Sir Kiherehere

4.8K posts

Sir Kiherehere banner
Sir Kiherehere

Sir Kiherehere

@SirKiherehere

jinga

Kuma-mura, Kumamoto Katılım Kasım 2021
1.5K Takip Edilen553 Takipçiler
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
Niwe tu mkwel huyu qm mim hajani motivate kwa lolote 🚮🚮
ochola..🦅⚠️ tweet media
Indonesia
150
12
308
30.5K
millardayo
millardayo@millardayo·
Kiungo wa zamani wa Kenya na Vilabu vya Tottenham na Southampton Victor Wanyama leo ametangaza rasmi kustaafu kucheza Soka akiwa na miaka 34. Wanyama amecheza Soka kwa miaka 19 akiwa amewahi kuzitumikia timu za Beerschot ya Ubelgiji, Celtic ya Scotland, Southampton na Tottenham Hotspurs za England, CF Montreal ya Canada na Dunfermline ya Scotland. Victor Wanyama ameacha rekodi kadhaa ikiwemo mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kucheza EPL. #MillardAyoUPDATES.
millardayo tweet media
Indonesia
18
22
921
34.7K
Trojan Horse 🎭
Trojan Horse 🎭@anon_codex·
Hapa @NMBTanzania walitulia aisee 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Trojan Horse 🎭 tweet media
Filipino
68
14
284
30K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI PICHA: Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini. Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam.
Jambo TV tweet media
Indonesia
256
16
243
88.5K
Scarface
Scarface@ffmakundi_·
@Jaguar_455 Hapo ili upone inabidi umeze na box lake
Filipino
2
0
0
253
JAGUAR.
JAGUAR.@Jaguar_455·
Najiona kabisa nakoelekea ni kubaya sana dua zenu ni muhimu wakuu.
JAGUAR. tweet mediaJAGUAR. tweet media
56
24
189
21K
Nubian
Nubian@whamsterm·
@ayubu_madenge Hawafi wako sehem wametulia hii ni mbinu ya kivita siku wanaibuka wote na Khamenei pia. Iran balaa anatisha mzee anaweza piga Israel yote siku moja hataki tu anawaonea huruma.
Indonesia
6
0
11
898
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Iran imethibitisha rasmi kifo cha Rear admiral Alireza Tangsiri, Mkuu wa Jeshi la Majini la IRGC, kilichosababishwa na mashambulizi yaliyofanywa na Israel.
Ayubu Madenge tweet media
HT
12
38
688
19K
PaYRoLL🗽
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX·
@sikoi56 @Kimbesa11 @Jambotv_ @SuluhuSamia In fact, hizo mortality rate wanapika data na kazi hiyo zipo supervised na wakurugenzi na wakuu wa idara kwa maagizo maalum. Hakuna kureport vifo vya watoto. Nchi inaumwa hii.
Filipino
2
0
1
41
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
Fainali ya Playoff ya Kufuzu World Cup 2026 𝗝𝗔𝗠𝗔𝗜𝗖𝗔 🇯🇲 vs 🇨🇩 𝗗𝗥 𝗖𝗢𝗡𝗚𝗢 🗓️ Aprili 1, 2026 🏟️ Akron Stadium, Mexico 🇲🇽 ⏰ Saa sita kamili usiku Nani atafuzu World Cup 2026?
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
11
16
642
10.3K
OSAMA BIN LADEN
OSAMA BIN LADEN@AllyAssed13070·
Nyerere amekwenda mkewe yupo! Karume amekwenda, mkewe yupo! Sokoine amekwenda, mkewe yupo! Mwinyi amekwenda, mkewe yupo! Mkapa amekwenda, mkewe yupo! Magufuli amekwenda, mkewe yupo! Lukuvi amekwenda, mkewe yupo! Wanaume tuna jambo kubwa la kujifunza kuhusu maisha!
Filipino
53
65
524
23.7K
edgar kibwana
edgar kibwana@KibwanaEdgar·
Hawa 🇲🇴Macau wanaweza kucheza na Taifa Stars kwa wiki nzima bila ya kuwa na madhaara yoyote... 🇲🇴MACAU 0-2 🇹🇿TANZANIA
edgar kibwana tweet media
Indonesia
2
0
106
1.4K
Muhama Rjb
Muhama Rjb@MuhamaRjb·
@EduTalkTz Video haina uhusiano wowote na uislamu. hayo matendo hayapo kwenye uislamu na wala hayakubaliki.
Filipino
3
0
0
465
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mkristo anamcheka Muislam kwa kwenda Hija Mecca na kusymbolize kumpiga shetani mawe; Muislam anamcheka mkristo kwa kutundika picha za muigizaji fulani nyumbani kwake na kumwita Mungu; babu anayefanya tambiko anawashangaa wote. Kila mmoja ana Mungu wake.
Filipino
12
14
86
11K
TOXIC DAWG
TOXIC DAWG@iMajeshi_·
Wanawake, Huu upumbavu hauna mvuto wowote, fanyeni mazoezi na muache kula-kula hovyo kama nguruwe.
TOXIC DAWG tweet media
Filipino
70
32
271
38.7K
S T
S T@zimonish·
@LifeHaxx101 How did this (1) turn to that (2)?
S T tweet mediaS T tweet media
English
12
0
102
13.5K
LifeHaxx101
LifeHaxx101@LifeHaxx101·
Turn a giant hedge into a secret lounge
English
161
125
2K
2.4M
Danny Ngudungi
Danny Ngudungi@DannyNgudungi·
@iboysean Kwan Sekretarieti ya Ajira hakuna janja janja huko??
Indonesia
1
0
1
428
Sean 🦩
Sean 🦩@iboysean·
Hapana waachiwe Sekretarieti ya Ajira hizi janja janja zimeanza.
Sean 🦩 tweet media
Indonesia
114
77
1.2K
82.9K