George Edo

3.4K posts

George Edo

George Edo

@GeorgeEdo15

No easy task

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2020
246 Takip Edilen344 Takipçiler
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Kwa mambo ambayo ameshapitia Tundu Lissu kumuona tu anatabasamu inakupa majibu kwamba “positivity” ni kila kitu maishani. Mungu ampe maisha marefu huyu mzee 👊🏿
Indonesia
3
77
424
5.7K
George Edo retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Picha hii inastahili REPOST 500 kama salamu kwa mzee wetu TUNDU LISSU kwenye magumu yote anayopitia kuwa tupo nae pamoja.🙏🏾
SIR TIVA tweet media
Filipino
35
1.6K
3.8K
36.4K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Asanteni kwa upendo na sapoti yenu ❤️ Sichukuli poa huu upendo maana kiukweli mnanitetea na kunipambania - hadi kuna wapumbavu wanafikiri nimewakodisha ninyi wote 😅 hakuna pesa kama hiyo duniani! Ni upendo wa kipekee 🥲 nimeguswa sana! Tupo pamoja hadi tupate ukombozi wa pilli 💪🏽🔥 Hatutarudi nyuma hatutakata tamaa! No retreat no surrender! No force on earth can stop an idea whose time has come! Tushikilie hapa hapa and FOCUS! 👊🏽 #ChangeTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
74
214
947
36.3K
George Edo retweetledi
Zature
Zature@iamZature·
Kwani Msigwa akiamua kupambana na uchungaji hatopata Waumini? Mambo ya Siasa akastaafu
Indonesia
6
30
153
11.4K
George Edo retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
For the 1st time namskia kiongozi wa CCM anaongelea haki……NAOMBA KURUDIA HII NDIO MARA YA KWANZA KIONGOZI MKUBWA WA CCM NJE YA WARIOBA AMEKUBALI KUWA HAKI NDIO TATIZO……. I don’t know how to take this maana sina Imani kabisa na watu wa CCM. So sijui kabisa kama Nchimbi yuko sincere na hili swala la haki….. HAKI, UWAZI NA UWAJIBIKAJI NDIO VITU PEKEE VITAPONYA TAIFA NA KUTUTOA HAPA TULIPO………… KATIBA MPYA NA UCHAGUZI WA HAKI KURUDIWA NDIO VITU PEKEE VITAPOOZA MAUMIVU YA OCTOBER 29……. SIO KUDANGANYANA KWA MARIDHIANO YA KIHUNI………
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Indonesia
64
182
1.4K
50.9K
MWAKA ROBO
MWAKA ROBO@Denho07·
Leo ni siku ambayo nimepitia magumu sana imagine usiku nimevamiwa na majambazi Wameiba kila kitu ndani wamenifunga mikono nyuma halafu wame mbaka mke wangu 💔 maumivu niliyo nayo hapa niyajua mwenyewe kmmmk 💔
Indonesia
43
21
268
28.3K
George Edo retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
“Kumekuwa na majaribio na vitisho kutoka kwa watawala kunizuia nisiongee. Kuna wakati niliambiwa nizime simu yangu, nisiitumie mpaka (wao) watakapo niambia. Nikawauliza, kwa sheria gani? Kuna wakati nilikaribishwa mahali fulani, nikapigiwa simu na watawala, wakasemam mzee usiendee kwenye huo mkutano. Kwanini? Hauna manufaa. Nikawauliza, nani anaamua hayo manufaa? Nikakataa. Wakawafuata watu walio karibu na mimi ili wanishawishi nisiende, nikakataa pia. Mnakumbuka nilifanya mahojiano hapa na Jamhuri? Wakatoa summary, wakasema watachapisha mahojiano yote, neno kwa neno. Baadae Jamhuri wakanieleza wamezuiwa wasitoe yale mahojiano. Kuna viongozi wanaogopa kuzungumza na mimi, wanatuma ujumbe kupitia mbali huko. Marafiki zangu wanaogopa wakisema nitatekwa au kupewa sumu. Nawaeleza mimi ni mali ya Mungu, ndiye atakayeamua lini ananihitaji.” — Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Tanzania.
John Heche tweet media
Filipino
76
529
2.3K
84.6K
George Edo retweetledi
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
HEKIMA 10 KUHUSU MAISHA 1. Usitumie Loudspeaker wakati unaongea na simu sehemu ya public. 2. Usitoe maoni kuhusu uzito wa mtu (kunenepa au kukonda). Haikuhusu. 3. Ukimpigia Simu mtu mara mbili na hazijapokelewa basi mtumie ujumbe akiuona atakutafuta 4. Usiende kwa mtu bila kualikwa. 5. Ukienda bafuni/chooni na kumaliza haja zako basi paache pakiwa safi kuliko ulivyovikuta. Kila wakati. 6. Kwenye lifti, waache watu watoke kwanza. Ni ustaarabu wa kawaida. 7. Mtu akikupa simu yake uone kitu, usianze kuperuzi (scroll). Hiyo ni imani aliyokupa. 8. Ukikopa pesa au ukiazima kitu kwa mtu basi rudisha. Sio kwanza kupigizana makelele 9. Ukienda nyumbani kwa watu mambo unayoyaona yaache hapo hapo. Usiyabebe na kutoka nayo nje 10. Ukiaminiwa, Aminika Kama hujui thamani ya uaminifu huwezi kuelewa madhara ya usaliti
Indonesia
13
66
242
12.2K
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Moyo wa shukrani hubadili namna unavyoona maisha, badala ya kuona kilichopungua, unaanza kuona baraka zilizopo. Katika kila pumzi, kila hatua, na kila siku mpya, kuna sababu ya kumshukuru Mungu 🙏🏼
Indonesia
14
71
328
4.3K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Chelsea wanangu hatuwezi kufanya biashara ya Joao Pedro ?😀
Indonesia
48
25
525
18K
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI
Je mwajua Hiyo Energy drink ina bei kuliko JBL ndogo Niupatie mwili lolote jambo 😅😅
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI tweet mediaCHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI tweet media
Indonesia
17
18
109
26.1K
Martial
Martial@tenende_martial·
@Maestrowafact Frame 1 kama icho kidole ndo cha kwako mkali itabidi ujifanyie tathmini kati ya wewe na tungi nani amuache mwenzie
Indonesia
1
0
3
340
George Edo
George Edo@GeorgeEdo15·
@GuzmnChapo1 Miongoni mwa vijana wababe wa mitaa jangwani na nyamwezi kipindi cha nyuma
Filipino
0
0
5
3.3K
Chapo Guzmán 🇹🇿
Chapo Guzmán 🇹🇿@GuzmnChapo1·
Yule Jamaa Jana Alitaka Kuzinesa Na Waziri Ni Nani? 😂
Indonesia
19
21
517
35.1K