Kwani nyie ambao hamjaoa mnaishije, Sisi ambao tumeoa tukitoka kwenye mihangaiko huwa tunakuta hawa viumbe, wanavutia na wanatia faraja ya kuamka kesho, kama hujaoa kaoe mnakosa vingi kuku nyie. Hapa unampeleka mtoto mmoja chumbani unamrudia na mtoto mwingne.
Greatness tupu 📌
@tagatojtagato we nawe huelew unachokiongea...azam tumemzoea kua pale siku zote na ndio mana hatumuongelei sana, wewe mzee wa 5 kutoka kwny kuhesabu unbeaten mpk sasa unaona bdo una kiwango kile kile?
“Azam FC kocha wake analipwa dolla 30k, lakini ndio kocha amedroo mechi nyingi, ametupa pointi 20. Mimi nimedroo mechi tatu, wanasema timu yangu butu, sasa mimi na hao kina Fei wamelipwa Mil 800 kwenye usajili timu gani iko butu,”
Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, kocha wa Mashujaa