Gamba Massano

5.4K posts

Gamba Massano banner
Gamba Massano

Gamba Massano

@LevisGamba

Katılım Haziran 2024
636 Takip Edilen564 Takipçiler
Gamba Massano
Gamba Massano@LevisGamba·
@ProsperDeo37479 @mhdhamad Hakuna kitu unajua wewe. Iko hivi, kumwamini Yesu na kutofwata mafundisho yake ni sawa na kutomwamini. Soma MATHAYO 7:24-27 Kama una akili kichwani, utaelewa YESU alisema nini hapo.
Indonesia
0
0
0
13
Prosper Deogratias
Prosper Deogratias@ProsperDeo37479·
@LevisGamba @mhdhamad Swala ka kumuamini ni moja (la msingi kabisa), na swala la kufuata mafuandisho yake ni swala jingine ambalo kila mmoja ataamua yeye aonavyo na aishivyo maisha yake.
Indonesia
1
0
0
15
mhd
mhd@mhdhamad·
Wakristo pia acheni kusema Yesu alikuwa mzungu au kushikilia picha za kizungu kama uhalisia wake Biblia haijaeleza hivyo. Yesu alikuwa Myahudi wa Mashariki ya Kati, si Mzungu. Na kuhusu mjadala wa ibada na mwenendo wake: Alisujudu alipokuwa akiomba “Akaanguka kifudifudi, akaomba…’ (Mathayo 26:39) Alizingatia usafi kabla ya ibada (mfano wa kunawa) ‘Yeye aliyeoshwa hana budi kunawa miguu…’ (Yohana 13:8–10) Hakuingia “kanisani” kama tunavyojua leo, bali alihubiri kwenye masinagogi ‘Akaingia katika sinagogi siku ya Sabato…’ (Luka 4:16) Alisisitiza ibada ya unyenyekevu na si makelele au maonesho ‘Mnapoomba, msiwe kama wanafiki…’ (Mathayo 6:5-6) Alikataza kupayuka-paya katika ibada ‘Mnapoomba msipayuke-paya kama watu wa mataifa…’ (Mathayo 6:7) Hakukuwa na mfumo wa nyimbo za ibada kama wa leo alifundisha zaidi maombi ya unyenyekevu na mafundisho ‘Basi ninyi salini hivi…’ (Mathayo 6:9) Alifundisha Mungu ni mmoja ‘Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja’ (Marko 12:29)
Vunga@VungaEl74

Waislamu acheni kusema Yesu alikuwa Mwislamu au Mpalestina Yesu alikuwa Myahudi, alizaliwa Bethlehemu, na aliishi Yudea. Uislamu haukuwepo.

Indonesia
26
10
59
23K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Wambieni Mlinganya na Prosper waniblock tu, mtoto mchanga kama huyo nimuache ateseke wakati inawezekana kuishi na mama yake na mtoto akakua vyema hata kama sio wangu,🙌 🙌
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
89
42
454
29.1K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
"Yesu aliwaambia Wayahudi: Amin, amin, nawaambia, Mtu akilishika neno langu, hataona mauti milele. Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng’amua ya kuwa una pepo. Ibrahimu na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele. Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahimu, ambaye amekufa? Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani? Yesu akajibu, nikijutukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu, ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu. Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nalishika. Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi." (Yn. 8 :51-59)
Indonesia
5
15
80
3.8K
Gamba Massano
Gamba Massano@LevisGamba·
@EduTalkTz Umeshajiuliza hili swali, Je, siku MUNGU akiamua kuumaliza uovu, wewe utasalimika? Au utakuwa sehemu ya uovu na waovu watakaomalizwa kama ilivyokuwa kwa Sodoma na Gomora?
Indonesia
0
0
1
46
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mungu mwenye nguvu anashindwaje kuumaliza uovu wa watu aliowaumba mwenyewe kwenye Dunia aliyoiumba mwenyewe? Magonjwa yamemshinda, natural disasters zimemshinda, ubabe wa wanadamu umemshinda, kila kitu kimemshinda. Hiyo nguvu aliyonayo ni ipi?? Kwa nini hakomboi watu hivi sasa kama alivyofanya kule Jeriko na Misri? Kwa nini hapambani na uovu kama alivyofanya kule Sodoma na Gomora? Kwa nini hainui tena wakina Samsoni, Daudi, na Joshua waende wakapambane na waovu? Amestaafu, amechoka, amezeeka, amekufa, hajali tena, au nini haswa? Jiulize tu idadi ya watu waliouwa kule Congo, Sudan, juzi Tanzania, na kila mahali. Mungu anafurahi tu kuangalia kama movie au nini haswa? Tunaogopa kujiuliza lakini nadhani haya ni maswali ya msingi. Kwa nini Mungu mwema na mwenye nguvu ya kuumaliza uovu ameruhusu uovu utamalaki?? Umemzidi nguvu??
Indonesia
46
6
44
4.5K
𝐌𝐙𝐈𝐌𝐔🦍
𝐌𝐙𝐈𝐌𝐔🦍@taifahuru98·
BAKWATA Mwezi wa SAUDIA awautambui ila TENDE za saudia wanazipokea.😁
Indonesia
64
93
785
32.3K
Ja Leto
Ja Leto@_falsi1ke·
@Adele_lide I'm saying because you're not an Indian, Don't masturbate.
English
6
1
108
7.6K
Ja Leto
Ja Leto@_falsi1ke·
Bro, if you want a miserable life, masturbate.
English
149
365
2.8K
74.3K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Mwanaume Ukioa manzi mnyenyekevu kutoka kwenye familia duni au vyovyote vile ambaye pia sio bikira, Tena umelipia posa au bride price. Basi umekula loss kwa kuwa cheated kama mwanaume hasa kama wewe una mafanikio ambayo umeyapambania kwa muda mrefu. Urembo wake hauwezi kufidia ukweli kwamba wanaume waliokutangulia walipata kilicho bora kwake bure. Cha kusikitisha ni kwamba wewe umebidi ulipie makombo na mabaki yao.
Indonesia
34
36
314
16.2K
Eng. Gwamaka Elijah
Eng. Gwamaka Elijah@kiwirachief·
@LevisGamba Sawa polisi kazi yao ni raia na mali zao. Sasa swali langu ni mamlaka ipi inaisimamia polisi ikishindwa kutekeleza wajibu wake?
Indonesia
1
0
1
17
Dr Lwaitama
Dr Lwaitama@lwaitama1·
Samahani sana lakini kwa hili kama nitakuwa nimevuka mipaka. Jeshi letu, usalama wa taifa na majeshi yote ni wapumbavu hawatakiwi hata kutembea kikakamavu barabarani. Yaani nchi inaibiwa yapo tu yanatoa macho.
Filipino
54
193
785
17.2K
Malcolm 🏆
Malcolm 🏆@mlinganya·
Mwanamke umekuta hana bikira, ukifumania message anachat na ex wake unakasirika. You're stupid bro. Unajua kabisa alikuwa analala na wanaume wengi kabla yako hupaswi kukasirika akiongea nao, kwanza waheshimu sana hao jamaa maana wamelala na demu wako kabla wewe hujamjua. Ukishakuta Mwanamke sio bikra means alishalala na wanaume wengi kabla yako na hawezi kuacha kuwasiliana nao kisa tu yupo na wewe. BE HUMBLE BRO
Indonesia
24
32
167
8.6K
Gamba Massano
Gamba Massano@LevisGamba·
@MadamVero61349 Yes, fuck you too VeeBeeBuzz😁😁😁 The only thing you need to understand is we are wired completely different. By the way, I like your "bitchy" vibes 😁🤪
English
1
0
0
5
Angela Mpema
Angela Mpema@angelampema·
Ukitaka kunioa MAHARI yangu ni NYUMBA nzuri, GARI na Million 10 tu...Sina Mambo mengi 🥰☺️
Indonesia
88
7
52
77.2K
Gamba Massano
Gamba Massano@LevisGamba·
@kasesco_tz Hapo ni kila mmoja anatumia hiyo room kwa zamu. Mnajilia utelezi bila gharama za ziada za lodge 😁😁😁😁😁
0
0
10
1.8K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Nasikia siku hizi ili kusevu gharama za mara kwa mara za lodge na wengine kuogopa kuonekana wanaingia lodge.. wazee wanachangishana wawili watatu wanakodi chumba chao, wanaweka kitanda na godoro..!😅
Indonesia
21
24
413
27.1K
Captainbony
Captainbony@Captainbony65·
@mlinganya We tema cheche mzee mie kazi yangu kurepost tu😂😂🔥🔥🔥
Polski
1
0
5
344
Gamba Massano
Gamba Massano@LevisGamba·
@MangiwaKwanza1 Kila siku mnahubiriwa na @mlinganya oeni wadada bikira, watu hawataki kusikia. Hayo yote ya Mke kumlilia EX yasingetokea kama jamaa angeoa BIKIRA
Indonesia
0
0
2
69
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Mke anapokea simu anaambiwa EX wake amefariki anaanza kulia kwa nguvu, mumewe anamkuta analia anamuuliza unalia nini, Mke anakuwa mkweli anamuambia EX wangu amefariki, mumewe anamuuliza anakuletega chakula home ukiendelea kulia nitakupiga makofi, Ila Wanawake😁
Filipino
27
43
386
25.9K
عبدُل
عبدُل@NMweusi85571·
Shemeji yangu baada ya kuona nimejua tabia zake ameamua kunionesha wazi wazi anataka hii siri nimtumzie anahisi kama nitamwambia mume wake shetani anakujia kwa namna tofauti aise😂
عبدُل tweet mediaعبدُل tweet mediaعبدُل tweet media
Indonesia
65
27
251
28.2K