Rouhan Isa

7.2K posts

Rouhan Isa banner
Rouhan Isa

Rouhan Isa

@IsaRouhan13797

أنا لا أخاف من ضجيج الناس، أنا أعرف من أين أتيت.✨

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2025
2.8K Takip Edilen505 Takipçiler
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@rusted_cleat·
Kwenye forex bado napata mixed feelings mtu anakuambia alipoteza 1.7B ambazo alizipata akiwa na miaka 21 mmmh We listen and we judge 😅
Filipino
34
22
126
8.9K
tutla Cholo
tutla Cholo@tutla7·
Usishangae huyo jamaa anae hojiwa video zake zinasambaaa humu ikawa ni # ya forex Tl usiamini saana
Indonesia
9
3
57
3.3K
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Pesa halali ni ngumu lakini hatuna namna wacha tuitafute, kwanza vizuri vingi havipatikani kirahisi.
Indonesia
7
24
178
1.7K
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Pale hakuna cha Forex wala nn ni utapeli na maandalizi ya kisaikolojia kuwavuna watu wengi wenye tamaa na haraka ya maisha anachofanya janja ni kujenga kuaminika baadake sasa atakuja na mradi wake sijui ni darasa huru au ni sijui ponzi scheme sijui ila litakua na vilio sana😅
Indonesia
9
18
64
2.1K
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
Jembe alichoma 1.7B akiwa na miaka 21. Na watu wazima walikua wanampa kibunda. Watu wa pesa mtandaoni hua wanaaminika haraka kuliko biashara nyingine kwa nini?
Indonesia
32
54
448
37.8K
Ambele Young
Ambele Young@Ambele_Young·
Mwanaume ukijifanya uko romantic sana lazima ukutane na matukio kama haya 😂😂😂
Ambele Young tweet media
128
88
635
40.4K
TricyLove🦁
TricyLove🦁@amprincess9·
Jana mida ya saa 6 usiku tulipita maeneo fulani sinza sio wadada tu walisogelea gari nilishangaa kuona wakaka wawili wazuri nao wakija pia tena kwa haraka 😒
Indonesia
77
41
778
44.1K
Rouhan Isa
Rouhan Isa@IsaRouhan13797·
Ukumbusho ni zawadi majuto ni adhabu chagua kusikiliza mapema kabla hujalazimika kujilaumu baadaye
MR BEN@Eric__Bernard

@EsirEid Nashangaa wanaotafsiri hii kama Masimango. Mhusika anapikwa kwa Tweets zake mwenyewe ambazo aliwahi kuandika humu ndani kuhusu watu wengine. Hakuna anayemsimanga ni kumkumbusha Tweets zake tu.!

Indonesia
1
1
1
360
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Mimi nitafukua Makaburi… na MSAADA NITATOA… Umekua miongoni mwa watu walionipiga Spana kwa kuwasaidia watu Mitandaoni ila leo mm nakutumia Hela mtandaoni na wewe unaomba Msaada mtandaoni kama walivyoomba wale uliokua unawaponda! Sina Beef na wewe… tunaweka kumbukumbu sawa! Kama jinsi nlivyowasaidia wale na Leo tunakusaidia wewe… ila ingekua bora kama ungeweka Bill nzima hapa- ili tujue tunachanga kiasi gani! Mtu anaweza toa laki 5 kumbe bill ni laki 2 au mtu akatoa elfu 50 akajua amemaliza kumbe bill ni milion 5. UGUA POLE Bro… MWENYEZI MUNGU AKUPONYE na Akujaalie uwe na AFYA NJEMA🙏🏽 Binafsi nipo tayari kwa mchango mwingine- ukiweka taarifa zako sawa!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿 tweet media
Filipino
269
144
880
81.8K
Rouhan Isa
Rouhan Isa@IsaRouhan13797·
@EsirEid Ukumbusho ni bora kuliko majuto unakupa nafasi ya kurekebisha mapema maana majuto hayabadili chochote zaidi ya kukutesa moyoni
Indonesia
0
0
0
11
tutla Cholo
tutla Cholo@tutla7·
Vanessa kila muda ana wakumbusha wanawake waachane na wanaume maskini ambao hawawezi kuhudumia nice
Filipino
15
10
207
14.8K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Bank ya Amana ni Bank ambayo haiweki Riba katika Mikopo Dhamana yako Mkopo wako Wanapataje faida hapa? 😂
Indonesia
37
42
605
38K
Rouhan Isa
Rouhan Isa@IsaRouhan13797·
@fintanjr_ Hakuna mwanamke alie salama kwa sasa labda mama zetu tu
Indonesia
0
0
0
15
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
😂💔Sasa kama sio mambo ya kifala haya ni nini??
The champ👑 tweet media
Indonesia
36
22
160
9.9K
Ambele Young
Ambele Young@Ambele_Young·
Kama hujawahi kukutana na shimo kama lile basi ujue kwenye kuchakata mbususu wewe bado sana 🤣🤣🤣
Indonesia
22
25
107
3.6K
PàChâ#1738 💫
PàChâ#1738 💫@Tweener003·
Nina miaka 10 dar es salaam ila sijawahi kusikia wazalamo wanaongea kilugha chao au wenyewe lugha yao ndio kiswahili ?
Indonesia
38
42
500
31.7K