Mtikila

181 posts

Mtikila banner
Mtikila

Mtikila

@Legend_Mtikila

Mwenyezi Mungu nijalie afya njema na maisha marefu ili nishuhudie anguko la CCM. amen.👏👏👏👏

Dar Es Salaam Katılım Temmuz 2025
178 Takip Edilen2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Lissu siyo mhaini, Mwachieni huru✌️
Mtikila tweet media
HT
4
181
665
7.2K
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Kwan kuwa Gen Z Mwisho miaka mingapi? Yaweza kuwa nipo Millenia hafu sijijui.
Indonesia
1
0
2
66
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Ni miongoni mwa watu wachache sana waliomkataa Mbowe kwa usaliti wake. Namna Martin alivyokuwa karibu na Mbowe ilikuwa ni ngumu sana kumtema, jamaa akachagua democrasia na ukweli. Hapa ndipo nilianza kumkubali Martini Salute kwake✌️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07

Martin maranja masese @IAMartin_ ni mtetezi wa haki za binadamu na mchambuzi wa siasa mwenye ushawishi mkubwa katika mijadala ya kijamii hasa kupitia mitandao ya kijamii Alianza maisha yake ya kazi kama mwalimu kisha akaamua kuacha ajira ya serikali na kujikita katika shughuli huru za kijamii na kitaaluma akilenga zaidi kuelimisha jamii kuhusu haki za binadamu, uwajibikaji na utawala bora Umaarufu wake umejengwa juu ya uwezo wake wa kipekee wa: 1:kuchambua masuala ya kisiasa kwa kina na kwa mantiki 2:kuunganisha sheria, historia na uhalisia wa kijamii katika hoja zake 3:kuelimisha vijana kuhusu haki zao na wajibu wao katika jamii 4:kuhimiza uwajibikaji wa viongozi kwa wananchi Kupitia mitandao ya kijamii hasa X/Twitter amekuwa chanzo cha mijadala yenye manufaa kwa jamii akisaidia kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu demokrasia, haki za binadamu na masuala ya utawala Katika safari yake amekutana na changamoto mbalimbali ikiwemo shinikizo la kijamii na kuitwa na vyombo vya dola kutokana na msimamo wake wa wazi lakini hali hiyo haijamzuia kuendelea kusimamia anachoamini Mpaka sasa anaendelea kutambulika kama mmoja wa sauti muhimu zinazochangia uelewa wa haki za binadamu, uwajibikaji wa viongozi na maendeleo ya fikra za kisiasa miongoni mwa vijana Tanzania

Indonesia
7
17
140
8.5K
Mtikila retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Boniface Jacob (BoniYai) @ExMayorUbungo alizaliwa mwaka 1985 nchini Tanzania. Alipata elimu yake ya msingi na sekondari kabla ya kuendelea na masomo ya juu katika masuala ya uongozi na utawala, jambo lililomsaidia kujijenga katika siasa na uongozi wa umma Aliingia kwenye siasa kupitia CHADEMA ambapo alianza kujihusisha na harakati za vijana na shughuli za kisiasa katika ngazi za chini za uongozi Kabla ya kuwa meya, alikuwa diwani kwa miaka kadhaa na alichaguliwa tena mwaka 2015. Umaarufu wake uliongezeka zaidi baada ya kuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni kuanzia Januari 2016 hadi Novemba 2016, kabla ya baadaye kuwa Meya wa Manispaa ya Ubungo kuanzia Novemba 2016 hadi Mei 2020 Kwa ujumla, Boniface Jacob alihudumu kama meya kuanzia mwaka 2016 hadi 2020 nafasi aliyoitumia kusimamia shughuli za maendeleo ya wananchi, uwajibikaji na utendaji wa serikali za mitaa Katika safari yake ya kisiasa Boniface Jacob amewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya CHADEMA na serikali za mitaa, akijulikana kwa uwezo wake wa kujenga hoja, kuzungumza kwa msimamo na kusimamia masuala ya wananchi hasa vijana wa mijini Katika kipindi chake cha uongozi, alikutana pia na changamoto mbalimbali za kisiasa, mijadala mikali ya kiutawala na presha zinazowakabili viongozi wa upinzani nchini Kwasasa Boniface Jacob anaendelea na majukumu yake kama Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, akiendelea kushiriki katika kukijenga chama, kuhamasisha vijana na kusimamia ajenda za demokrasia na maendeleo ya wananchi
Mwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
12
53
238
8.7K
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
@IAMartin_ Hongera sana kaka, Imani yako, ukweli wako na uwazi wako, ndiyo mana chama kimekuamini. ✌️
Filipino
0
1
23
1.1K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Kamati Tendaji ya CHADEMA Kanda ya Pwani kwa kuniamini na kuniteua kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Sera, Ilani na Utafiti, katika kikao kilichoketi Mei 13, 2026, Dar es Salaam. Shukrani za kipekee ziwaendee wajumbe wote wa kamati hii kwa kura zenu na imani mliyoionyesha kwangu. Nikiwa nanyi, nina amani kuwa tutafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa ili kuiwezesha Kanda ya Pwani kutimiza malengo yake na kukiletea mafanikio chama chetu, CHADEMA. #PeoplesPower #StrongerTogether ✌🏾
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
78
220
1.2K
27.9K
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Tukutombe usiku mzima
0
0
2
149
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Free Tundu Lissu unconditionery ✌️
Mtikila tweet media
English
0
29
140
1.1K
Mtikila retweetledi
Broke & Zero Aura (BZA)🍁
“Nikinywa maji nakuona kwenye glass” first touch ya hovyo kutoka kwa millenials emu ongeza nyengine apo👇😁
HT
77
106
724
22.1K
Mtikila retweetledi
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
R.I.P Kamanda Mawazo Mungu wa mbinguni akupe pumziko la milele 🙏.
Vitus Nkuna tweet media
Indonesia
4
51
467
3.8K
Mtikila
Mtikila@Legend_Mtikila·
Mwenyezi Mungu hata la hawa kweli uje ulihesabie Mbinguni! Naomba ukuu wako uuoneshe kidogo tu. Amen!! 👏👏👏👏
Mtikila tweet media
Indonesia
5
35
236
3K
Mtikila retweetledi
Babu lohaa
Babu lohaa@hussen_mbaga·
Peperusha bendera kila mahali mpka wadate
Babu lohaa tweet media
Indonesia
0
25
128
1.4K
Mtikila retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Usipime uvumilivu wa mtu kwa kumuongezea maumivu.
Suomi
15
172
668
11.7K