Sabitlenmiş Tweet
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐
26.7K posts

𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐
@LudoFredrick
▪️Radiation Oncology, Radiotherapy ▪️RAOTA president 2025-2028 ▪️Corporate host🎤 “I love football” ▪️Instagram: ludotz_
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2015
3.3K Takip Edilen5.5K Takipçiler
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi

Great exchange today with @nsanzimanasabin, Rwanda’s Minister of Health, in Kigali.
Proud of the bold strides on #UHC, local manufacturing, primary health care & emergency preparedness.
Ambition, progress & real impact on lives. @WHO stands with you to go further on #HealthForAll.



English

@am_mziwanda Itakuwa vyema. Maana nimewasikiliza wajumbe wawili jana kupitia Azam Tv ndio wakanichanganya zaidi.
Indonesia

@LudoFredrick Doctor nikutumie no za mmoja wa wajumbe wa kamati atapa majibu sahihi zaidi
Indonesia
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi

Ninatoa pongezi za dhati kwa Alphonce Simbu kwa kushika nafasi ya pili na kuweka rekodi ya Taifa katika Mashindano ya Kimataifa ya Mbio ya Boston (Boston Marathon), kwa mara ya pili mfululizo.
Umeendelea kuipeperusha vyema bendera ya Taifa letu, ukilitangaza jina la Tanzania kimataifa katika moja ya mashindano mashuhuri zaidi duniani, na umetuletea heshima kubwa katika ulimwengu wa michezo. Mafanikio yako ni chachu ya matumaini na hamasa kwa vijana wengi.
Watanzania wote tunajivunia.

Indonesia
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi

OCEAN ROAD TUNZENI VIFAA HIVI WATANZANIA WANUFAIKE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameutaka uongozi wa Taasisi ya Sararani Ocean Road (ORCI) kutunza mitambo ya kusaidia uchunguzi wa wagonjwa ikiwemo mtambo wa Pet-Ct Scan kwa kuwa mitambo hiyo imegharimu fedha nyingi zilizotoleea na Serikali pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi.
Rais Dkt. Samia ametoa maelekezo hayo leo Aprili 16, 2026 wakati akitembelea baadhi ya mabanda kwenye Mkutano wa pili wa kimataifa wa shirikisho la jumuiya ya madaktari wa upasuaji wa ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.
“Mwaka 2022 nilitembelea Hospitali ya Ocean Road nikakuta hali ilivyo Ocean road na wagonjwa wanavyopata tabu dawa hakuna na dawa zilikuwa bei ghali, nilitokwa na macho baada ta hapo nikasema hospitali hiyo inahitaji kujenga na kuwa hospitali ya mfano na ndio maana tukafanya juhudi za kutafuta mitambo hii mikubwa, ombi langu kwenu ni kuitunza hii mitambo lakini pia watakuja watu wengi hapa kupata huduma," amesema Rais Dkt. Samia
Indonesia
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mheshimiwa William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, kilichotokea leo jijini Dodoma.
Tumepoteza kiongozi shupavu, mahiri, mwenye uzoefu mkubwa, mzalendo na mtumishi wa umma aliyelitumikia Taifa letu kwa uadilifu, weledi na kujitolea. Mchango wake mkubwa katika ujenzi na maendeleo ya Taifa letu utaendelea kuenziwa na kukumbukwa siku zote.
Ninatoa pole kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mussa Azzan Zungu, familia, wananchi wa Jimbo la Isimani, ndugu, jamaa na marafiki pamoja na Watanzania wote kwa msiba huu.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Amina.

Indonesia
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi

Suggest a Suitable language for the United States of Africa
Zoom Afrika@zoomafrika1
This is the Afrika we want One Passport One stock exchange One currency One army One satellite One language One curriculum One leader king/president One nation... one country... One people... All present countries are provinces! No boarders. Just United Afrika. ✊🏿✊🏿✊🏿
English
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi
𝗠𝗧𝗔𝗔𝗟𝗔𝗠𝗨🌐 retweetledi












