Jamal Jr
813 posts


@MaulidiKilala @Aruatani Kwani waislamu mungu wao si wanamuita Allah?sasa ulitaraji wakumbie nini?? ila kiuhalisia wanamuabudu Lucifer na ndio wanamuita mungu mwenye cheo cha mwezi na nyota mabegani! Sijui ni Sir major ama Luteni kanali?No Christ no eternal life,thats dead end.
Indonesia

@mwandamizittz @Tommskarsgard Uko nyuma sana bro, au leo ndiyo umeanza kufuatilia mission yao,
Indonesia

@JamalJr_6 @ayubu_madenge Wapi umeona wanashangilia, bora niwe najua vitu badala ya kua mbumbumbu
Indonesia

@pastajoshuatz Kwahiyo unakubaliana na bwana wako mzungu kwamba babu yako alikua nyani, kwamba na ww asili yako nyani, huu ni uwendawazimu
Filipino

@JaasonJassel @ayubu_madenge Sema ww muongo mtaalamu wa siasa kutoka buza
Filipino

@ayubu_madenge USA mjanja Sana kafanya hivyo ili kuwaondoa raia waliopangana kwenye madaraja na kwenye miundombinu ya umeme ,wakishatoka tu anavunja vunja madaraja na vinu vyote vya umeme
Indonesia

@knghnri @ayubu_madenge sio bongo tu hata wairan wanashingiria baada ya kupatiwa points 10 wanazozihitaji acha kujitia ujuaji
Indonesia

@ayubu_madenge Only in bongo utasikia Iran ndo wameshinda, ceasefire ni ya wiki 2 tu
Indonesia
Jamal Jr retweetledi

You can earn $9000/month if you have ChatGPT, a laptop, an internet connection, and 60 mins a day.
Normally, I charge $83 for this guide, but today I'm giving it away for free.
Like + reply 'Money' and I'll send you my full guide for FREE.
Must follow me to get guide in DM.
Free for 48 hours only.

English

@nizokati9 Kumpa ushindi wakati anakuwa chini ya uangalizi wa Marekani 😅
Indonesia

IRAN IMEBIDI WAWE WALPOLE TU , Elewa neno Mapendekezo ansante.
MAPENDEKEZO 10 YALIYOTOLEWA NA IRAN LEO APRILI 7, 2026 kama counter-proposal kwa mapendekezo ya kusitisha vita na Marekani/Israel.
Mwisho wa kudumu wa vita sio kusitisha kwa muda mfupi tu katika eneo lote.
Dhamana za usalama kwamba Iran haitashambuliwa tena na Marekani au Israel.
Kukomesha mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah nchini Lebanon na washirika wengine wa Iran katika eneo hilo.
Kuondolewa kabisa kwa vikwazo vyote (sanctions) vya Marekani na kimataifa dhidi ya Iran.
Kukomesha migogoro yote katika eneo pamoja na Iraq, Yemen, n.k.
Itifaki ya usalama wa kupita protocol for safe passage kupitia Strait of Hormuz, ikiruhusu Iran kudhibiti au kutoa sheria.
Kufungua tena Strait of Hormuz kwa meli, lakini kwa masharti.
Kutoza ada ya takriban $2 milioni kwa kila meli inayopita kugawanywa na Oman.
Msaada wa kujenga upya (reconstruction) wa miundombinu iliyoharibiwa na mashambulizi, kupitia mapato ya ada au fidia.
Mwisho wa uhasama na kurudi kwa mazungumzo ya amani ya kudumu, pamoja na kukubalika kwa urutubishaji wa nyuklia wa Iran na mambo mengine.
Wamekubali TRUMP SIO OBAMA AU BIDEN 😅😅😅


Indonesia

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametishia kujiondoa katika muungano wa NATO, akieleza kutoridhishwa kwake na kile alichokiita ukosefu wa msaada wa kutosha kutoka kwa washirika wake, hususan katika suala la kufungua Mlango wa Bahari wa Hormuz wakati wa mvutano unaoendelea na Iran.
Akizungumza kuhusu hali ya vita kati ya Marekani na Iran, Trump amesisitiza kuwa anatarajia operesheni hiyo kumalizika haraka, akisema licha ya kutoweza kubainisha muda rasmi wa kumalizika kwake, Marekani “haitachukua muda mrefu” kujiondoa katika mzozo huo.
Kauli hiyo imekuja wakati ambapo shinikizo la kimataifa linaongezeka, huku baadhi ya Nchi Wanachama wa NATO zikilaumiwa kwa kutochukua hatua madhubuti kusaidia juhudi za Marekani katika kuhakikisha usalama wa njia hiyo muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani.
Trump pia ameeleza kuwa ataeleza rasmi kutoridhishwa kwake na NATO katika hotuba yake kwa taifa, akisisitiza kuwa uamuzi wa kujiondoa katika muungano huo uko mezani na unazingatiwa kwa uzito mkubwa.
#MillardAyoUPDATES.

Indonesia

Wachina ni matapeli sana walidaganya irani huu mfumo wao wa HQ 9B AIR DEFENCE SYSTEMS ni bora duniani
Marekani na Israel hata waje na nini wataangushwa 😆
Marekani alipoigia mfumo hata haukushituka kama kuna maadui
China wana tecnologia ya ubabaisha kwaajiri ya nchi ambay o hazina uchumi mzuri

Indonesia

@Zephania_Ndaki Ktk dini tunaita ukhanithi kuna mstari mwembamba sn unaotofautisha na ushoga
Indonesia

@Rahim_Meghji Unaambiwa acha bidaa unasema ywywfwhwuiwjgwywgwvwimaowh shekh acha bidaaa hiyo sio dini
CY

@VungaEl74 Kwa machine zile walizozizika chini milima utawala wa iran kuanguka sahau, mbona hawaingii ndani km tulivyozoea wanavyovamia nchi nyengine
Indonesia

Pentagon Marekani kupitia shirika lake la kijasusi CIA na MOSSAD yameripo kuwa kuna vikosi mbalimbali ndani ya irani vya uasi.
Kuna mashambulio Kazaa ya wanajeshi wa jeshi la kmapinduzi wamefanyiwa na kuuwa
Vikundi hivi ambavyo vipo kinyume na serikali ya dola ya Kiislamu vimefanya matukio kalibia kila sehemu ya miji mikubwa ya irani
Ripoti inasema kuna hatari ya kuzuka kwa makundi mengi ya Uasi yanayo pinga serikali ya kikagaidi ya dola ya Kiislamu
Dola ya magaidi wa Kiislamu lazima ianguke kwa namna yoyote ile.


Indonesia

TUMALIZE UTATA
Mpaka sasa ulivyo fuatilia unaona nani anataka kuweka mpira kwapani?
Iran au (Israel na US)
#BilaGanzi


Filipino

@bajabiri Nachoona mm, siyo kwamba Israel hana uwezo wa kupiga makazi ya watu wa Iran, anao mkubwa, na hik kilio anacholia huwenda n kutafuta justification ili akianza kuifanya Iran kama Gaza asilaumiwe, wale jamaa huwa wakichora mstar wa kutovumilia ukiuvuka huwa hawarud nyuma.
Filipino

@RKishaija81715 Trump lazima apate mafuta kwa njia yoyote, hii ni constant.
Indonesia

Iran si Jamhuri ya Kiislamu.
Mwana wa mfalme wa IRAN. Reza Pahlavi🇮🇷
Miundombinu ya raia ya Iran ni ya watu wa Iran na ya mustakabali wa Iran huru.
Miundombinu ya Jamhuri ya Kiislamu ni mfumo wa ukandamizaji na ugaidi unaotumika kuzuia mustakabali huo usiweze kuwa kweli.
Iran lazima ilindwe. Utawala lazima uvunjwe. Ninamuomba Rais Trump na Waziri Mkuu Netanyahu waendelee kulenga utawala na vifaa vyake vya ukandamizaji, huku wakiacha miundombinu ya raia ambayo Wairani watahitaji kujenga upya nchi yetu.
Kwa msaada wa Marekani na Israeli, na zaidi ya yote kujitolea kwa wazalendo wa Iran, saa ya uhuru wa Iran imefika. Iran iishi milele!
KingRezaPahlavi 👑🇮🇷

Indonesia

@VungaEl74 Iran ameanza kujijenga tokea baba yako hajazaliwa unataka kuwafundisha
Filipino
















