
SURVEYOR ANDERSON
5.6K posts

SURVEYOR ANDERSON
@Magero255
(C.E.O),Surveyor ,GIS expert , Businessman.



Vunjabei Group chini ya Mtendaji Mkuu wake Fred Ngajiro maarufu kama Fred Vunjabei, leo imezindua rasmi jukwaa jipya la michezo ya kubahatisha lijulikanalo kama Vunjabei Bet, likianza operesheni zake hapa Nchini Tanzania, huku likiwa na mpango wa kupanuka katika Nchi saba za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati Akizungumza katika uzinduzi huo, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Aristides Robert Mbwasi, aliyemwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga, amempongeza Fred Vunjabei kwa jitihada zake za kutafuta fursa za Kimataifa na kuwekeza Nchini, akibainisha kuwa Sekta ya Ubashiri imeendelea kuwa na mchango mkubwa kiuchumi ambapo kwa mwaka 2024/2025 pekee imeingiza takribani Shilingi bilioni 260. Jukwaa hilo jipya linatarajiwa kutoa huduma si tu ndani ya Tanzania bali pia kuvuka mipaka na kuhudumia masoko ya Nchi saba jirani, hatua inayolenga kuongeza ushindani wa kibiashara na kuboresha huduma katika sekta ya ubashiri wa michezo Katika kufanikisha mradi huo, Vunjabei Group imeingia ubia na kampuni ya Kimataifa kutoka Nchini Italy iliyowekeza katika teknolojia ya uendeshaji wa mfumo huo, huku Kampuni hiyo ya ndani ikichukua jukumu la kuwekeza katika miundombinu, usimamizi na masoko katika Nchi zote zitakazofikiwa Ukuaji wa sekta ya ubashiri umeendelea kuwa kichocheo muhimu cha maendeleo ya michezo Nchini, ambapo kupitia udhamini wa Ligi, Vilabu na matukio mbalimbali, Kampuni za kubashiri zimechangia kukuza Vipaji vya Vijana na kuimarisha tasnia ya michezo, huku uzinduzi wa Vunjabei Bet ukitarajiwa kuongeza ajira, fursa za uwekezaji na ushindani katika Soko la burudani Nchini na Ukanda mzima. #MilladAyoUPDATES



Niwe tu mkweli kwa huu Mwaka nimekatatamaa sio chini ya mara sita.!!🙌

Nimefikiria winga ni Olise , Kvara , Doue then fullbacks wangu ni Dalot na Shaw ... mpaka nimetetemeka Should not be televised 😀

watu wanavunjwa moyo na chande — wana kila haki — lakini tunasahau kutambua how deeply entrenched ccm is kwenye kila nyanja ya maisha ya mtanzania. wewe ukiangalia unamuona jaji, igp, cdf; ccm wao wakiangalia wanaona wanachama wenzao tu. this isn’t by an accident; it’s by design:








