• Kardinali

22.6K posts

• Kardinali banner
• Kardinali

• Kardinali

@IAmSilayo

MODE: F.O.C.U.S | F.B.I 🔝

Kaskazini Katılım Temmuz 2012
2K Takip Edilen6.4K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
• Kardinali
• Kardinali@IAmSilayo·
Dunia Haijali Kama Jana Hukula. Kama Hautafanya Kazi Leo Kwa Bidii, Leo Hauta Kula Tena.
Indonesia
14
18
60
0
richardfutbal
richardfutbal@richardfutbal·
Alicho Fanya Metacha Mnata na kutolewa nje dakika ya 22 ya mchezo !!!! 🤷🏿‍♂️😅
Indonesia
11
9
178
44K
• Kardinali retweetledi
chama
chama@senior_ahoua1·
MUNGU atakubariki ukijitoa. Check hii story ya huyu MWAMBA. Nilimuokota huyu mtoto yatima saa sita za usiku akiwa anaumwa maralia Kali kiasi kwamba hakua na hamu ya kula ..Japo kipato changu kulikua Cha chini sana kwa sababu sikua na ajira lakini sikusita kumchukua uyu malaika na kua jukumu langu.. Mwaka mmoja badae mungu alinifungulia milango nikapata kazi Baada ya kukaa mtaani miaka mitano tangu nimalize chuo.. Nilipata mafanikio makubwa mda mfupi na tukahamia kwenye nyumba mzuri Mimi na mwanangu.. Nimesherekea hii krismasi na boxing day nikiwa na mwanangu.. Tunawatakia heri ya sikukuu yenye heri na baraka tele .. 🙏🙏
chama tweet mediachama tweet mediachama tweet mediachama tweet media
Indonesia
14
22
135
15.5K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Nimeamka nakuta Buyobe ametumia screenshot ya akili mnemba ambayo iliyumika na “CHAWA wa Mama” kumuattack Mshabaha. Sasa nafikiri tumemjua nani alikuwa anawapa info za UONGO wale CHAWA. Acha upepo uendelee KUVUMA tutajua yote. Mimi naendelea kunote down wanangu.✍️
Filipino
52
166
1.5K
73.8K
• Kardinali
• Kardinali@IAmSilayo·
@moodewji Naona tajiri katia neno katika kile kinachoendelea humu!
Indonesia
0
0
0
320
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Kisasi hakipendekezwi katika imani yetu. mimi nikiona mtu hana nia njema, namblock na kuendelea na maisha yangu.
Indonesia
94
141
1.1K
32.1K
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Mpaka sasa sijasoma hata moja toka wameanza juzi, nimeweka bookmark tuu nikajua itaisha mapema nisome ila mlolongo umekuwa mrefu, kwahiyo ni kweli au anasingiziwa?
Spana & V.A.R Movement tweet media
Indonesia
38
45
674
41.7K
• Kardinali retweetledi
Sonnino⚡
Sonnino⚡@sonnino123·
Kuna watu wanaweza kukuomba pesa ukidhani Wana shida ukachomoa kwenye SAVINGS zako kuwasaidia Kumbe wao hawajagusa kwenye SAVINGS zao kutatua hiyo shida. Haya Maisha usipokuwa mgumu unatumika sana
Indonesia
14
49
160
10.1K
SEM☀️
SEM☀️@Lyakale_·
@Sativa255 Katuwakilisha hadi sisi wajomba ni mama ase. Mtu haujaona hata mwili wa mpendwa wako halafu wanataka ukapange foleni ya kugawiwa milioni moja? Thubutuuu 🫵
Indonesia
1
2
10
550
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mama kawakilisha wamama wote waliopoteza watoto wao #Mo29 Huu ndio msimamo wa Taifa.
Indonesia
8
179
818
15.9K
Baba Faith.
Baba Faith.@Gervasmgaya3·
@officialshakuu Achana na mkopo uza nyumba anza biashara najua pesa hautaishia kwenye Biashara Nunua kiwanja endelea kufanya biashara huku unajenga tena, ila ukikopa Biashara ikayumba utakosa nyumba na biashara uaibike .
Indonesia
2
0
4
330
Life Of Vike
Life Of Vike@Life_of_vike·
Wayback 2023 ! Nilipata MAMSI MOJA age imeenda kidogo ilikua ya 1992 hivi ! Bhasi Mkali Urefu ukanipa kiburi nikarusha kamba akaingia Box pale ! Ile Mamsi ilikua inafanya kazi Hospital moja hivi hapa mitaa yetu ! Bhasi ikawa ikitoka Job inapita pale UWANJANI NYASAKA PRIMARY 😃
Indonesia
73
33
365
27.4K
• Kardinali retweetledi
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Vp tena mbona kama huu Mwaka hauna DECEMBER au ndio mambo ya Fashooon??
Indonesia
19
2
22
7.3K
• Kardinali retweetledi
Brooklyn Abdulateef
Brooklyn Abdulateef@REALBROOKLYNMBE·
Manager unaitwa kusolve kesi waitress kauza Brutal moja 15k hata mm naogopa kwenda 🤣🤣🤣
Filipino
16
21
632
33.6K
HATUSHINDWANI BEI STORE.
HATUSHINDWANI BEI STORE.@zizujo01·
Kwa mfano nikitaka kufanya Money laundering. Kwa Tanzania njia rahisi na nyepesi ni zipi??
Indonesia
84
44
474
75.9K
• Kardinali retweetledi
໊
@mellowjnr_·
Hmmm… Ok this is interesting 🤔
English
1.5K
7.2K
86.6K
1.9M
Kaka yake na Mchumi Mrembo
Kaka yake na Mchumi Mrembo@Kawambwa01·
@Kariakoo_ Dar to Z,bar sio mbali kiivyo, Kama uncle wangu alikuwa anaenda z,bar kwa kuogolea na jioni anarudi Dar kwa kuogelea.
Indonesia
13
0
19
2.6K
N I N J A
N I N J A@Ninja_Damour·
1/2 Habari Familia, Mungu ni Mwema baada ya Kuchukuliwa na watu nisiowafahamu Jmosi Asubuhi, niliachiwa kwa dhamana juzi jioni. Shukrani sana kwenu kwa kupiga kelele, kuniombea hata na kupambania kwa kila namna. Hata wale tuliotofautiana kwenye football, Music na itikeli zingine.
Indonesia
326
538
1.9K
72.5K