๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ
16.5K posts

๐ด๐๐๐ฅ
@Mohtech26
๐ฌ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐ณ๐๐๐๐๐๐๐๐ & ๐ป๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐.
Dar es Salaam, Tanzania Katฤฑlฤฑm Aฤustos 2020
3.7K Takip Edilen2.3K Takipรงiler
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi

HIVI NDIVYO CHOMBO KIMEGAWANYIKA LIVE.
Kikosi cha chombo cha anga cha Orion spacecraft na sehemu yake ya huduma (service module) vimetengana.
Kapsuli ya wanaanga inaendelea na safari yake kurudi duniani, huku sehemu ya huduma ikitarajiwa kuungua kwa usalama katika angahewa ya Dunia juu ya Bahari ya Pasifiki.
System' ya Artemis II imebuniwa kwa umakini mkubwa ili kuhakikisha kwamba mabaki yoyote yanayoweza kubaki hayawezi kusababisha hatari kwa ardhi, watu, au njia za usafiri wa majini.
Indonesia

@cleansheet_1 @fredmjohn Ilo shimo wanaita "cretor" linatokana na mawe makubwa yanayoanguka kutoka juu na kugonga juu ya mwezi
Filipino

@MahamudHas27562 @ze_mandevu Kishindo hakikuwa kikubwa kwa sababu chombo kilifungua parachute kupunguza speed ya chombo mpaka kutua kwenye maji na pia walikuwa wapo kwenye viti wamekaa na kujifunga belt
Filipino

@ze_mandevu Hiko chombo kipindi kinatua humo ndani hao jamaa walijizuia vipi na kishindo mpaka wote kuwa hai
Filipino

Nadhani bado wengi wetu tuna fikra za kimaskini yaani kwa Dunia ilipofika sasa NASA watupe story za kutunga, wakati miaka ijayo huenda kuna Mataifa mengi yaliyoendelea nayo yataweza kwenda kufanya tafiti huko kwenye Sayari kitakacho baki NASA wataweka Legacy kuwa Watu wa kwanza kufika huko.

Indonesia

@AmryThompson @ze_mandevu @kijitu20 Hii mada inaitaji uwe na shule mkuu...we subiri jioni tutaongelea "nyeto" utachangia๐ค
Filipino

@ze_mandevu @kijitu20 Kwa kifupi ni haiwezekan kuenda huko mwezini na elimu hii mungu bado hajampa mwanadamu yoyote zaid ya manabii walopita hawa wapumbavu wanaingia photoshop wanafanya yao chumban mnasubiri BBC wawatangazie
Indonesia

@ReganiMmary @ze_mandevu Kushuka ni fee fall(gravity inakuvuta chini) ila kupanda unaitaji rocket booster ili kuikimbia force inayokuvuta chini upande juu
Suomi

@ze_mandevu Kurudi ni free fall mzee sabab unakua unavutwa na gravity ya dunia hauhitaji rocket ambayo itatumia mamilion ya liter za mafuta unahitaji tu chombo kinacho weza kuvumilia kukatiza angahewa ya dunia (ozone layer) bila kuungua then unadondoka baharini
Indonesia
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi

Alllah is the greatest ๐ญ๐ฎโ๐จ๐
32m won ๐ฎโ๐จ๐พ๐ฅ
GIVEAWAY, Like and retweet and drop Bet id under for 50k


FED๐ฆ
@fado_fft
SQ9SX4, SQ9SX4, QC44X2, M0A5YF
English
๐ด๐๐๐ฅ retweetledi



















