Israel Boy🇮🇱

1.2K posts

Israel Boy🇮🇱

Israel Boy🇮🇱

@Magomelo10

Kenya Kwanza

Nakuru, Kenya Katılım Mayıs 2020
854 Takip Edilen170 Takipçiler
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Tangu yule bro achomolewe kule, deals zimepungua sana, s/o to him, aliwapa sana wana ugali licha ya madhaifu yake ila alikumbuka kula na wana.
Filipino
28
25
663
43.8K
Son of God
Son of God@EliabuDanford·
Leo Injili imehubiriwa sana humu Twitter. Mtume Paulo anasema iwe kwa haki au kwa husuda Injili itahubiriwa.
Indonesia
9
30
189
5.2K
Israel Boy🇮🇱
Israel Boy🇮🇱@Magomelo10·
@AfricanoGooner @EliabuDanford @rayasel94 Halafu Nikwambie asilimia kubwa ya Wakatoliki na WaKKT wanaamini Yesu sio Mungu, sijui shida ni mafundisho ya madhehebu yao, I found to realize that ambao wanaamini Yesu ni MUNGU mostly ni wapeconteste
Filipino
1
0
0
7
Child of God
Child of God@InexorablesoG·
Umeandika blah blah nyingi sana humu na viuongo unavyovipush kuwa ukweli. Kama kitu hujui uliza, huwezi kuuliza ...kaa kimya, hiyo nayo ni hekima. Unasema Yesu hakuwa mkristo...sasa anakuwaje Mkristo wakati yeye ndio Kristo mwenyewe. Hilo neno "mpakwa mafuta" Masihi" ndio "CHRIST" hujui? Paul hakuanzisha Ukristo (Christianity). Hilo jina lilianza as a mocking name( Jina la utani) kwa wanafunzi wa Yesu katika mji wa Antiokia (Matendo 11:26). Kwasababu walikuwa wanafanya kama Christ (Kristo) wakawaita Christians(Wakristo). Ni kama leo uwaite watu wanaokufuata wewe na kuimitate everything unafanya kisha wataniwe waseme hao si "waGIPSON". Andiko nililoweka hapo juu linasema "hapo ndio kwanza walianza kuitwa Wakristo (Kalisome, Acts 11:26) Pia umeongea blah blah nyingi sana za kumuhusu Yesu kama mwanaharakati aliyetaka kufanya mapinduzi. Yesu mwenyewe alikataa. Kwasababu Wayahudi walifikiri na wanaamini Masihi ndio alipaswa aje hivyo na kufanya hayo. Ndio maana walikuwa wanamuuliza maswali kama ni lini tutarejeshewa ufalme wetu? Response za Yesu was so spiritual rather than kimwili. Yesu alikuja kufanya mapinduzi kweli ila sio ya falme za kidunia ila za KIROHO. Shetani alikuwa on the wheel na kifo cha msalabani cha Yesu na ufufuo wake vimetupa tumaini jipya la KUSAMEHEWA DHAMBI, KUPATANISHWA NA "MUNGU BABA" na KUOKOLEWA KUTOKA KWENYE UFALME WA GIZA. Haya yote matatu yanatokea kwenye maisha yako ukiamua kumuamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako maana yeye ndio njia ya kweli na uzima. Na Yesu akamundoa shetani kwenye wheel. We have all power in HIM ((spiritual power) Selah.
GIPSON BNN@mentor209

Yesu hajawai kuwa mkristo ila waebrania walimwita masihi “mpakwa mafuta” . Yesu ni mhayudi na alizaliwa Palestine 🇵🇸 wakati huo ikijulikana kama judea alizaliwa katika mji wa betleemu Yesu aliishi katika Torah ya musa. Pia wakati wake hakuwai kusali kanisani wala hakukuwa na

Indonesia
17
17
73
4.4K
Pope Mwita I
Pope Mwita I@EJ_Mwita·
Kwakua ni Mungu alizaliwa bila kuumbwa, alizaliwa na mwanamke bila mimba kutungwa, aliruhusu kuvaa mwili wa binadamu, akasurubiwa katika harakati za kuwafundisha wanadamu kumkiri, AKAFA. Akafufuka katika wafu kwakuwa ni Mungu, Akapaa Mbinguni kwakua ni Mungu.
Liquidity kensei⚡@Abdulrazack972

@EJ_Mwita Mungu anakufaga?

Indonesia
25
5
25
2K
Sir Baita
Sir Baita@paulbaita·
Waziri wa Ulinzi wa Israel jina lakela kwanza pia ni Israel, sawa na jina la nchi yake. On another hand, Waziri wa ulinzi wa Vingunguti yupo anabugia mabikra 72 muda huu😄.
Filipino
2
2
18
1K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Yesu hajawai kuwa mkristo ila waebrania walimwita masihi “mpakwa mafuta” . Yesu ni mhayudi na alizaliwa Palestine 🇵🇸 wakati huo ikijulikana kama judea alizaliwa katika mji wa betleemu Yesu aliishi katika Torah ya musa. Pia wakati wake hakuwai kusali kanisani wala hakukuwa na
Indonesia
130
51
386
46.9K
GIPSON BNN
GIPSON BNN@mentor209·
Yesu sio Mungu
Emmanuel C. Ngowi@Ngowi_Inc

@mentor209 @Mwinshehe07 BIBLIA NI NENO LA MUNGU. SINAGOGI SIO MSIKITI, YESU NI MUNGU, Umesema Yesu sio Mkristo UNAJUA KUA JINA LAKE NI YESU KRISTO NA WAKRISTO NI WAFUASI AU WANAFUNZI WA YESU KRISTO? SIWEZI KUSIKILIZA CHOCHOTE KILICHOKUJA MIAKA 600 BAADA YA YESU KRISTO.

Lietuvių
6
0
0
638