Wa mipango

20.1K posts

Wa mipango banner
Wa mipango

Wa mipango

@JosephKakolo

Katılım Eylül 2020
1.8K Takip Edilen782 Takipçiler
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@prossoff Siwezi kumuamini Madeleka mimi, labda mniue mimi sio mjinga bwana 😃
Indonesia
0
0
0
23
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Peter Madeleka tumuamini au ni maelekezo.
Indonesia
24
4
67
4.7K
Rakeem
Rakeem@Rakeem0101·
Kazi ngumu ni noma kuna jamaa alivyoambiwa kushusha semi yenye Pepsi take away 3,000+ mgao 20k akaiparamia alikimbia bila kutoa taarifa 😂🙌🏾
Filipino
17
22
290
13.8K
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@said9817143 @EngMapundajr Kaka yaani ukirudi unabaki unashangaa hivi hawa watu wanaishije ishije huku mbona kama ni mateso unasahau kuwa na wewe ulikuwaga unaishi huko!! 🤣
Indonesia
0
0
0
11
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Sema wakuu ukiweza kuishi Tabora na Katavi basi kwa TZ hakuna mkoa utakushinda ..🔥😂😂🙌🏿
Indonesia
46
36
443
17.6K
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@SwedyJr2 @said9817143 @EngMapundajr Sisi wengine koo zetu wazee walikuwa hawapendi kujiweka mbele mbele kwenye maswala mazima ya uongozi ndiyo kabisaa!! Yaani ukisimama hivi hakuna anaekujua popote zaidi ya kulijua jina lako la ukoo wako tu, hapo kupewa nafasi hata ya kusikilizwa sahau kaka!!
Indonesia
0
0
1
11
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@SwedyJr2 @said9817143 @EngMapundajr Kuwekeza nyumbani hasa kule kwetu ni hatari zaidi ya hatari yenyewe, ndiyo maana akaamua kutafuta mamlaka baada ya kuona mambo si mambo. Sasa hivi ni diwani so hii itamsaidia baadhi ya mambo yake kwenda vile anataka lakini tofauti na hapo sidhani kama angeendelea kuwekza huko.
Indonesia
0
0
1
27
Swedy Jr
Swedy Jr@SwedyJr2·
@JosephKakolo @said9817143 @EngMapundajr Miongoni mwa watu aliye jitahidi sana kupanyanyua Ussoke Mlimani ali kuwa mkandala miaka hiyo mm namalizia Kusoma Ussoke hapo na ali jaribu kuwekeza ila kilichokuja mtokea ali haribu maisha yake nahisi ndio funzo watu wengi huogopa kurudi kuwekeza nyumbani
Indonesia
1
0
0
21
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@SwedyJr2 @said9817143 @EngMapundajr Kaka uchawi mwingi kule, wapo waliojaribu kufanya hivyo ila mwisho wa siku wamekumbwa na mambo ya hovyo hovyo, kule sijui kuna laana yaani nashindwa hata kuelewa.
Indonesia
2
0
0
8
Swedy Jr
Swedy Jr@SwedyJr2·
@JosephKakolo @said9817143 @EngMapundajr Dah kweli sema ile kata ina wasomi wengi na wakubwa sana haswa pale Ussoke Mlimani anzia kwa familia ya Muyango sema mkitoka mmetoka hamtaki kuja kuwekeza kusaidia vijana na uchumi wa huko panazidi kuwa pabaya tu
Indonesia
1
0
0
9
Swedy Jr
Swedy Jr@SwedyJr2·
@JosephKakolo @said9817143 @EngMapundajr Sasa mzee Yelayela na Msengesi tofauti yenu nini? Si bora Yelayela wako na irregation Scheme kubwa ya Mpunga sema wale uswahili sana hawaoni hiyo fursa nyie huko msengesi hamna lolote kule
Filipino
1
0
0
9
Swedy Jr
Swedy Jr@SwedyJr2·
@JosephKakolo @said9817143 @EngMapundajr Tumbaku msimu juzi na msimu jana ili wateka sana watu na hicho kipindi raia walipiga hela sana sasa kilicho tokea mwaka huu itakuwa ana jilaumu kwanini ali acha kazi
Indonesia
1
0
0
6
Wa mipango
Wa mipango@JosephKakolo·
@SwedyJr2 @said9817143 @EngMapundajr Yes nimesoma na kina Bakari Yeye, Edward Muyango (hawa wote ni wa ussoke mlimani). Mwalimu mkuu kipindi hicho alikuwa anaitwa Edwin Mwesiga.
Filipino
1
0
0
33
Swedy Jr
Swedy Jr@SwedyJr2·
@JosephKakolo @said9817143 @EngMapundajr Msengesi na Yelayela kule ni Gaza mzee hakuna center hivyo vijiji alafu Ussoke mlimani kila kitu kipo juu sana na hakuna maji ya Kunywa alafu izimbili kule mzee ukahaba na Umeme ni mwingi mno haswa center ya Mwana Kasele pale
Filipino
2
0
0
15