani kama nitasimamisha hii wiki yote💔

Indonesia

@jinnyX66 Kwenye starehe wanaongoza kwenye maadili na aibu ni wa mwisho,
Filipino

Mwandishi 🎤 Tunaskia mtu wa kazi ulitapeliwa pesa zako ulizozipata Dar na ndo chanzo cha kuondoka, tuambie ilikua sh ngapi na kwanini uliondoka Dar.
Mtu wa kazi 🎤 Yule jamaa alinitapeli shilingi 400,000 maana katika harakati toka tulivyoingia dar tumekaa mda wa wiki tatu tulipata shilingi 450,000
🎤 Lakini baada ya wiki tatu jamaa niliekua nae akanambia kua imebakia laki na nusu afu mimi akanipa elfu hamsini tu na hela alikuaga anachukua yeye tu
🎤 Baada ya hapo nilijisiia vibaya na hakunitendea haki ilibidi niende mbezi nikachukua gari nikarudi Dodoma
--------------------
Hivi unawezaje kumfanyia mtu mambo kama haya , kuna watu wana roho ngumu
Mtu wa kazi kama una connection nae msaidir mshikaji yuko humbe sana

Indonesia

@kasesco_tz Sasa mtu kasoma miaka kibao kapata kazi ww kumpa 10k jambo lako liende unaona nyingi duh ila binadamu, kwa maoni yangu hiyo ni ndogo sana wangeongeza kidogo hata iwe 20-50k kutegemea na mahitaji ya mteja
Filipino

@JamiiForums Kwan man city akishinda analisogelea zaidi kombe kuliko arsenal?, how?
Filipino

ENGLAND: Mapambano ya ubingwa yanaendelea ndani ya Premier League (EPL), leo Aprili 19, 2026, ambapo Manchester City inavaana na Arsenal FC katika Dimba la Etihad, Manchester mishale ya Saa 12:30 jioni (muda wa Afrika Mashariki).
Swali kubwa linabaki: Nani ataibuka kifua mbele na kusogea karibu zaidi na taji?
A. Man City💪
B. Arsenal🔥
Kufuatilia soma jamii.app/ManCityVsArsen…
#JamiiForums #JamiiSports #JFMichezo #JFEPL2026

Indonesia

@ayubu_madenge Wamshauri vizuri hakuna binadamu asiye na adui, hakuna kitu utafanya ukose adui
Indonesia

@George_Ambangil Kuagiza Kuna riski kubwa hasa kwenye kutapeliwa,kama una pesa kuagiza sio Dili sana nunua showroom ondoka na gari lako kuondoa mawazo yasiyo na ulazima
Filipino

@iMajeshi_ Refaa alienda kumuangalia alivyoona anapumua akaona hakuna ulazima wa kuwa faulo,alaf huyo refa anaaminika sana
Indonesia


@Zephania_Ndaki Haaa 2010 nilienda kwao mwanamke Tena ni familia kubwa ya kisukuma Ina watu wengi sana maana mzee alikuwa na wake 4 wote wanakaa boma Moja na limezengushiwa uzio,niliingia wakati mvua inanyesha asubuhi nikachelewa kutoka ikabidi nisubir vijana waende shambani nikitoka saa 4 asbh.
Indonesia

@HecheJohn Mfano una biashara ya mazao, ukanunua gunia 100 Kwa 30k kila gunia mazao yakapanda Kwa wakulima ikawa 60k,kwaiyo hayo uliyonunua 30k utauza Kwa 40k ili ukanunue mzigo mwingi Kwa 60k?,kwamba uuze gunia 100 alaf ununue gunia 60?,hesabu ndogo hiyo nayo inakushinda😂😂
Filipino

Wewe kijana kibaraka wa cartels.
Wambie Watanzania mafuta yanayouzwa sasa yaliingia lini Nchini.
Je wakati yanaingia bei zilikua zimepanda?
Mafuta kusafiri kutoka yanakonunuliwa Mpaka kufika yanachukua siku ngapi?
Je mafuta yaliyonunuliwa baada ya vita na mtikisiko huu yameishafika nchini?
Usitumwe kusemasema tu kama umekatwa kichwa.
Nani anaeingiza mafuta Nchini, alipewaje hiyo tenda? Kwanini awe peke yake ? Alishindanishwa na nani?
Indonesia

@Dagwaaa @BillyTronix1 Na wew utuambie ugriki na nchi kama china,Korea na urusi nan ana maendeleo zaid?, democracy inachelewesha maendeleo
Filipino

@BillyTronix1 Baba wa Democracy ni nchi ya ugiriki
Naomba unitajie nchi ya Africa imeipita ugiriki Kwa maendeleo
Filipino













