Planet B

4.1K posts

Planet B banner
Planet B

Planet B

@M31327Mugisha

Katılım Şubat 2025
535 Takip Edilen416 Takipçiler
Planet B retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Msikilizeni Polepole aliwaonya akina Mafwele hadi Abdul na Samia kuhusu utekaji - wakaamua wamteke! Hawa ndo wapumbavu leo wanahaha kutaka kutuliza umma! Wanatusukuma kubaya! Oktoba 29 ilijaa hasira za wananchi maana tumechoka kutekwa! Sasa wamejaa kiburi wameanza tena kuteka na kuleta ubabe! Mnachokitafuta mtakipata! Haya! And #FreePolepole nyie washenzi 🚮 #FreeAllPoliticalPrisoners
Indonesia
16
156
634
19.5K
Planet B retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Leo itaachaliwa Documentary ya wananchi kuanzia saa 9:00 Jioni, hakikisha unasubscribe @MO29TV YOUTUBE.
Filipino
14
226
1.3K
24.9K
Planet B
Planet B@M31327Mugisha·
@Baradhuli2 @HecheJohn Anayesema Lisu abalia ni kichaa. Wanao lia ni wale waliofungua kesi alafu wamekimbia
Indonesia
0
0
0
50
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Chiba alia na wanachadomo kumtelekeza leo mahakani. Tukisema @HecheJohn na wahuni wake hawataki jamaa atoke korokoloni mnakaza mafuvu.
BARADHULI tweet media
Indonesia
42
25
40
3.2K
Planet B retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨MBONA WAMEMKURUPUSHA LISSU NA KUMTOA GEREZANI KINYEMELA‼️ Jamani angalieni Lissu hata hajachana nywele wamemwamsha na kumkurupusha! Wamembeba na gari waliong’oa plate nunber na kwa siri Hawakutaarifu mawakili wake This is not right! Kulikuwa na emergency gani ? Hii ni hatari! Lissu appears disheveled and hurried in today’s clandestine transfer to court without his lawyers being notified! Something is fishy! Hii haikubaliki! Hatuoni good intention hapa! Msirudie tena au tutajua mnataka kutekeleza nia ovu #FreeTunduLissu NOW!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
43
232
883
42.2K
Planet B
Planet B@M31327Mugisha·
Kuaminiana? Nani mwenye akili timamu anayeweza kuwaamini ccn? Nyalandu kwanza ni muongo anasema waandamanaji walikuwa na mabomu na bunduki. Anaongea Uongo mtupu alafu anataka tunwamini . CCM na serikali yao siyo watu wa kuwaaminika kamwe.
Planet B tweet media
Filipino
0
2
9
313
Planet B
Planet B@M31327Mugisha·
Kuna tofauti kubwa kati ya KUPOTEA na KUPOTEZWA. Tume ya CHANDE imeshindwa kabisa kujikita kwenye KUPOTEZWA, wao wameona vyote ni sawa. Nani anayepoteza watu na analindwa nani?. Mbona viongozi wote wanaogopa kukemea UTEKAJI? WATEKAJI HAWAKAMATIKI.? Takataka.
Planet B tweet media
Indonesia
0
1
1
13
Planet B retweetledi
#ChangeTanzania
#ChangeTanzania@ChangeTanzania·
Report ya Chande imepikwa na watu wasiojua hesabu Wamesema kuna vifo 518 nchi nzima Wakasema vimetoka mikoa ya Dar. 182 Mwanza 90 Mbeya. 80 Arusha. 53 Jumla 405 Hii ni tofauti na 518 kwa 113 , hili gap ni kubwa sana ina maana namba ilitugwa tu Kisha wakasema kuhusu maiti ni 518 Maiti zilizotambulika. 485 Ambazo hazikutambulika. 9 Jumla. 494 Kuna tofauti ya 518 - 494 = 24 Ina maana maiti 24 zimepotea ni gap kwenye report Hii ni report wamekaa nayo kwa siku 153 inatoka ikiwa na makosa makubwa hivi Hii ni ishara wametengeneza report tena bila umakini wowote
#ChangeTanzania tweet media
Filipino
61
125
418
41.9K
Planet B retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Asante @SuluhuSamia umethibitishia umma kuwa hii tume si huru wala ya kujitegemea bali ni tume yako na ripoti si ya umma ni yako! Itabidi tuendelee kuandaa ripoti ya umma ya Ukweli! Samia Suluhu has confirmed that this was not an independemt commission but her personal committee and the report is for her personal consumption not public! This does not meet the basic standard of an independent inquiry - it is a witch hunt! @IntlCrimCourt @UN_HRC @Europarl_EN
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
41
184
780
25K
Planet B retweetledi
Joseph Oleshangay
Joseph Oleshangay@Oleshangay·
Lissu alitoa tahadhari kubwa sana miaka 13 iliyopita. Wengi walijifanya viziwi. Mkiambiwa mfumo wetu wa utawala utatupeleka shimoni muwe mnasikiliza
Indonesia
34
551
1.7K
49.7K
Planet B retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hizo Kambi za kutoa mafunzo kwa waandamanaji 1. Zilikuwa maeneo gani? 2. Ziliongozwa na nani? 3. Zilikuwa ngapi? 4. Watu wangapi walipatiwa mafunzo kwenye hizo kambi? 5. JWTZ, Polisi Na Usalama Wa Taifa Walikuwa Wapi? 6. Nani aliagiza mauwaji ya maelfu ya watu? 7. Nani aliagiza miili itupwe mortuary watu wakiwa hai? 8. Nani aliamuru watu wazikwe ktk makaburi ya halaiki? Jaji Chande na Tume yake wanatuchukuliaje Watanzania?
Filipino
36
210
867
25.4K
Planet B
Planet B@M31327Mugisha·
Evidence without CROSS EXAMINATOON = ? Tume imetupiga chenga ili kupata msingi wa uwajibikaji.
Planet B tweet media
Indonesia
1
1
2
25
Planet B retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️It’s a massacre in Mwanza #Tanzania ‼️ Mtu asiseme hawa walistahili kuuwawa hivi kwa sababu walifanya maandamano au sijui miundombinu! Huu ni USHETANI #SamiaMustGo #SaveTanzania
Indonesia
70
931
2K
85.6K
Planet B retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Muuwaji Samia Suluhu asithubutu kuzungumzia maridhiano. Hii hapa ndiyo team yetu ya Maridhiano, if any. Turejesheeni hawa ndugu zetu na muache ushenzi wa kuuwa watu. You are not God, washenzi nyie!
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai

Mwambie Muuaji Mkuu wa Taifa kamati yake ya maridhiano hii hapa! 🙄 Hawa ndo wahanga wa awali aanze nao alafu itakuja kamati ya #MO29 aliowaua akimaliza atakuwa amepata majibu! Asituone wajinga Upunbavu wa maridhiano hakuna ❌ #SamiaMustGo #TutaelewanaTu

Indonesia
3
74
282
8.2K
Planet B retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
ANAANDIKA MWANASHERIA MKUU WA CHADEMA DR. @rugemeleza Kwa vyovyote itakavyotolewa na kusema Tume ya Jaji Chande Othmani Juu ya Vurugu na Mauaji ya October 29, 2025 ni batili na haramu tokea ilipoundwa. Kwa sababu zifuatazo: 1. Imeundwa na Samia Suluhu Hassani ambaye ndiye mtuhumiwa namba Moja kwani ndiye alitoa amri ya kuwapiga risasi waandamanaji na watu ambao hawakuwa waandamanaji. 2. Samia alisema wakati wa Kampeni haramu za Udanganyifu Mkuu kuwa wanaosema hakutakuwa na uchaguzi wakumbuke kuwa yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu na kuwa hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi. 3. Waandamanaji hawakuwa na silaha za moto ajabu yake walipigwa risasi kinyume kabisa na taratibu za kimataifa na nchi yetu za kukabiliana na waandamanaji ambazo ni matumizi ya mabomu ya machozi, maji ya kuwashawasha, hewa ya pilipili na ikilazimika risasi za plastiki. 4. Kuwekwa kwa zuio la kutoka nje na kutembea lililotangazwa na IGP Camillius Wambura ilikuwa kinyume Cha Sheria kwani hana mamlaka hayo. 5. Kuzimwa Kwa mtandao wa intaneti kwa siku sita ilikuwa kinyume Cha Sheria. Kwa kuzimwa kwake mauaji mengi yalitokea na yalisababisha watu kutokupata taarifa za kiwakati juu ya maovu makubwa yaliyofanywa na vyombo hivyo vya dola. 6. Kuzimwa kwa mtandao na zuio la kutoka nje sehemu nyingi za nchi yetu ilimaanisha hata wafanyakazi na mawakala wa Tume ya Udanganyifu Mkuu ya Jacobs Mwambegele haikuwa na uwezo wa kupata matokeo ya uchaguzi huo haramu. Ajabu yake Mdanganyifu huyo Mkuu asiyeheshimu kazi na maadili ya ujaji akatangaza matokeo kama kwamba uchaguzi ulifanyika na kura kuhesabiwa na matokeo kutangazwa katika Kila kituo na hatimaye kutumwa kwa Tume hiyo haramu! 7. Stargomena Tax ambaye alikuwa Waziri wa Ulinzi katika serikali ya Samia wakati wa udanganyifu huo ni mjumbe katika Tume hiyo ya Chande! Ni kanuni ya kisheria na haki kuwa huyu ana mgogoro wa kimaslahi na ni sehemu ya waliopaswa kuchunguza imekuwaje akageuka kuwa mchunguzi. 8. Jaji Othmani Chande na Jaji Ibrahimu Juma wanajua, kama wajuavyo wanasheria na wasomi wote, kuwa huwezi ukawa hakimu au muamuzi katika kesi yako mwenyewe(Nemo judex in causa sua) sasa imekuwaje wawe katika Tume ambayo ina kasoro hii kubwa? Je, si inafahamika kuwa pale Tume inapokuwa na kasoro hiyo yote iliyoyafanya hata kama ni mazuri, kisheria Huwa batili? 9. Wakati Tume inaanza kazi Samia ametoa matamshi ya kuingilia kati au kutoa majibu kwa Time ikiwa ni pamoja na kusema "nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi" na kuwa "kwa nini wazazi hamkuwazuia watoto wenu kutoka nje?". Sasa hapo nini kinachunguzwa? 10. Tume ilizuia uwazi wa watu waliotoa maelezo yao kwa kuvikataza vyombo vya habari kuendelea kutoa maelezo ya waathirika wa mauaji hayo ya kinyama yaliyofanywa na vyombo vya dola. Kukosekana kwa uwazi ulikuwa mkakati wa kuleta giza na kuzuia ukweli wa mauaji hayo kufahamika na hivyo kile kitakachosemwa na Tume kuwa eti ndicho kilichosemwa na waathirika kichukuliwe kuwa ni cha ukweli. 11. Tume yenyewe imeanza kampeni ya kuuandaa umma kupokea ripoti yake na imekuwa na wasemaji wake. Hiyo inaashiria nia mbaya ya Tume hiyo. Ni kwa msingi na sababu hizo nasema kuwa Tume hiyo ni batili na chote kitakochotolewa nayo ni batili.
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
13
143
573
19.1K
Planet B retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Hapa ndipo ukubwa wa Tatizo kwamba CCM ni chama Dola kimejaa ugaidi mtupu wengi tulishituka Warioba alishambuliwa na Makonda kwa kutoa hii hoja Baadaye kikwete mzee wa kucheka cheka akampa ukuu wa wilaya makonda kama asante Wengi wanafikiria cheko la kikwete ni wema, akicheka vile anajaribu kumeza hasira na ukaliti mkubwa alionao, alifikia hatua kutumia wahuni kumshambulia Warioba ambaye ni mzee anaheshimiwa na wengi, akatoa zawadi ya ukuu wa wilaya, hakuna hatua zozote alichukua kwenye chama wala serikalini sasa fikiria hoja kubwa na muhimu kwa taifa kama hii CCM walileta fujo Leo ndio watakubali kuambiwa waliua watu october?
Indonesia
4
81
269
13.3K
Planet B retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Polisi wakiwa mtaani wakitekeleza MAUAJI Tarehe 29.10.2025 Hilo eneo ni stand ya zamani pale Iringa mjini, Iringa haitajwi kwenye Maafa ila kuna watu wengi waliuawa. Hizi ni video Mpya hazijawahi kupostiwa, Chande Sisi wananchi ni tume huru.
Indonesia
5
210
797
27.1K
Planet B retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Safi sana 💪🏽🔥
Türkçe
12
122
588
10.9K