Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi
688 posts

Badmnyamwezi
@M19Mc
God is good,Eng is all about to create
Katılım Kasım 2025
204 Takip Edilen38 Takipçiler

@LifeofSteph_1 @UTDMourine Utaskia pasi imetoka Zambia mpka bondeni Kwa madiba 😂
Indonesia

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TZ commentary aisee!!😭🤣🤣
Steph.@LifeofSteph_1
FOOTBALL: "Reeved in red, restored to this great gallery of the game. A walking work of art, vintage beyond valuation, beyond forgery or imitation KANDANDA MBASHARA: "Ukuta huu wa yang'aa afrikansii unaundwa na mataifa ma 5 tofaut, walicheza pamoja pale stellenbosh...."
English
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi

@LifeofSteph_1 @LifeofSteph_1 Oi etu mtu anaeza kuhama kambi?mfano dogo kapangiwa kigoma na anakaa dar so kwa kua mbali anaeza kuripoti kambi za karibu?msaada tutani
Indonesia

Yeah 2010, 2014, 2018, 2022. Hii mbona hata majanja wa ef 2 wasiotoka kaya duni wameshuhudia zote nne
Dan@001Oxygen
Are there people on this app who have Watched more than 4 world cups ?
Indonesia
Badmnyamwezi retweetledi

Wewe Tomasi akili huna sijui au unajichetua, huyo Mzee ashapeleka kilio karibu kila klabu kubwa duniani. Huyo akitaka mchezaji anampata.
Tomasi wewe focus na Kandanda Mbashara la kina Mbwaduke huku mweupe sana.
†hømz@ThomzJoseph
Hana tofauti na Try Again alimleta Cesar Lobi Manzonki kwenye mkutano mkuu.🤣
Indonesia
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi

Huyo Armando nina wasiwasi lilikuwa parody la mkali mmoja humu sana sana @UrBoyMox
MRENO_255@mreno255
Those days 😂😂2024
Filipino
Badmnyamwezi retweetledi

Tukiweka pembeni dosari chache ambazo miaka mingi zinatukwamisha, mnastahili PONGEZI ZA KWELI. Nyie ni mashujaa haswa. Mlianza mashindano bila mbwembwe mmefika fainali.
Mimi siwadai wadogo zangu, nyie mnatudai
Baadhi ya hawa nyota niliwaona mashindano ya Yanga Soccer School yaliyodhaminiwa na @emwanicafe . Ama kwa hakika ndugu zetu @agreymorisambros @official_pawasa40 na Kocha mkuu Serengeti Boys mmefanya kazi kubwa.
Imetumika nguvu kubwa dakika hizi za mwisho, natamani nguvu hii hii iendelee kuendeleza hawa vijana.
Lengo la mashindano ya vijana sio mataji ni kuinua vipaji. Wenzetu hawa baada ya leo vijana kadhaa utasikia wameenda Malmo, Salzburg, Shaktar, Goztep nk
Hawa wa kwetu watarudi hapa na baadhi yao tutakutana nao ndondo cup. Si unakumbuka ile ya akina Kevin John? Walikuwa yule Kante wao, alikuwepo Agiri Ngoda, alikuwepo Morice Abraham.
Kwanini hawaendi na kubaki huko duniani? Kwanini amebaki Kevin Mwenyewe? Tuna mpango gani?
Mwisho wa mashindano haya inapaswa kuanzishwa safari ya kupeleka hawa watoto nje kupata Exposure. Ligi yetu ya ndani haiwezi kutupatia akina Sadio Mane wala Amad Diallo.
Hoja za Bico Scanda haziwezi kutusaidia kupata mchezaji anayecheza EPL. Ligi yetu bado ni ndogo.
Wizara, Baraza na Shirikisho wanapaswa kuwa na mpango mkakati na sera ya kusaidia hawa vijana kwenda nje.
Si tumleta Rio hapa? Tunapaswa kuzalisha na sisi Rio wetu. Kimsingi kama tungekuwa na sera nzuri za kukuza soka nje ya mipaka yetu tusingemhitaji Rio aje hapa. Tulipaswa tuwe na mastaa wakubwa nje kuliko Rio.
Vijana wamemaliza kazi yao bado wadau sasa kutengeneza sera na mkakati madhubuti la kuendeleza hivi vipaji. Kwani Senegal na Ivory coast wao wametuzidi? Kimsingi wametuzidi seriousness’s ya kuinua soka lao.
Ligi yetu haina exposure na sio legitimate platform ya kupeleka watoto ulaya. Watoto hawa watakwenda ulaya kwa kutumia mashindano makubwa ya CAF kama haya ya leo. Tunapaswa kuruhusu uwekezaji wa kisoka hapa nchi kwa mataifa yaliyoendelea kisoka.
Fainali ya Wizara na Shirikisho ni kuhakikisha angalau tuna watoto 10 Ulaya. Hiyo ndiyo fainali yetu.
Tumetoa ndege ya kwenda kuwachukua, bado ndege ya kuwapeleka Ulaya.
Shalom Shalom

Indonesia

@SuluhuSamia Hongera sana Mhe.Rais🙏🏼 Mungu asifiwe sana🙌🙌🙌
Indonesia
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi
Badmnyamwezi retweetledi
















