pilipili nyingi limao kwa mbali

231 posts

pilipili nyingi limao kwa mbali

pilipili nyingi limao kwa mbali

@MahamudHas27562

Katılım Aralık 2024
54 Takip Edilen11 Takipçiler
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Oit of ten, Unalipa marks ngapi hili goli la Clatous Chota Chama.
Presenter Noah tweet media
Filipino
13
5
213
2.8K
killo_Killotz
killo_Killotz@killo_killo11·
Aisee content inalipa wazee nani yupo tayari tuanze kutoa content.🤔
killo_Killotz tweet media
Filipino
20
18
123
5.4K
#Dr Gudume The PDF Guy 🇹🇿
Asaivi napata likes mpaka 400 nampita Millard Ayo Aloo mimi ni mkubwa,hefribade sei yeeeea😹😹😹🙌
Filipino
3
10
33
783
pilipili nyingi limao kwa mbali retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️AMKENI!.. AMKENI!.. AMKENI!..‼️ Katika hali isiyokuwa ya kawaida zile gari za Gereza la Ukonga ambazo huwa zinambeba Mhe. Tundu Lissu, leo asubuhi zimeonekana zinatoka Magereza, Magari yote yanayotoka Gongo la Mboto yesimamishwa. Shuhuda aliyeshuhudia gari hizo anasema kwa jinsi ulinzi ulivomkali mkali anahisi huenda ni Mhe. Lissu, jamaa amepotezana na msafara huo maeneo ya Posta pale Stesheni ila gari hizo zilikuwa zinaelekea Mahakamani japo hajui kama ni Mahakama ya rufani au Mahakama kuu maana hizi Mahakama majengo yake yapo karibu. Najiuliza Je, Serikali haram imeamua kumpeleka Mahakamani Mhe. Lissu kimya kimya bila kujulisha Mawakili wake au CHAMA? Au kuna mtuhumiwa mwingine ambae kapelekwa Mahakamani kwa ulinzi mkali kama ambao huwa wanampa Mhe. Lissu? Mliopo Mahakama tusaidieni kujua ukweli juu ya jambo hili.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
36
197
1.3K
76.7K
pilipili nyingi limao kwa mbali retweetledi
ASTRA
ASTRA@TzAstra2014·
Tuna video zaid ya 1000 endelea ku retweet hii ngoja nijaze bando hapa muone we need 1000 retweets please SAMIA AMEUA SANA WATANZANIA
Indonesia
19
465
753
57.2K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Wasameheni ili kupunguza nguvu ya opposition dhidi yenu na kuongeza nguvu, mpo vitani you need as many upande wenu as possible ila muwaweke back bench kabisa. Yani wawe wanapika chai au kufagia ofisi ila msiwape nafasi yoyote ya kuwa watu wa muhimu ndani ya chama. Yani fanyeni kama chama cha mauaji (CCM) kilivyofanya baada ya uchaguzi wa 2015. Walisamehewa wasaliti wakarudi kwenye chama ila wakatupwa back bench huko. I think only 1 person deserves forgiveness ya Chadema na kurudi kwenye nafasi ya uongozi iwapo ataomba msamaha vizuri, huyu ameonyesha regret kwa kutokutafuta nafasi kwenye chama cha mauaji 2025. I think wote tunamjua, Ila wengine wakirudi warudi kufagia ofisi hata huku online hatutaki kuwasikia.
Hilda Newton@HildaNewton21

ONCE A TRAITOR, ALWAYS A TRAITOR. Waliondoka kwa mbwembwe nyingi wakakitukana sana Chama pamoja na Viongozi wetu matusi ya kila aina. Wengine wakaenda mbali zaidi wakaanza kusema #NoReformsNoElection ni uhaini, wakawa wanasema wanashangaa inakuaje Serikali haimkamati Mhe. Lissu wakati anahamasisha UHAINI hata haikuchukua muda Mhe. Lissu akakamatwa na kupewa kesi ya Uwongo mpaka leo ni zaidi ya Mwaka mmoja yupo jela. Walisema CHADEMA imepoteza mwelekeo mara sijui CHADEMA ishajifia bora waende huko wakatimize ndoto zao kisa waliambia watapewa majimbo 20 na Viti maalum 25. Mungu alivofundi walikula kofi la uso wakaangukia pua sasa baada ya kukosa Ubunge kama walivoahidiwa leo wanajifanya wameweka mikono nyuma, wanaomba kurudi kwenye CHAMA as if sio wao waliokua wanatukana mitusi na kudhalilisha Viongozi wetu. Hawa watu sio wakuwachekea maana msaliti ni msaliti, kama waliweza kutusaliti jana unadhan nini ambacho kitamzua kutusaliti leo/kesho..?

Indonesia
73
105
806
78.5K
#Dr Gudume The PDF Guy 🇹🇿
Kama kuna sehemu umekwama lodge kisa njuluku na demu kakomalia TASAF yake Nipigie 0717219255 Nakuja kama afande uvumilie tu makofi ndio pona yako.
1
1
3
69
pilipili nyingi limao kwa mbali retweetledi
R.M
R.M@shibobo___·
Alojenga msikiti mkubwa na maarufu Dar pale magomeni Masjid Kichangani kumbe ni MWANAMAMA, Ule msikiti ni wa 310+ kwa misikiti alojenga duniani wakati wa uhai wake, Mungu ampe malipo thabiti, Watu wanatafuta PEPO 🙏🙏🙌🙌
R.M tweet media
Indonesia
32
42
520
17.1K
𝑴𝒐𝒉💥
𝑴𝒐𝒉💥@Mohtech26·
@MahamudHas27562 @ze_mandevu Kishindo hakikuwa kikubwa kwa sababu chombo kilifungua parachute kupunguza speed ya chombo mpaka kutua kwenye maji na pia walikuwa wapo kwenye viti wamekaa na kujifunga belt
Filipino
1
0
1
218
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Nadhani bado wengi wetu tuna fikra za kimaskini yaani kwa Dunia ilipofika sasa NASA watupe story za kutunga, wakati miaka ijayo huenda kuna Mataifa mengi yaliyoendelea nayo yataweza kwenda kufanya tafiti huko kwenye Sayari kitakacho baki NASA wataweka Legacy kuwa Watu wa kwanza kufika huko.
The mandevu tweet media
Indonesia
60
44
670
35.7K
Joh
Joh@Venomous_992·
@MahamudHas27562 @ze_mandevu Kama kimondo tu kikiwa kinadondoka kutoka juu huwa hadi kinawaka moto na kuteketea kabisa kutokana na friction lkn chombo cha nasa hakijaathirika na hilo
Filipino
1
0
1
26