Greyson Edward

143 posts

Greyson Edward

Greyson Edward

@Greyson18523451

Katılım Eylül 2022
379 Takip Edilen44 Takipçiler
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@MariaSTsehai @SuluhuSamia Harafu ukishapata jina na rank yake vitakusaidia Nini? Au unataka umuongezee mshahara Kwa kufanya kazi yake ipasavyo
Indonesia
5
0
0
1.2K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨 TUNATAKA JINA NA RANK YA HUYU ASKARI‼️ Nimeangalia video ni dhahiri aliyemsukuma Lissu ni huyu aliyevaa mask Naomba wazalendo watuletee jina la mhusika ashtakiwe kwa jina This is IMPUNITY Mwisho wa siku we @SuluhuSamia ndo mhusika mkuu na utawajibika pia! Mungu wetu yu hai #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
33
108
460
27.9K
Simba Queens 🇹🇿
Simba Queens 🇹🇿@simbaqueens·
Askari wetu 11 ambao mmetumikia klabu yetu kwa hali na mali, Msimbazi inawaheshimu na kuwatukuza. Asanteni kwa muda na huduma Malkia. Kwa Taarifa kamili tembelea Simba App 📱 #NguvuMoja
Simba Queens 🇹🇿 tweet mediaSimba Queens 🇹🇿 tweet media
Indonesia
13
10
142
2.6K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@TitoMagoti Harafu huyu jamaa nilikuwa najua ni wakili msomi anaelewa hata katiba kumbe ni bwege Mmoja tu,hata halijui maana ya mwanajeshi,kasome vizuri katiba ya nchi k wewe
Filipino
0
0
0
59
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Hao askari magereza waliojitanda mizura usoni huwa ni malimbukeni sana. I know them. Kwanza wanadhani wao ni wanajeshi, wakati ni kundi la ng’ombe. The worst!!
Filipino
93
236
1.9K
48.5K
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Huyu ng’ombe CDF hawezi ruhusu aende vitani, hata kwa nafasi ya mpishi. Ila yuko Kisutu amejitanda hivi kuficha zero aliyopata form four!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
254
241
2.6K
154K
Peje ⚙️
Peje ⚙️@peje_pele·
@EmmanuelNasa @TitoMagoti Pointi 💪🏾 Hawa jamaa wa chadema wana dharau sanaa kmmq zao, mimi ndio kilichonifanya nisiwaamini asee, unamdharauje mtu ambaye yupo kwenye majukumu yake ya kulisha familia yake? Kwamba angekataa kwenda hapo??
Indonesia
3
0
5
253
Emmanuel
Emmanuel@EmmanuelNasa·
@TitoMagoti Askari magereza anaenda vitani kufanyaje? Huyu ni Mtumishi na anatimiza wajibu wake. Sio sahihi kum-address kama mnyama ng'ombe. Ni vyema ukawa na heshima bwana Tito.
Indonesia
4
0
13
2.4K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@TitoMagoti We tukana tu siku ukiletwa magereza ndo utajua maana ya zero kuwa pale
Indonesia
0
0
0
39
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Ingekuwa movie ungeipa jina gani?
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Indonesia
124
26
483
68.7K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 TOFAUTI katika mpira ilikuwapo juzi kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane. Rafiki zetu walituonyesha wazi kwamba wametuacha mbali kisoka. Mengine ambayo tunajaribu kufanya kwa sasa ni kufarijiana. Simba alikuwa katika tanuri la moto katika fainali ya kwanza dhidi ya Berkane juzi. . Tulisikia mengi kuelekea fainali hii. Mbwembwe nyingi kutoka kwa watu walioambatana na timu katika ndege binafsi kuanzia safari ya Dar es Salaam hadi Casablanca kisha Oujda kabla ya kwenda Berkane. Ilionekana kama vile ingekuwa mechi ngumu kwa mwenyeji. . Haikuwa ngumu na kumbe wangeweza kumaliza fainali pale pale nyumbani na kisha kuja Tanzania kutalii. Kilichoonekana ni kwamba Berkane waliiunda timu yao kimya kimya kwa ajili ya kuwashangaza Wamorocco kwa kutwaa ubingwa wa Ligi hiyo maarufu kama Botola. . Halafu wakaja kutushangaza katika michuano hii ya shirikisho kwamba sio hadhi yao. Wanastahili kule kwa wakubwa wengine. Na hata msimu ujao wakati watakapokuwa wanashiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa ni wazi kwamba Berkane watafika zao mbali. . Hiki kilikuwa kiwango tosha cha kufika hata fainali za Ligi ya Mabingwa kama wangeandaa timu yao mapema. Wametuonyesha kwamba kuna njia ambayo Simba walipita kufika fainali na inawezekana haikuwa sahihi sana. Hawakuwahi kukutana na changamoto ngumu mpaka walipoangukia katika mikono ya kina Mamadou Camara, ustaadhi Yassine Lebhiri na wengineo. Ni ndoto inayotisha. — Edo Kumwembe. [via JichoLaMwewe] (Inaendelea)
SportsArenaTz tweet media
Indonesia
186
55
1.3K
108.3K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@Sativa255 We tangu upatikane dakika za jion,akiri zako azijakaa sawa,dishi limeyumba
Indonesia
0
0
0
72
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Niliahidi chini ya CHUMA 3 sitashangilia, na kweli itabaki hivyo. Sasa napeleka nguvu CAF wasimamie msimamo wao ngoma ikapigwe ZANZIBAR. TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Filipino
56
18
448
24.3K
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿@Baraka__Mpenja·
LEO katika dimba la Mkwakwani inapigwa nusu fainali ya kwanza ya CRDB Bank Federation Cup, Yanga SC dhidi ya JKT Tanzania. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
Baraka Adson Mpenja 🇹🇿 tweet media
Indonesia
2
0
31
750
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
"Niwaalike Watanzania wote, lakini na rafiki zetu wapenda mpira kutoka sehemu mbalimbali Barani Afrika kuja Zanzibar kushuhudia tukio hili la kihistoria. Naamini kila mpenda soka atapenda kumuona Ronaldinho na wenzake wakicheza soka huu ukiwa umeketi jukwaani" Eng. Hersi Said
Young Africans SC tweet media
Indonesia
18
31
824
32.6K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@FKihamu Sisi kama watanzania wazalendo tunamshukuru sana Eng raisi wa vilabu Africa Kwa kulihujumu taifa,huyu eng ni kirusi kwenye soka letu,yeye pamoja na GSM endeleen kuwachekea
Indonesia
0
0
0
133
Farhan Kihamu Jr
Farhan Kihamu Jr@FKihamu·
Mpira wa Afrika una vitu zaidi ya 100, una siasa zake kali sana na mambo yake huwa sio rahisi, Benjamin Mkapa pashakuwa tanuri la moto na maarufu mno barani Afrika, Berkane mara ya mwisho alirusha mpaka ngumi hapa, muda wote sababu ilitafutwa sana na sasa imepatikana kuwa ni pitch na hatimae Berkane anapakimbia, ila Mimi binafsi naona Watu wasikate tamaa, Simba anaenda kubeba huu ubingwa wa Afrika bila kucheza kwa Mkapa. Wakuu hauchezi tu na Berkane bali timu ya Mwenyekiti wa Chama cha soka Morocco na Makamu moja wapo wa Rais CAF.
Farhan Kihamu Jr tweet media
Filipino
343
94
2.1K
141.5K
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Breaking!Shirikisho la soka barani Afrika ( CAF) limeliagiza shirikisho la soka nchini Tanzania ( TFF) kuhamishia maandalizi ya mchezo wa fainali ya kombe la shirikisho mnamo 25/5/2025 baina ya #SimbavsBerkane kupigwa kwenye dimba la Amaan visiwani Zanzibar.
Indonesia
240
84
1.4K
114.6K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@Geoffrey87Lea Geoff,Hawa wase*ng yanga nyie waadishi ndo mnawapa bichwa,dawa yao ni kuwapuuzia
Indonesia
0
0
1
71
Geoffrey Lea
Geoffrey Lea@Geoffrey87Lea·
Yaani ukwame CAS halafu ur next resolution ni kwenda kwenye civil court😂,Mr Bean & Charlie Chaplin combined have never been this comical😂😂
English
101
64
1.1K
57.7K
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@YoungAfricansSC Kwan hiyo mechi mnayotaka kucheza itasimamiwa na chama cha soka cha Rwanda au maana mmeshasema Amna Iman na bodi ya ligi pamoja na tff
Indonesia
0
0
0
173
Greyson Edward
Greyson Edward@Greyson18523451·
@abissay_stephen We nae ni mnafiki unakimbilia kuandika utumbo mtandaoni,Si ulikuwa live Azam umeshindwa nn kuyasema hayo?
Filipino
0
0
0
14
Abissay Stephen Jr
Abissay Stephen Jr@abissay_stephen·
James Mwashinga wa Pamba aliucheza mpira kwa 'Sliding tackle' bila kucheza foul lakini Mwamuzi Shomari Lawi aliamua ni foul na hiyo 'Free-Kick' ndiyo JCA akafunga goli la 2. Lawi amemuonesha kadi ya njano kipa MO Camara ambaye hakuwa anapoteza muda, ilifaa amuonye 'Amemuonea'.
Abissay Stephen Jr tweet media
Indonesia
220
18
691
50.5K