
lio
168 posts















AFCON 2027 Itumike kudai haki Tanzania kwa kufanya maandamano ya kihistoria. Siku ya ufunguzi wa Afcon Tanzania iwe ni siku ya maandamano makubwa zaidi ya yale ya Oktoba 28. Hawatoweza kujaza wanajeshi na Askari barabarani au kupiga wananchi risasi huku attention ya dunia iko Tanzania sababu ya AFCON. Mipango ianze sasa ya kupush maandamano makubwa kwenye AFCON ya 2027 Kwanza hiyo kampeni tu ya kufanya maandamo siku ya ufunguzi wa AFCON tayari tutapata attention ya dunia nzima……..



Walikuja na shule ya kufundishana affiliate market ya betting humu kama miaka mitatu nyuma—walikuwa wanapata watu wengi sana kwenye Community zao zaidi ya watu elfu tano walijunga kujifunza. Leo BARAKA (Mchina KOKO) anajifanya mvumbuzi na MSANUAJI—kama ni rahisi kwanini hawafanyi?😂 Kila siku mafumbo kibao kuhusu BETTING na watu wanapiga hela kwamba hao nao wanadanganya? Nenda insta na hizo mada zako za KICHOKO utarudi humu umeacha NDALA huko. RESPECT THE OG…!☝🏾




Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amesema Shirika la Reli Tanzania (TRC) limepata hasara TZS bilioni 3.06 kutokana na ajali za treni zilizofikia 328. CAG amesema hasara hiyo imetokana na uharibifu wa miundombinu na kupotea kwa mapato.




Ukitaka Tukosane Useme Vibaya Uislam. Tunakosana Mazima Ata Kama Ni Ndugu Yangu, Ata Kazini Kwangu Waislam Wananafasi Kubwa Sana Ata Wakikosea Huwa Nakuwa Mwepesi Kuwasamehe. Ewe Ndugu Muislam Muone Muislam Mwenzio Kama Ndugu Yako, Usimtenge Kama Huwezi Kumsaidia Basi Muombee🙏🏿















