Gen Z sio poa!😂
HR ananipa new staff nimuonesha around baada ya 15 minutes tour!
Me: Una swali lolote!?
Her: Yapo mengi ila kwanza, unaijua password ya WiFi!?
Me
Apa unakuta tushakataga tiketi kabisa ya bus iko mfukoni begi ushalitanguliza stendi mithiani yote imeisha, ushasaini ile karatasi ambayo haudaiwi chochote.
Dining hall
👇
Kipindi naishi kwa Wazazi, niliwahi kamatwa bar saa 7 za usiku na Doria.
Baba yangu aliwahonga Polisi waniweke lock-up siku 5. Mama alikuja kunitoa siku ya pili😂😖💔😭
..✍️ Kuna Movie moja ya kijeshi bana niliiangalia, sasa kuna hao magaidi walikuwa wanaishi kwenye handaki, na njia ya kutokea ni ndogo ina mfuniko, sasa wanajeshi wakapewa taarifa kwamba kuna magaidi wapo kule chini si wakaenda, wamefika pale, wakakuta ule mfuniko uko wazi 😁 mkuu wao akamwamrisha mmoja wao aingie mle,😁 Aloo, iliskika tu sauti "Msaada jamani" kikatupwa kichwa cha yule mwanajeshi nje. 😂😂🙌