Japhal japha

3.9K posts

Japhal japha banner
Japhal japha

Japhal japha

@JaphalShaban

@ManCity 💙 @YoungAfricansSC 💚 💛 #Pambania_unachokiamini.

🇹🇿🇺🇬 Katılım Ekim 2020
1.9K Takip Edilen1.9K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Japhal japha
Japhal japha@JaphalShaban·
Jitahidi sana katika kufanya kazi, Ndoto, na Majukumu yako, lakini usisahau kuishi Maisha yenye Furaha na Amani.
Japhal japha tweet media
Indonesia
4
13
14
2.2K
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Piga picha kilichopo mbele yako.
Njiwapori 10k tweet media
Filipino
31
29
70
4.5K
Japhal japha retweetledi
Mtonda Jr🇹🇿
Mtonda Jr🇹🇿@mtondaabdallah·
Kushindwa si mwisho wa safari, ni sehemu ya kujifunza. Watu wengi wanaofanikiwa leo si kwa sababu hawakuwahi kuanguka, bali kwa sababu walikataa kubaki chini. Endelea kupambana, siku moja juhudi zako zitalipa.
Indonesia
8
15
31
445
Japhal japha retweetledi
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
Umetulia zako kijiwe una chomelea mageti mara mtu anakushtua bro nasajili laini kumuangalia ni jamaa alikua anawaongozeaga darasani
MAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
17
24
68
1.7K
Japhal japha retweetledi
Placide Trevor🇧🇮
Placide Trevor🇧🇮@PlacideTrevor·
Kuwa mwema kwa kila mtu unayekutana naye hujui ni nani atakuwa msaada wako kesho ✍️✍️
Filipino
9
18
26
530
Japhal japha retweetledi
Mthesalonike wa KIANDA✍️
1Wathesalonike 2:13 Kwa sababu hiyo sisi nasi twamshukuru Mungu bila kukoma, tena twamshukuru kwa kila jambo🙏
Indonesia
7
16
21
300
Japhal japha
Japhal japha@JaphalShaban·
@EdwinMjeru ukishapata kitu ile tamaa ya kupata inaondoka, unabaki na ukweli.✍️
Filipino
1
1
1
27
Japhal japha retweetledi
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Usiache tamaa ya kitu unachokitaka ikafunika ukweli juu ya kitu unachokitaka. Fanya ‘Reality test’. Je, ni ukweli gani juu ya hicho kitu napaswa kufahamu kabla sijafanya au sijakipata. Kumbuka ukishapata kitu ile tamaa ya kupata inaondoka, unabaki na ukweli. Kwamba, ulikuwa ni maamuzi sahihi au laaa!
Indonesia
3
5
16
321
Japhal japha
Japhal japha@JaphalShaban·
@EdwinMjeru “Usifukue Ndoto yako kabla haijachipua” Ni onyo dhidi ya kukata Tamaa mapema.Watu wengi huacha Juhudi zao wakati ambapo mafanikio yalikuwa karibu zaidi kuliko wanavyodhani.Kama mkulima anayefukua mbegu kila siku ili aangalie kama imeanza kuota,anaishia kuiharibu badala ya kuikuza
Indonesia
0
1
1
85
Japhal japha retweetledi
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Kipindi cha “Invisible Effect” katika safari ya KUTOBOA kinaboa sana. Lakini, ni kipindi kizuri sana kujenga misingi ya NDOTO yako au; Kumwagilia mbegu ya NDOTO yako vizuri. Usiache kumwagilia ndoto yako. Wala usifukue ndoto yako kabla haijachipua. Nakutakia wiki njema! EFM.
Filipino
2
9
18
363
Japhal japha retweetledi
Mtombangile kitwango☠️
Mtombangile kitwango☠️@Mikazokitwango·
@EdwinMjeru Usiwe na haraka ya kuona Matokeo kiasi cha kuacha Mchakato. Usiache kumwagilia Ndoto yako. Wala usifukue Ndoto yako kabla haijachipua. Mafanikio ya kweli huonekana juu ya Ardhi baada ya kujengwa kwa Muda mrefu chini ya Ardhi.
Indonesia
0
7
6
72
Japhal japha retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Matokeo makubwa hayatokani na jambo moja kubwa,bali na mambo madogo yanayofanywa kwa uaminifu kila siku. •Kusoma kidogo kila siku hujenga maarifa. •Kuweka akiba kidogo kila mwezi hujenga mtaji. •Kuomba kila siku hujenga imani. •Kufanya kazi kwa nidhamu hujenga mafanikio.
Indonesia
20
68
206
2.7K
Japhal japha retweetledi
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
"kabla hujaanza harakati zako na kuanza wiki mpya hakikisha una piga goti kumshukuru Mungu kwa kukupa afya njema."
Indonesia
3
10
18
217
Japhal japha retweetledi
Faza 🪵
Faza 🪵@The_Mizani·
Hivi ni sahihi mwanaume kula hii kitu hadharani?
Faza 🪵 tweet media
Indonesia
20
10
68
2.4K