~Goldream🇹🇿

7.6K posts

~Goldream🇹🇿 banner
~Goldream🇹🇿

~Goldream🇹🇿

@Hans_mtasha

Nerd,Bright Spark,Dark Horse,Lone Wolf. I don't see myself as extremely handsome. I just figure I can charm u into liking me...

SUPLEX CITY Katılım Haziran 2016
5.1K Takip Edilen3.8K Takipçiler
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Usiishi na mwanamke ikaonekana kama anakuonea huruma. If she be like, "Kuna watu wengi wenye pesa na kila kitu kuliko wewe wananisumbua kunitongoza lakini mimi nakataa kwakua tu nakupenda" ABORT THE MISSION, tafuta PROJECT nyingine, mpe nafasi aende kwa hao wenye pesa. Enyewe mwanaume kutambua thamani yako na kutengeneza misingi na heshima kwa mwanamke na jamii sio kitu cha kufikiria. Mwanaume mpambanaji hatakama ni boda guy au vinginevyo hatakiwi kupuuzwa na mwanamke yeyote yule. Keep fighting blood.
Indonesia
13
37
260
7.5K
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Mama Amina washampa kibendi, manigajia hachagui tundu!
Indonesia
42
25
714
38.8K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
Do you remember when you joined X? I do! #MyXAnniversary Cheers to another year of innovation and growth. Happy Anniversary!"
~Goldream🇹🇿 tweet media
English
0
0
1
27
Genious✍️
Genious✍️@chibelube·
Kiualisia unapambana, Ila unafikiri ni nini Kinasababisha Maisha yako kuwa magumu kila siku?
Filipino
8
19
216
7.2K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
Natafuta graphics design ambaye yupo vzr anaiweza kazi namba yangu 0683019331 anicheki Whatsapp
1
0
1
63
World Cup Central
World Cup Central@WorldCupEra·
Kuomba watu wakuchangie hela kwenye siku yako ya kuzaliwa ni aibu sana.
Indonesia
13
22
277
7.6K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Oyaa nimecheka aisee 😂😂😂😂 Msikilize mbongo anavyopita na Ku Rap, Kwenye Beat la Kendrick Lamar.. "They Not like Us" 😂 Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
HT
59
22
772
113.7K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Ukitaka TV please Nunua? 1. TCL 2. LG 3. Samsung 4. Sonny Bravia Namba ngapi hana Mpinzani?
Indonesia
120
38
741
126.4K
Meeknego
Meeknego@meeknego·
@prossoff Simp. Hiyo ni according to you au nani? According to scriptures, mwanamke aliumbwa AMSAIDIE MWANAUME. Hadi hapa tulipo anayesaidiwa amekuwa ni MWANAMKE. Anasaidiwa PROTECTION, PROVISIONS, GUIDANCE. Anamsaidia nini mwanaume? Ngono? Stop simping.
Filipino
7
0
13
1.5K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Tutasema yote lakini ukweli ni kwamba. Mwanamke hakuumbwa apewe sifa ya kuwa mpambanaji, mwanamke anafaa kuwa uwa saafi la kumwagilia. Aoge, avae vizuri, awe na ngozi laini saafi ya kuvutia Haya ma mbwembwe ya kazi mara kachoka, kashinda kwenye moto anapika migahawa, mara juani anafanya ma kazi magumu hayakufaa kuwa kwa mwanamke sema umasikini. Tujifunze kidogo hata kwa waarabu. Hawajamaa wanatunza sana wake zao na inaleta utulivu katika ndoa.
Indonesia
24
23
293
15.5K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@TMnyama4_ Hapo hiyo sura iko wazi inasisitiza nikkah kwa na kukataza zinaa kwa mtu yeyote hata kama sio muislam ni vyema kumuoa kihalali .... Jiepusheni na zinaa hakika zinaa ni uchafu.
Filipino
0
0
0
245
T
T@TMnyama4_·
Hapo pointi yako ni waliopewa kitabu kabla yenu, kwa maana waliopewa injili ya Nabii issa. Ndugu zangu katika iman tumsaidie ufafanuzi
T tweet mediaT tweet media
Indonesia
8
1
26
8.4K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@TMnyama4_ Remember: You’re loved, valued, and never a burden. Let’s plan something soon—even if it’s just sharing memes at midnight. 🌟 Sending you the biggest virtual hug. Always here for you, [Goldream Hans Mtasha]
English
0
0
1
99
T
T@TMnyama4_·
Comments ziwe nyingi apate friends wengi
T tweet media
Filipino
283
6
386
28.5K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@TMnyama4_ Bravo king You didn't lose her. She lost u. You didn't need her. She needed U. She was not special. u made her special. U were not lucky to have her. She was lucky to have you. Let her go and move on. - If you aren't currently following us, you'll probably never see us again.
English
0
0
1
38
T
T@TMnyama4_·
Tupate kastory. In swahili Swahili Version 😂 ILA WANAWAKE 😂🙌🏼 Wanaamini kabisa mwanaume anaweza akamsamehe kabisa from cheating 💔🤔😂 Hakuna Mwanaume huyo 1/3
T tweet media
Filipino
63
19
244
52.6K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@Labella_Mafia95 Ukubwa wa nyashi na paka ni mambo ya kibaolojia yanayotokana na mambo ya kibinafsi kama jeni, homoni, na utunzaji wa mwili. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati yao. Ikiwa kuna wasiwasi kuhusu afya ya uzazi. Wasiliana na wataalamu wa afya.
Indonesia
0
0
26
13.4K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@fumbokhanJr Uhusiano wa masafa marefu unaweza kufanikiwa kwa misingi ya mawasiliano, uaminifu, mpango, na juhudi za pande zote. Kila mwenzi anapaswa kuchangia kwa moyo wazi na kuvumilia changamoto kwa kuzingatia malengo ya pamoja
Polski
0
0
16
1K
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Lipi cha Kuzingatia ili Long Distance relationship iweze kufanya kazi Vizuri?
Indonesia
76
18
482
58.3K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@max_zitatu na kujishughulisha katika unachokipigania.Hayo ni mafanikio ambayo hayawezi kuletwa na kiwango cha elimu bali ni uwezo wako.Mengi mazuri kwako yatakuja Kwa uwezo wako wa kufanya matendo sio kiwango chako elimu.
Indonesia
0
0
0
17
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@max_zitatu Hakuna uhusiano kati ya kiwango cha elimu na uwezo wako kifikra,akili na utendaji.Kuwa na kiwango kikubwa cha elimu ni jambo zuri sana lakini kama hauna uwezo kimaamuzi na kimatendo basi elimu yako haina tija.Kwa sababu uwezo wako unatokana na maamuzi yako ya kutumia akili
Filipino
1
0
2
301
World Cup Central
World Cup Central@WorldCupEra·
Kuna muuza matunda hapa anatumbia "Kupata G.P.A 4.8 haikufanyi wewe kuwa Genius, na wala kupata G.P.A ya 2.3 haikufanyi wewe kuwa mjinga" "Hizo ni namba tu mpaka pale utakapoonyesha thamani yako kwenye maisha"..
Indonesia
11
42
614
20.8K
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@TMnyama4_ na kuna siku utapata zaidi...Jipende jinsi ulivyo maana kuna wenye kasoro zaidi yako....wanaokudharau waheshim maana wanakupa uchungu wa kutafuta mafanikio...amini wewe ni bora na muhimu kwa jamii, ndio maana umeumbwa.
Indonesia
0
0
0
4
~Goldream🇹🇿
~Goldream🇹🇿@Hans_mtasha·
@TMnyama4_ Amini kuwa Mungu pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yako..na si binadam mpende anaekutakia mabaya kwa kuamini hajui atendalo ishi kwa uhalisia wako na usiige maisha ya mtu tii haja za moyo wako c maneno ya watu ridhika na ulichonacho kwa kuamini ndicho mungu alichokupa
Indonesia
1
0
0
96
T
T@TMnyama4_·
Vijana Vijana Unataka kuanzisha familia weka CV yako hapo chini 🤔🤔🤔
T tweet media
293
23
596
64.5K