Shaüri Jř🦂
7.2K posts

Shaüri Jř🦂
@ShauriAnderson
Dad,TruckDriver,Arsenal Fan
Pwani, Kibaha.Tanzania Katılım Ocak 2022
892 Takip Edilen402 Takipçiler

Nimetengenezewa picha za video naambiwa na picha za uchi wanaenda kuzishare wandishi wa habari wananitafuta wananiambia tumepewa pesa tukuchafue kwahiyo niwalipe wakaibuka wakatafutwa na mtu wakalipwa wakajifanya wanafanya mahojiano kumbe wamepewa pesa walipangwa
kwanini kumwaangusha Nick Shaboka why wakati focus yangu ni kazi ya Mungu?
Mliofika kanisani mnajua Jengo Lilivyo Naambiwa natembea na wasichana kwenye chumba cha Office kale kaofisi kalivyo Utapiga Shoo kwenye kale kaofisi upande wapili wasisikie
Watu wamekuja na nia mbaya Mnataka nionekane malaya mnzinzi ??
mara Shaboka amezaa na mshirika mshirika Yupi si mlete picha...
Amesema hayo -Pastor Nick Shaboka

Filipino

@tibaasili3 @MkulimaKante Na Asipo Timiza Matumizi Ya 3Mil Kibunda Kinakata Qmmk Ogopa Sn Pesa Ya Ndagu
Indonesia

@MkulimaKante alikuwa mtu kumbe mashart ya mganga kila siku lazima amalize 3m kwa bata tu
Filipino

Pale Mafinga kulikuwa kuna don mmoja akiingia bar akakuta mmekaa kinyonge anapaza tu sauti kuwa mhudumu nisingependa kuona mm nakunywa kwa furaha huku wengine wamekaa kinyonge zungusha nne nne kwa kila mtu bar nzima.
Akiagiza mchemsho utasikia anaropoka siwezi kunywa mchemsho peke yangu wakati wenzangu wananitizama zungusha michemsho bar nzima sijazaliwa kuwa mchoyo.
Yule mwamba alikuwa anapendwa sana sijui kama bado yupo nilibahatika offer hiyo siku moja nikiwa Mafinga pale🙌
Indonesia

@Sisimizi3 Huyu Anapandishwa Na Gavoo Kileleni Ili Kumzima Jasusi Qmmk Ila Hamna K2
Indonesia

@Labella_Mafia95 Zuhuru Ananidhamu Kisen***Sema Ni Kazi Tu Ndio Inamgeuza Geuza

@IgoraIrene32964 Bora Muwe Wengi Sasa"Mbaya Zaidi Unakuta Wenzio Wana Loss 400"Wewe Ndio Umefungua Sheli 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Indonesia

@ZPlanmaster Walipoanza Kumfananisha Na Kanumba Tu Ndipo Walimwalibia
Indonesia

@zoetjesheeftX Angalia Picha Ya Miguu Yake Inaonyesha Wazi Kuna Sehemu Amekanyaga Mwenyewe"Kifo Mnakichuliaje
Indonesia

@Tweener003 Punguza Sauti Haya Mambo Hayana Mwenyewe"Niliwahi Shuhudia Mganga Anachapiwa Mali Na Sheikh Mmoja"Na Mganga Asemi Kitu Na Anajua..Usiombe Yakukute
Filipino

@UrBoyMox Uwezo Wako Ukiwa Mdogo Lazima Uone Unabaguliwa"Ishu Ni Kujiamini Kama Ipo Ipo Tu"
Filipino

@Abraha1Brighton Ujuaji Wa Huyu Janja Ndio Unamponzaga Kwa Hawa Manzi"Hili Ni Tukio La Pili Janja Anapigwa #KnockOut Tunashindwa Hata Kumtupia Kitaulo Kumwokoa Sbb Ana Kaubishi"
Indonesia

@fintanjr_ Kama Haujatumia Sent 5"Usijipe Umuhimu Wa Kunishauri😂😂😂
Indonesia

@Elsukay0 Hapa Kama Una Akili Ya Kiume"Unaweza Ukatengeneza Connection Kubwa Kiseng*** Ukapata Zaidi Ya Hiyo 50K Uliyotoa Kama Kiingilio
Filipino

@mananajr_ Mmoja akiingiwa tu na tamaa , Kamanda muliro atajitokeza akiwa na gloves
Filipino





























