Eng. IsackK retweetledi
Eng. IsackK
36 posts

Eng. IsackK
@IsackKamwelwe
Mbunge wa Katavi, July 18- Novemba 2020 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Dodoma, Tanzania Katılım Ağustos 2018
175 Takip Edilen1.1K Takipçiler
Eng. IsackK retweetledi
Eng. IsackK retweetledi
Eng. IsackK retweetledi

We would like to inform our dear customers that we are starting our new route from 6/4/2020 ,Dar to Mwanza Via Kilimanjaro.
Book your flight : airtanzania.co.tz or Call us at 0800110045
#FlyAirTanzania
#TheWingsOfKilimanjaro
#AirTanzania
#Kilimanjaro #Daressalaam #Mwanza

English

@TaruraTz wasilisha jambo unalotaka kuwasilisha
Noreen Toroka@NoreenToroka
TARURA wanapatikanaje? Waziri @IsackKamwelwe
Indonesia
Eng. IsackK retweetledi

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku wa leo 21/04/2019.
#UtabiriTZ

Indonesia
Eng. IsackK retweetledi

Rais Dkt. @MagufuliJP pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli, Waziri wa Ujenzi Eng. @IsackKamwelwe wakivuta utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi mradi wa Ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Mbinga mjini mpaka Mbamba Bay km 67

Indonesia
Eng. IsackK retweetledi
Eng. IsackK retweetledi

Pesa inatafutwa lakini UHAI hautafutwi.! Dereva wa bodaboda usikubali kuhatarisha usalama wako barabarani kwa kubeba mzigo unaozidi uwezo wa chombo chako cha moto. #Ajalisasabasi
Seneta Bajabir™️@bajabiri
Dereva wa gari,uwaonapo hawa jamaa uwe makini sana.Huwa hawaoni wala kusikia gari iliyonyuma yao na isitoshe wapo ambao huweka redio zao sauti ya juu sana. Zingatia hilo kuepusha ajali zinazoepukika...... #AjaliSasaBasi
Indonesia
Eng. IsackK retweetledi

Utabiri wa Hali ya Hewa wa siku tano na athari zinazoweza kutokea. Umetolewa leo tarehe 18/01/2019 na Mamlaka ya Hali ya Hewa @tma_services
#utabiriTZ
#5daysforecast


Indonesia
Eng. IsackK retweetledi
Eng. IsackK retweetledi

Utabiri wa Hali ya Hewa wa saa 24 zijazo kuanzia saa 3 usiku wa leo tarehe 18/01/2019.
#utabiriTZ

Indonesia
Eng. IsackK retweetledi

@IsackKamwelwe Mh. Naomba e-mail yako, au simu yako nina shida inayotokana na TBA. nahitaji kukufikishia tatizo letu ili uweze kutusaidia maana naona nenda rudi kwa meneja wa TBA imeshatuchosha.
Indonesia

@majiydsuru @tzDiscovery Pata muda tu ufatilie miradi mbalimbali inaendelea kutekelezwa,panapokuwa na ucheleweshaji mahala flani hatua stahiki huchukuliwa endapo kuna uzembe umefanyika. Serikali itaendelea kutekeleza miradi kama ilivyoahidi na kuiweka kwenye mipango yake

Indonesia

@IsackKamwelwe @tzDiscovery Hatua za maendeleo tunazopiga ni fupi sana. Nakumbuka eneo la Uwanja wa Ndege wa Msalato umefanyiwa usanifu tangu mwaka 2007. Kuanzia wakari huo sisi wananchi tulioondolewa tuliahidiwa kupewa fidia kwa ajili ya maeneo yetu. Leo ni mwaka wa kumi, hakuna fidia, hakuna maendeleo.
Indonesia
























