Lodilofa
39 posts



Chanjo walitakiwa kupewa WAZEE huyu kijana anafuata nini huoo!? Anapewa kwa priority gani!
@SecBlinken the vaccines you donated are given to ruling party youth while the elder and vulnerable together with health workers are dying!
Shame!! @USAmbTanzania @WHOAFRO @AfricaCDC 👎🏾👎🏾
Chama Cha Mapinduzi@ccm_tanzania
Uongozi ni kuonesha njia ndivyo alivyofanya Rais Samia na ndio maana viongozi na wasaidizi wake tumemuunga mkono kupata chanjo hii ya UVIKO 19 hapa ikulu. Tuwaombe wananchi waendelee kupata taarifa sahihi na wafanye uamuzi sahihi wa kupata chanjo hii. Kinga ni bora kuliko Tiba.
English

@kigogo2014 Halafu wanamfunga mbowe wanasahau kuwa anaitwa free man😀😀
Filipino

@kigogo2014 Au hela za barabara ndo walizoenda kununulia roli la kimarekani 😀😀😀
Indonesia

@kigogo2014 @HildaNewton21 Mwambie walianza babuzake walishindwa ajitahidi tu kulinda makalio yake wasije omba rushwa tena😂😂😂
Indonesia

@HildaNewton21 @kigogo2014 Lakini pia tukumbuke mungu alijibu tulipo mlilia kuhusu meko ila wamesahau sasa naapa huyu mama atajibiwa na kusalitiwa huku macho yake yakiona sio kama yule ambaye alisalitiwa akiwa mfu. Akumbuke tu mungu sio mwana ccm time will tell...!!
Indonesia

@kigogo2014 @HildaNewton21 @freemanmbowetz Time is a very good judge ngoja mda ufike tutajua yote ila hii nchi sio ya ccm na haitokaa iwe😡😠

@kigogo2014 @freemanmbowetz Yaani hakuna damu itakayo walilia kama ya mbowe pindi wakijaribu kuimwaga sisi watanzania sio wanjinga tunaona upuuzi wao
Indonesia

@kigogo2014 Mbadala upo na tunao ila tunashindwa kuwapeni kwasababu bungeni tuliwatuma sisi kama wananchi na mawazo mnayo jadili inabidi yatokee majimboni kwa wapiga kura na majibu kurejea sasa mnatuambiaje tuwape mbadala wa mabo mliyojiamulia wenyewe? Yaani viongozi mnazgua mjue sema mda tu
Indonesia





