Grace Shio

666 posts

Grace Shio

Grace Shio

@GraceShio03

- Politician-Chadema Secretary Nyasa zone. - Born again Christian - An Entrepreneur| Founder of Urithi Co. Ltd |Tourism| food|realestate @urithi03 @urithitours

Mbeya, Tanzania Katılım Ağustos 2024
223 Takip Edilen2.1K Takipçiler
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Wananchi na Wanachama wa Kanda ya Nyasa tunaungana na Watanzania kukutakia heri ya kuzaliwa kwako Mh. Mwenyekiti Kanda ya Nyasa @TheRealJongwe Tunakutakia Kila lililo jema.. keep winning boss. Happy birthday!
Grace Shio tweet media
Filipino
1
8
49
587
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Mh. China, Baba wa kijana huyu ameamka leo na ku post hii picha ya Mtoto wake aliyepigwa risasi tarehe 29 Oktoba, Tunduma na mwili wake kupotezwa. Familia wakalazimika kuzika nguo. Pasipo closure mioyo inaugua 😭.
Filipino
3
50
175
4.5K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Katibu wa Kanda ya Nyasa Mh. Grace Shio leo amemtembelea Katibu wa Mkoa wa Mbeya @hamadimbeyale ambaye bado Hali yake ya afya inaendelea kuimarika baada ya kufanyiwa operation kadhaa kama sehemu ya matibabu ya maradhi yaliyokuwa yanamsumbua. #strongertogether
Grace Shio tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
6
70
1.7K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Leo Katibu wa Kanda ya Nyasa akiwa na Surveyor kwenye kiwanja Cha Kanda kwa ajili ya kuchukua coordinate za kiwanja. Tunamshukuru Mwenyekiti wa Kanda Mh. @TheRealJongwe pamoja na Viongozi wa Kamati ya Fedha Fanuel Siyame na Ntuli Angumbwike kwa kuwezesha. Stronger together!
Grace Shio tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
3
23
137
1.1K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Namna hii, tumepandisha bendera mpyaaaaa kuashiria mwanzo mpya, ari mpya na kasi mpya kuelekea kwenye Tanzania ya uhuru, haki, usawa na demokrasia. #chamakipohuru #Nyasatupotayari
Indonesia
8
39
240
3.5K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Tunapofungua RASMI ofisi ya Kanda ya Nyasa leo, sio tu kwamba tutafanya usafi pekee, na kula tutakula. Nyasa hatunaga jambo dogo. #chamakipohuru #nyasatupotayari
Grace Shio tweet media
Indonesia
13
91
621
7.1K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Nyasa tumeanza namna hii. Kata kwa Kata huku tukielekea kwenye Msingi, Vitongoji na Mitaa. Tukutane tarehe 18.04.2026 kwenye ofisi za Kanda. #chamakipohuru #Nyasatupotayari
Grace Shio tweet media
Indonesia
10
55
389
3.8K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Chama kipo huru, Nyasa tupo tayari. Ungana nasi tarehe 18 April, tufanye usafi kisha tupangiane majukumu. Hakuna kulala! #chamakipohuru #nyasatupotayari
Grace Shio tweet media
Indonesia
4
31
147
2.2K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Leo kazaliwa BABA WA WAPENDA HAKI. Happy birthday Mwenyekiti wangu mimi.
SIR TIVA tweet media
Filipino
72
626
3.8K
30.7K
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Tutakukumbuka daima. Wana Nyasa tunakulilia, pumzika kwa amani Mzee wetu. #RIP_EdwinMtei
Grace Shio tweet media
Indonesia
0
0
2
225
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Kamanda David Exavery Mwenisongole aliyechukuliwa na Polisi tarehe 30.10.2025 Mwili wake umepatikana Malawi ukiwa umezikwa. Ndugu walipata taarifa na kwenda kuthibitisha. Wamefukua mwili kuja kuzika leo Masoko Jimbo la Mbozi Mkoani Songwe. TUNALAANI VITENDO HIVYI VYA KIKATILI.
Grace Shio tweet media
Indonesia
0
0
2
77
Grace Shio
Grace Shio@GraceShio03·
Tunahuzunika, tunaomboleza, tunalia pamoja nao waliao. Tunasimama na Watanzania.
Grace Shio tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
0
1
127