Jackline Lyimo

1.8K posts

Jackline Lyimo

Jackline Lyimo

@JacklineLyimo7

Katılım Ağustos 2022
0 Takip Edilen177 Takipçiler
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@iam_saii1206 @Sativa255 Bado akili hauna, ww lengo si upate hela yako yote MILION 28???? .Au hujaona hesabu hapo za kupata milion 28 ambayo iko na Advantage mara mbili?? Kwamba hukosi vyote??? Iki boom inatoa jumla 28 na ile 3 ulosave Ikilost kama hivyo unabaki na ile ulosave M 3, Huekew nn apo??
Filipino
1
0
0
11
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Nilale sasa.😤 Ila kama ulikuwa huamini "Uchawi upo" - anza kuamini sasa.
Filipino
81
59
1.1K
59.2K
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@iam_saii1206 @Sativa255 Unashangaa nn sasa, mbona hata hiyo milion 3 hajaipata??? wewe si unatamaa ya milion 28, sasa hiyo sretegy ndo nimekupa ambayo sio ya mtaka yote kwa pupa, hutoki patupu, faida ni mara 6 ya stake yako ya laki 5
Filipino
1
0
0
52
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@George_Ambangil We mchambuzi wa wapi ww, kufungwa kwa liverpool na chelsea ndo imekuja KUIPA THAMANI ile point moja tuliyopata, ingechoma kama pasi liva au chelsea angeshinda afu sisi tuwe na ile sare, UMEELEWA.. so ile point moja imepanda thamani bada ya matokeo ya jana ndugu MCHA-MBUZI!!
Indonesia
2
0
1
266
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Kufungwa Liverpool na Chelsea leo ile sare ya jana yetu ndio inazidi kuchoma kama pasi , daah 😭
Indonesia
38
46
984
21.2K
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@MinisterMselem @YoungAfricansSC Uko sahihi asilimia mia, yule kocha alikua ni kama baba anaewapenda watoto wake, alikua anawapenda wachezaji sana na ukimya wake viongozi wetu HAWAKUMPENDA, wao walitaka kocha mwenye VIBE stail za ramovicb sasa yule mzee hayakua mambo yake,yy ni mzee wa kufukuza mwiz kimya kimya
Indonesia
0
0
2
33
Mselem Minister
Mselem Minister@MinisterMselem·
@JacklineLyimo7 @YoungAfricansSC Jack unaona kama mimi🙌 Katika makocha niliowahi kuwakubali basi ni Miloud kwasababu alikuwa Hana mambo mengi ila timu yake ilikuwa inagusa mnoo🔥 Rejea game ya Simba na Yanga ila tunabeba ubingwa mbele ya mtani .. tulicheza kikubwa mnoo na wiki iliyofata tunamchapa singida Aman
Filipino
1
0
2
79
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Viingilio vya KIBABAGE katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya TRA United ambao utapigwa hapo kesho. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Filipino
17
28
615
11.1K
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@YoungAfricansSC Hawa majeruhi kwa sasa hawana umihimu sana kwa hizi mechi ndogo ndogo, hizi watafunga hata kina shekhani, Cha muhimu watibiwe warudi imara zaidi kabla ya mechi kubwa zinazokuja za kuamua Ubingwa Mpk sasa tuna nafasi ya kuchukua kombe la ligi UNBEATEN muhimu wachezaji wakaze
Indonesia
0
0
1
349
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
Nyota wetu wanaokosekana dhidi ya Mtibwa Sugar leo 🇦🇴 Laurindo Depu 🇨🇩 Chadrack Boka 🇹🇿 Clement Mzize 🇹🇿 Dickson Job 🇿🇼 Prince Dube
Indonesia
36
28
529
15.6K
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@YoungAfricansSC Kuna kitu kinaniambia Hii mechi ya lei dhidi ya AZAM panga pangua lazima VITINHA(Mudathir) aanze kikosi cha kwanza, Mudathir yahya a.k.a Vitinha kuna namna kajipata kwenye mechi za hivi karibuni ameupiga mwingi sana!!!
Jackline Lyimo tweet mediaJackline Lyimo tweet media
Indonesia
0
0
1
267
Wilson Oruma 🇹🇿
Wilson Oruma 🇹🇿@Mzeewajambia·
Tanzania Prisons wanasema walipewa na TPLB wachague Jamhuri Dodoma au Ali Hassan Mwinyi . Wakachagua Ali Hassan Mwinyi. Wapo njiani Kuelekea Tabora wanapokea tena taarifa ya TPLB Kwamba Ali Hassan Mwinyi haukidhi Vigezo Leo watatoka Tabora Kuelekea Dodoma na Mechi ni Kesho.
Indonesia
21
3
191
6.5K
Wilson Oruma 🇹🇿
Wilson Oruma 🇹🇿@Mzeewajambia·
Kitu ambacho nataka Kuwahakikishia TPLB Simba Sports hii watalipiza tu Kwasababu technically Yanga ndo wameamua Mechi Yao dhidi ya Tanzania Prisons ikachezwe Dodoma Wenyeji wa Mchezo Tanzania Prisons walichagua Ali Hassan Mwinyi na tayari walikuwa njiani wanaelekea Tabora .
Indonesia
44
13
428
28.5K
Jackline Lyimo
Jackline Lyimo@JacklineLyimo7·
@Charles_Mwanyan @Mzeewajambia Lazima upite lami Kaka, ni bora upite km 600 za lami kuliko 50O au 400 za vumbi, Ukimiliki chombo cha moto utaelewa.. Kwa Dereva atapita shot cut akuibie mafuta ila chombo kinakua rehani!!!usipojua utamkubalia
0
0
1
43
Charles Mwanyanje
Charles Mwanyanje@Charles_Mwanyan·
@JacklineLyimo7 @Mzeewajambia Okay! Tufanye assumption bas! Ukipita barabara ya vumbi unatumia masaa 8 na ukipita hiyo ambayo sio vumbi unatumia masaa 12 ipi ni nafuu zaid?
Filipino
1
0
0
37