CodeMetal

483 posts

CodeMetal

CodeMetal

@CodeMetalai

Contact: [email protected]

Katılım Mart 2026
12 Takip Edilen15 Takipçiler
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Addy_Adams Kwanza wameharibu starehe ya mihogo ya coco. Ilikuwa sehemu moja simple ya kwenda na family na hata hautumii hela nyingi. Siku hizi budget ya mtu mmoja pale bora niende in good restaurant nikale a very good meal! Pia professionalism hamna, mtu anapark gari anavamiwa na watu 10
Indonesia
0
0
0
16
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Hao Machinga na Mawinga wa Mihogo hapo Coco Beach walimchangia jiwe 2mil ya form waache kulialia Mabanda yatolewe yamekaa kiuchafu sana. Tunachotaka maendeleo Mwekezaji aje hatujali Mjomba wa Oman, UAE au Beberu. Kikubwa WATOKE kazi iendelee mandhari ya jiji la Dar iwe safi 🤝
Indonesia
21
28
173
7.2K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@blackculer Na ukikaa sana na watu unaamini hauwezi kaa in silence with yourself.
Filipino
0
0
0
3
BARÇAGUY
BARÇAGUY@blackculer·
Moja ya vitu vinachukuliwa poa na kizazi cha sasa hivi ni kukaa mwenyewe ( kujitenga ) bila kuwa na watu wa kupiga nao story kubadilishana mawazo Hii ni hatari kuliko hata kisukari
Indonesia
7
11
43
819
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@prossoff Sikusimangi mkuu na sijui hali yako, ila kiukweli maisha ya chini huwa ni gharama kuliko ya juu. Mafuta ya 20k mara 5 na mafuta ya 100k kwa pamoja ni mbingu na ardhi, unapata milage nyingi zaidi ukiweza kuweka mengi kwa pamoja. Tuzidi kupambana kwakweli!
Indonesia
0
0
0
14
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Nimeenda Petrol station moja kupima mafuta ya 20k. Taa ya gari ilikuwa imewaka na ratio huwa naijua, hii gari nikiweka 20k gauge inapanda vizuri na taa inazima. Nimempa maelekezo apime fresh na sikushuka kwenye gari, sa anasema amemaliza lakini naona taa haizimi. Ikabidi niende nje ya pump nizime gari niwashe tena pengine itazima ila hakuna. Nikaondoka kwa imani kwamba itazima. Wakuu nimeenda about 3k mzigo hauzimi na gauge inazidi shuka. Nimemrudia ananipa receipt kwamba aliweka, nikazimia gari kwenye pump wakaita manager wao akasema jambo haliwezekani. Kwa hasira manager bila kunichukua maelezo akasema wanipimie tena ya 20k. Amepima na taa ikazima on the sport na gauge tayari ikawa imefika kwenye nill. Huyu dada amezingua ila mwisho wa siku nitaonekana mie ndio shida. Harrier engine 2AZ watu mnaelewa hiyo 20k unatembea kiasi gani.
ProsperNow. tweet media
Indonesia
94
30
514
56.6K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Baharyy25 @Jambotv_ Wanakera sana, ila turudi twende mbele na kurudi nyuma. Waki report ya nyumbani wanatekwa, wananyang’anywa leseni, wanafungiwa kufanya kazi. Then wa mtz watasikitika kwa wiki moja halafu wanaendelea na mishe zao kama kawa!
Filipino
0
0
1
7
Mbwaa wa Ileje.
Mbwaa wa Ileje.@Baharyy25·
@Jambotv_ Vp kuhusu Tanzania kummaye zenu, ina mana mambo ya nchi za watu ndo yanawauma sana mna ya adres ktk media zenu kuliko yale ya October 29, wasenge nyie
Indonesia
2
1
3
427
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: 📍AFRIKA KUSINI - Maandamano yaliyogeuka kuwa vurugu zinazolenga biashara zinazomilikiwa na wageni weusi zimeongezeka katika maeneo ya jimbo la KwaZulu-Natal, nchini Afrika Kusini, hali iliyosababisha maduka mengi kufungwa na kuibua hofu miongoni mwa raia wa kigeni wa Kiafrika wanaoishi nchini humo. Maandamano haya yanajiri wakati ambao Afrika Kusini ikiendelea kukabiliwa na kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira kinachokaribia asilimia 32, ambapo baadhi ya Wananchi wanawalaumu wafanyabiashara wageni, hususan kutoka Nigeria, Pakistan, Ethiopia na Somalia, kwa kudhibiti sekta ya biashara ndogo ndogo, ikiwemo maduka ya rejareja maarufu kama 'spaza shops'. Mnamo Machi 25, Polisi jijini Durban walilazimika kutumia risasi za mpira na mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji baada ya maandamano kugeuka kuwa vurugu, yakihusisha vitendo vya unyanyasaji na uporaji katika baadhi ya maeneo. Kabla ya maandamano hayo, maduka mengi yanayomilikiwa na wageni yalifungwa kwa hofu ya usalama. Kwa mujibu wa Vyombo mbalimbali, tangu kuanza kwa maandamano haya, video zimesambaa mtandaoni zikionyesha raia wa Afrika Kusini wakiwashambulia wafanyabiashara wa Kiafrika, wakidai kuwa wanachukulia ajira zao na kutokuwa na vibali sahihi vya kuishi nchini humo. Matukio haya yameongeza mvutano na hofu miongoni mwa jamii za kigeni zinazohusika. Wakati huo huo, maadhimisho ya mwaka mmoja ya vuguvugu la “March and March,” linaloongozwa na Jacinta Ngobese-Zuma, yalishuhudia ukaguzi ulioratibiwa wa biashara za wageni, hatua iliyoongeza mvutano zaidi katika maeneo ya biashara hizo. Makundi kama Operation Dudula, yakisaidiwa na vyama vya siasa vikiwemo ActionSA na Inkatha Freedom Party (IFP), yamekuwa yakitoa wito wa kuchukuliwa hatua kali zaidi dhidi ya wahamiaji wasio na nyaraka halali. Aidha, taarifa zimeeleza kuwa mamlaka zimefunga zaidi ya maduka 1,000 katika miezi ya hivi karibuni kutokana na masuala ya uzingatiaji wa sheria na afya, ingawa wakosoaji wanasema kuwa kanuni hizo mpya zinaathiri zaidi wafanyabiashara wadogo wa Kigeni. MUHIMU: BAADHI YA PICHA KWENYE VIDEO HII ZINA MAUDHUI YA KUOGOFYA
Indonesia
12
8
131
15.6K
CodeMetal retweetledi
Farai Mazhindu
Farai Mazhindu@FaraiMazhindu·
The most effective trap set for Africa was the preservation of a victimhood narrative, one that many Africans have unknowingly embraced. While former British colonies elsewhere have leveraged their history to build global powerhouses, too many African nations remain tethered to the past, settling for the bare minimum while perpetually blaming imperialism for modern stagnation. Singapore, Malaysia, and Hong Kong aren't so bad today. They're building and innovating, they're not participating in the Victimhood Olympics.
Farai Mazhindu tweet mediaFarai Mazhindu tweet mediaFarai Mazhindu tweet mediaFarai Mazhindu tweet media
English
143
366
1.3K
43.8K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Sirajitz1 Shuleni ulikuwa back bencher anae mchora mwalimu wa physics akiwa anafundisha!
Filipino
0
0
0
74
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Tuongee serious hapa Hivi friji huwa inabadili vipi umeme kuwa baridi?
Filipino
20
23
78
5.1K
Philiberty Silayo
Philiberty Silayo@Philiberty2071·
@pastajoshuatz Ila wa africa tuna jionaje tukiwa na uongozi kidogo .tuna ona walio kuwa chini yetu kama Mataka taka yani.sijui.tumelogwa na nani au ni asili yetu tumerithi kutoka kwa na babu zetu
Filipino
2
0
1
994
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Mwana katoka bongo kaingia SA kusaka dusko ana makaratasi kabisa kihalali lakini kachezea mikwaju ya kutosha kmmk Wasauzi wasenge sana huwezi ona wanamfanyia mzungu hivi na kuna sehemu katika nchi yao hawaruhusiwi kukanyaga 😖
Indonesia
65
29
240
19.7K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@pastajoshuatz Black south Africans wamekuwa spoilt brats. Uchumi wa nchi memuachia mzungu, ila sasa serikali yao inawapa vibenefits vingi vya bure ambavyo ni vya kuwapumbaza tu ili wasilete fujo!Wakiona mtu mweusi mwingine wanahisi anataka akawapokinye hivyo vi benefits vyao🚮🚮
Filipino
0
0
0
46
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@joeselasini @KulujiM I’ve made peace with it mkuu. Naamini naweza kuwa mwema bila kufuata an organised religion. Ni personal decision tu, bado naheshimu uhuru wa mtu kuabudu kile kinacho make sense kwake!
Indonesia
0
0
2
2
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
@CodeMetalai @KulujiM Unakosea kutoamini totally. Ndani yake kuna philosophy nzuri za maisha. Ukiondoa baadhi ya mambo dini zimekuwa taasisi bora kabisa za kufundisha maadili na maisha ya kiungwana na ya kistaarabu.
Filipino
1
0
1
9
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
Hatimae kanisa la Uingereza "Anglican Church" Kwa mara ya kwanza ktk historia limepata Mkuu wa kanisa Mwanamke. Hata hivyo Yesu Kristo hakuchagua mwanamke yeyote kati ya mitume wake kumi na wawili, kwa hivyo naona kampeni za usawa wa kijinsia hatimae zimewateka.
Mamwavi_Nkabasia tweet media
Indonesia
29
6
77
5.3K
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@KulujiM @joeselasini Yes, nadhani dini ilifaa iwe a moral guidance ya kufanya mtu awe mwema hapa duniani and through wema wake ndio akawe rewarded in the after life. Ila naona now dini imekuwa symbolic, mtu akienda nyumba ya ibada akatoa sadaka basi kamaliza. Huku mtaani anaendelea na maovu yote😅
Indonesia
0
0
2
6
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@KulujiM @joeselasini Mimi huwa nikiambia watu siamini kwenye uislam wala ukristo huwa naonekana kama the most evil person kwa wenye dini. Ila huwa naambia watu kama kutenda wema/kuacha maovu lazima uogope moto wa milele, wewe haukuwa a good person in the first place!
Indonesia
2
0
1
7
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@KulujiM @joeselasini Na hatari iliyopo ni kwamba huku kwetu tumefanya dini kuwa the only moral compass, tunaamini namna pekee mtu anaweza kuwa mwema ni akiogopa eternal punishment, shida inakuja kwamba hiyo hofu haipo tena, mila na desturi zetu tulishazitupa. Tupo kama a headless chicken!
Indonesia
2
0
2
22
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
@CodeMetalai @KulujiM Ni pamoja na kusambazwa mila na desturi zao. Dini zetu na hata vitabu vingi vina mila za Wazungu na Waarabu na usipokuwa makini utajikuta unatekeleza mila zao ukidhani ni muumini mzuri.
2
0
2
7
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@Sharb84 @Handre While external factors certainly created challenges for Ujamaa, but most of its failure stemmed from internal weaknesses. But I guess external blame is easier than internal accountability. China na Vietnam walijifunza kutokana na mapungufu wakafanikiwa eventually
English
0
0
0
11
Francis
Francis@Sharb84·
@Handre Stupidity from uninformed source. We are Tanzanians, we lived in that Era. You should also know of Kagera War and the role of WB and IMF in making sure African socialism does not survive in the cold war Era. Glorifying Capitalism is 🚮🚮🚮
Francis tweet media
English
2
0
6
274
Handre
Handre@Handre·
Tanzania's forced collectivization under Julius Nyerere killed more people per capita than Stalin's agricultural disasters, yet Western intellectuals still romanticize ujamaa as "African socialism." Between 1967 and 1975, Nyerere's government forcibly relocated over 13 million Tanzanians—roughly 80% of the rural population—into collective villages called ujamaa. The state promised modern amenities, shared prosperity, and liberation from "capitalist exploitation." Instead, they delivered mass starvation. Agricultural output collapsed by 50% within five years. Food imports skyrocketed from 50,000 tons in 1970 to 400,000 tons by 1974. Rural villagers who had fed themselves for generations suddenly couldn't grow enough grain to survive winter. The mechanics were predictably Austrian. When you destroy private property rights and eliminate price signals, you obliterate the knowledge that makes agriculture work. Farmers knew their local soil, rainfall patterns, and crop rotations. But central planners in Dar es Salaam decided that "scientific socialism" trumped centuries of accumulated farming wisdom. They forced communities to abandon fertile ancestral lands for designated plots that bureaucrats selected from maps. Villages that resisted faced military force—troops literally burned homes to drive families into the collectives. And the damn tragedy continues reverberating today. Tanzania remains one of Africa's poorest countries, importing food despite having some of the continent's best agricultural land. Per capita income in 2023 sits at $1,192—lower than Bangladesh. You can draw a straight line from ujamaa's destruction of property rights to Tanzania's persistent poverty. But mention this at any development economics conference and watch professors explain how Nyerere had "good intentions" and the real problem was "insufficient implementation." Lesson: Collectivism fails equally hard across race, language, geography, population size, education level, continent, or any other possible metric you can dream of.
Handre tweet media
English
141
887
2.5K
91.1K
Zoom Afrika
Zoom Afrika@zoomafrika1·
20 most popular historical leaders in Africa 1. Nelson Mandela 2. Julius Nyerere 3. Robert Mugabe 4. Thomas Sankara 5. Kwame Nkrumah 6. Patrice Lumumba 7. Samora Machel 8. Ahmed Ben Bella 9. Muammar Gaddafi 10: Idi Amin Dada 11. Haile Selassie 12. Keneth Kaunda 13. Shaka Zulu 14. John Pombe Magufuli 15. Jommo Kenyatta 16. Samoure Toure 17. Saidi Saeed 18. Jonas Savimbi 19. Milton Obote 20. Nnamdi Azikiwe
Zoom Afrika tweet media
Indonesia
32
31
117
10.9K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Naskia hawa mademu wanaouza potassium dsm wakishachoka sasa wanataka watulie waanaenda mwanza au kanda ya ziwa uko ambapo hawajulikani wanatulia wanapata ndoa fresh tu
Indonesia
2
4
32
647
CodeMetal
CodeMetal@CodeMetalai·
@KulujiM @joeselasini Ukiangalia historia kwa umakini, dini (mostly uislam na ukristo) tangu mwanzo vilikuwa ni zana ya siasa na utawala. Dola zote kubwa zilikuwa zimejiegemeza kwenye dini.
Filipino
2
0
2
11
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Nipo tandika aisee uku maisha marahisi Sana imagine hichi kihepe jero #Ngassa loves tandika
NGASSA+255 tweet mediaNGASSA+255 tweet mediaNGASSA+255 tweet media
Eesti
18
11
114
5.4K