Kitwango Think Bigger Tz.🧠

24.6K posts

Kitwango Think Bigger Tz.🧠 banner
Kitwango Think Bigger Tz.🧠

Kitwango Think Bigger Tz.🧠

@JapharyWisdom

Dunia Haina Muda wa kumsubiri Mnyonge✌️/ @YoungAfricansSc💚💛 _ @Mancity 💙🤍/ Maisha ni Darasa. Ninaandika ili TuJifunze Pamoja. #ElimikaBureNaKitwango🧠

Tanzania 🇹🇿 Katılım Kasım 2013
3K Takip Edilen3.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Kitwango Think Bigger Tz.🧠
Kitwango Think Bigger Tz.🧠@JapharyWisdom·
Ukijua kudeal na Wajinga wajinga Umeyaelewa Maisha😀 Maisha si tu kuhusu Pesa au Mafanikio. Ni kuhusu kujifunza kuishi na aina tofauti za Watu bila kupoteza Amani, Heshima, au mwelekeo wako.
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 tweet media
Indonesia
17
56
153
8.9K
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
Sipingani na uamuzi wa BAKWATA Mkoa wa Dar es Salaam, lakini kwa mtazamo wangu naona kilichoathirika zaidi si mtu mmoja pekee, bali taswira ya Uislamu katika namna tunavyoshughulikia mambo ya aina hii. Mara nyingi tunaona viongozi wa dini nyingine wakikumbwa na changamoto mbalimbali, lakini taasisi zao husimama kulinda heshima ya taasisi na viongozi wao. Heshima yangu kwa uamuzi uliotolewa ipo palepale, ila naona muda na namna ya utekelezaji wake ungeweza kuzingatiwa zaidi. Kwa Sheikh Walid, napenda kunukuu Qur’an Tukufu: “Kwa kila muda uliowekwa kuna Kitabu. Mwenyezi Mungu hufuta Anachokitaka na kuthibitisha Anachokitaka, na Kwake ndiko kulipo Asili ya Kitabu (Ummu al-Kitāb).” — Surah Ar-Ra’d (13:38–39) Hakika umetumikia kwa juhudi katika kipindi chako cha uongozi. Mwenyezi Mungu akulipe kwa mema, akujalie kheri katika kila hatua na akuongoze kwenye yaliyo bora zaidi. Pia nakumbuka Hadithi ya Mtume Muhammad ﷺ iliyopokewa na Auf bin Malik (RA) katika Sahih Muslim: “Viongozi wenu walio bora ni wale mnaowapenda na wanaowapenda ninyi; mnawaombea na wao wanawaombea ninyi. Na viongozi wenu wabaya ni wale mnaowachukia na wanaowachukia ninyi; mnawalaani na wao wanawalaani ninyi.” Mwisho, tukiachana na nafasi za uongozi na tukitazama upande wa ubinadamu, kila mmoja hukumbana na mitihani katika maisha. Tunamuomba Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi, akulinde na akufungulie milango ya kheri. Mitihani ni sehemu ya maisha, na lililo muhimu ni kurejea kwa Allah, kuwa na subira na kuendelea kutafuta radhi Zake. Mwenyezi Mungu atujaalie sisi sote mwisho mwema, Atuongoze kwenye haki na Atujaalie umoja, hekima na udugu katika dini yetu. Aamiin. MKULIMA @FKihamu
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚 tweet media
Indonesia
28
9
115
17.7K
Kitwango Think Bigger Tz.🧠
Ndugu zangu Mimi Nalala Ila nawakumbusha kuwa Usihesabu Marafiki zako Wakati wa Sherehe,wahesabu wakati wa Matatizo Usivutiwe na idadi ya Watu wanaokuzunguka wakati wa Mafanikio.Thamini wale wanaosimama na wewe Wakati wa Changamoto,KwaSababu hapo ndipo Urafiki wa kweli hupimwa.
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 tweet media
Indonesia
0
7
14
185
Kitwango Think Bigger Tz.🧠
@SikilizaTogolan @tonytogolani Hapa tunajifunza kuwa;- Chagua Marafiki,Washauri,na Mazingira yanayokujenga. Shikamana na Watu wanaokuhamasisha kuwa bora zaidi, wanaokutia Moyo kufanya yaliyo Mema, na wanaokusaidia kukua. Maisha yako yataathiriwa kwa kiwango kikubwa na Watu unaowaruhusu kutembea karibu nawe.
Indonesia
0
1
1
48
SikilizaTogolani
SikilizaTogolani@SikilizaTogolan·
"Anayekupandisha, panda nae, anayekushusha usishuke nae." ~Togolani Mavura.
SikilizaTogolani tweet media
हिन्दी
6
29
128
2.3K
Kitwango Think Bigger Tz.🧠
@EdwinMjeru Kisa hiki kinatufundisha kwamba Fursa kubwa mara nyingi huanza kwa Mlango ambao hukutarajia. Usidharau Mwanzo mdogo,Fanya kila Kazi kwa Ubora,Hata kama sio ulioitamani, Kuwa Tayari kujifunza na kubeba Majukumu mapya Tabia,Nidhamu,na Uaminifu huonekana kabla ya kupandishwa Cheo.
Filipino
2
6
40
2.5K
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Kuna jamaa alituma CV yake kampuni XYZ kuomba kazi position ya Tour guide. Akapigiwa simu, akaambiwa “Kwa sasa hatuna nafasi ya tour guide ila tuna uhitaji na mtu wa reception. Kama uko tayari njoo piga kazi”. Jamaa bila kusita akaenda kupiga kazi kwa moyo wote. Siku moja kulitokea dharura, moja ya Ma-Guide wao hakuweza kufika kazini. Na kwa kuwa ili kuwa high season, alihitajika mtu wa kwenda na wageni siku hiyo hiyo porini. HR akamvutia jamaa waya, John jiandae leo unaenda porini na wageni. Kuanzia hapo John akabadlishiwa kitengo. Akawa kwenye timu ya Ma-Guide. Unajifunza Nini hapo?
Filipino
32
41
372
30.7K
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
Sikiliza! Mimi nasimama mlangoni na kubisha hodi. Mtu akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia nyumbani kwake na kula chakula pamoja naye, naye atakula pamoja nami. Ufunuo 3:20 BHN
Filipino
4
16
37
659
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
Kitwango Think Bigger Tz.🧠
Neno BAHATI niMaandalizi yalio kutana na FURSA Kile tunachokiita Bahati Mara nyingi si Tukio la Nasibu pekee,Bali ni Matokeo ya Maandalizi Usisubiri Bahati ikufuate,FanyaKazi kwa Bidii,Fursa inapowadia,Maandalizi yako ndio yatakayoifanya ionekane kama Bahati Machoni pa Wengine.
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 tweet media
Indonesia
16
37
46
476
Jiwe THREAD🐐
Jiwe THREAD🐐@Yassin_Jiwe·
Shukrani zangu hazitoshi kueleza wema wa Mungu. Asante kwa zawadi ya maisha na mwanzo mpya wa leo. ☀️
Indonesia
3
3
11
161
STAFF WA MTAA✨
STAFF WA MTAA✨@StaffwaMtaa·
Elimu, nidhamu na fikra sahihi vina nguvu zaidi kuliko bahati na uchawi 📌 .
2
11
32
294
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Isaya 54:17 “Hakuna silaha itakayofanywa juu yako itakayofanikiwa; na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao yatoka kwangu, asema Bwana.”
Filipino
9
46
228
6.5K
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Kabla hamjashangaa mbwembwe za Matajiri wa Kanda ya ziwa harusini kuna mtu alikua anaitwa Kitana,alifanyaga matusi bwana 😀
Indonesia
26
18
433
25.8K
STUNNA
STUNNA@CavityDamas23·
@JapharyWisdom Hawabadilishi mafuta ya kukaangia ni ayo ayo mpka yawe meusi
Indonesia
1
0
1
25
STUNNA
STUNNA@CavityDamas23·
Nimekumbuka muhogo wa mkoani ebu cheki ilivyo misafi alafu angalia iyo fremu ya pili ya dar 🚮
STUNNA tweet mediaSTUNNA tweet media
Indonesia
12
25
71
2.8K
DOCHA 
DOCHA @ALugandu·
Ambao Hatujaambiwa Good Morning My Love Tuko Wengii..!!😂😂 Good Morning Champs.
Filipino
12
15
29
1.1K
KONDOO WA SUFI
KONDOO WA SUFI@Kondoo_wa_Sufi·
Kimtazamo wangu mwana alikua sahihi kabisa Tena hizo enzi za millennial ilikua kupata mbususu unakua ume hustle likwe likwe 😂
KONDOO WA SUFI tweet media
Filipino
9
15
29
1.2K
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
𝗗𝗮𝗻𝘆𝗲 𝗠𝘂𝗳𝗮𝘀𝗮 🦁
Mmiliki Wa Hii Dunia Ana Mtoto Mmoja Tu. Wewe Una Miliki Chumba Na Sebule Una Watoto Sita. Jifunze Kutoka Kwa Mmiliki Wa Dunia.
Indonesia
3
13
26
345
Kitwango Think Bigger Tz.🧠 retweetledi
Man Like Sule™
Man Like Sule™@Maichagange·
Nyumbani kwako unapoishi siyo kituo cha daladala kila mtu apajue
Filipino
2
10
50
826