Man Mupaya

5K posts

Man Mupaya

Man Mupaya

@ManMupaya

Katılım Şubat 2026
53 Takip Edilen51 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Man Mupaya
Man Mupaya@ManMupaya·
Kwa mujibu wa taarifa zinazosambaa jambazi huyu hatari Bwana Banjoo hakuuwawa na vyombo vya dola wala kwa operesheni ya serikali. Inadaiwa kuwa ni watu binafsi hususan familia alizowahi kuzitendea ukatili huko nyuma ndio waliojichukulia sheria mkononi na kulipiza kisasi.
Man Mupaya tweet mediaMan Mupaya tweet media
Indonesia
13
15
62
13.5K
Man Mupaya retweetledi
Rastafarian_culture
Rastafarian_culture@IgoraIrene32964·
Nliwahi kupewa Apartment Masaki niishi bure tu hadi mwenyewe akirudi alikuwa Nje ya Nchi niseme ukweli Gharama za pale tu peke yake bills tu zilinishinda nikairudisha nikahamia zangu kwa Aziz Ally tu😂
Rastafarian_culture tweet media
Indonesia
35
54
525
15.6K
Angel17💞
Angel17💞@angelish17·
Watu wana moyo
Angel17💞 tweet media
Indonesia
29
8
212
36.7K
Man Mupaya retweetledi
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
RAIS DKT. SAMIA KUNOGESHA KONGAMANO LA KITAIFA LA MAMALISHE NA BABALISHE Maelfu ya wafanyabiashara wa Chakula maarufu kama Baba Lishe na Mama Lishe nchini wamejitokeza kwa wingi katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre JNICC katika Kongamano lililoandaliwa na Umoja wa Mama Lishe(UMALITA) Kongamano hili ni tukio la kihistoria linalowakutanisha maelfu ya mamalishe na babalishe kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, likiwa na lengo la kuimarisha mshikamano, kuinua uchumi wa mwananchi wa chini, na kutambua mchango mkubwa wa sekta hii katika maendeleo ya taifa letu ambapo Mgeni Rasmi wa kongamano hili ni Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ngadu tweet mediaNgadu tweet mediaNgadu tweet mediaNgadu tweet media
Filipino
0
16
14
121
Man Mupaya retweetledi
Man Mupaya
Man Mupaya@ManMupaya·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. @SuluhuSamia akiwa kwenye picha na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Viongozi Afrika (AWLN), uliongozwa na Mlezi wake Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Liberia Mhe. Ellen Johnson Sirleaf, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Aprili, 2026.
Man Mupaya tweet mediaMan Mupaya tweet mediaMan Mupaya tweet mediaMan Mupaya tweet media
Indonesia
0
10
7
58
Man Mupaya retweetledi
MK47TA
MK47TA@MK47TA·
CHADEMA NA WANAHARAKATI UDUVI NDIYO WATU WA KWANZA KULAANIWA, KULIPIA NA KULAUMIWA KWA KILE KILICHOTOKEA TAREHE 29 OKTOBA. Inapofika wakati wa kutathimini majeraha ya jamii hatuwezi kuendelea kulea unafiki unaovikwa koti la utetezi wa haki. Tukio la Oktoba 29 si ajali ya kisiasa bali ni matokeo ya mpango uliosukwa kwa makusudi na watu walioamua kuweka mbele maslahi yao ya kidhalimu kuliko usalama wa nchi. Ni lazima sasa tuweke kando staha na kusema ukweli wale waliochochea moto huu hawawezi kuendelea kutembea mitaani wakiwa wamenawa mikono kana kwamba ni wasafi. Kundi la kwanza linalopaswa kulaaniwa kwa uzito wa kipekee ni hawa wanaojiita "wanaharakati uduvi." Hawa ni watu waliojigeuza madalali wa machafuko wakitumia kalamu na ndimi zao zenye sumu kupotosha ukweli na kupandikiza chuki mioyoni mwa watu. Ushiriki wao katika kuandaa mazingira ya Oktoba 29 ni kosa ambalo halipaswi kusahaulika wala kusamehewa. Ni lazima kila mmoja wao abebe mzigo wa lawama hizi na kukilipia kila tone la usaliti walilofanya dhidi ya jamii iliyokuwa ikiwaamini. Vilevile Chadema wanapaswa kutambua kuwa dharau yao kwa akili za wananchi imefika kikomo. Huwezi kuwa mstari wa mbele kujenga misingi ya vurugu, kisha matokeo yanapokuwa mabaya unajifanya kuwa mlalamikaji. Huu ni uhuni wa kisiasa na ni dharau iliyopitiliza, Chadema ni washirika wakuu wa kila kilichotokea Oktoba 29 na jaribio lao lolote la kujitenga na lawama hizi ni sawa na mchawi anayeomboleza kwenye msiba aliosababisha mwenyewe. Unafiki wao ni sumu inayopaswa kutokomezwa kwa uwajibikaji wa kisheria na kijamii. Haki haiwezi kupatikana kama tutaendelea kuwakumbatia wahalifu hawa wa kimaadili. Ni lazima Chadema na wanaharakati uduvi wawekwe kwenye mizani moja ya usaliti. Hawa ni watu walioamua kucheza na amani ya nchi kwa ajili ya kupata kiki za kimataifa na ruzuku za kigeni. Oktoba 29 itabaki kuwa alama ya uovu wao na ni lazima iwe mwanzo wa wao kukilipia kila walichokifanya kwa gharama itakayowafanya wakumbuke kuwa nchi hii ina wenyewe. wakati wa kuchezewa akili umekwisha. Kama kuna watu wa kwanza kulaaniwa na kuwajibishwa basi ni hawa waliochagua barabara ya uharibifu. Lawama hizi ziwafuate popote walipo na malipo ya matendo yao yawe funzo kwa vizazi vijavyo kuwa usaliti dhidi ya nchi na amani yake hauna msamaha.
Indonesia
6
26
22
532
Man Mupaya retweetledi
Ngadu
Ngadu@1ngadu1·
Serikali ya Tanzania imeonyesha kipaumbele kwa wananchi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuagiza fedha zilizokuwa zimetengwa kwa maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zielekezwe katika ukarabati wa barabara zilizoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Akitoa taarifa hiyo jijini Dodoma, Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba alisema hatua hiyo inalenga kuhakikisha miundombinu inarekebishwa haraka ili kurahisisha usafiri na shughuli za kiuchumi kwa wananchi. Ameeleza kuwa maadhimisho ya miaka 62 ya Muungano yatafanyika kwa unyenyekevu katika ngazi ya mikoa, yakihusisha viongozi wakuu kutembelea na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo. Uamuzi huu unaonesha mwelekeo wa Serikali kuweka mbele mahitaji ya wananchi, kwa kuhakikisha rasilimali zinatumika pale zinapohitajika zaidi kuimarisha miundombinu na kuboresha maisha ya Watanzania.
Ngadu tweet media
Indonesia
0
13
10
170
Man Mupaya retweetledi
Salim Alkhasas
Salim Alkhasas@salim_alkhasas·
Mtu anataka mkopo wa boda boda wewe unamletea habari za capacity building… ushawahi endesha boda juani wewe mpaka umcapacity? 😂😂😂😂
HUGO@deohugo

@salim_alkhasas Nakubaliana na wewe. Kwa wenzetu wa India, China na wengine, hizi capacity building huanza mapema kabisa….zinajumuishwa moja kwa moja katika ngazi za chini za elimu. Kuna umri ukifika, ni kutafuta tu…si rahisi kumrudisha mtu darasani.

Indonesia
0
6
7
791
Man Mupaya retweetledi
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Rais Samia anafanya mambo ya mwaka wa mbele sana. Trust me ni ndoto ya kila nchi kuwa na Rais aina ya Samia.
Filipino
3
13
13
182
Man Mupaya retweetledi
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Mama Lishe wamependekeza soko la Kisutu na Forodhani liwe soko maalum la Baba Lishe na Mama Lishe, likiwa pia kivutio cha utalii kwa kuonesha na kutangaza mapishi ya asili. Huu ni wazo limefikiwa kwa sauti kubwa na maono mapana linastahili pongezi. 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 Dear Samia lipokee.
Filipino
4
28
24
213
Man Mupaya retweetledi
cousin 420
cousin 420@420Cousin·
Ndugu Jumaa Hamidu Aweso mbunge wa Pangani na Waziri wa Maji ni mtoto wa Mama Lishe maarufu Pangani -Tanga ni miongoni mwa wahudhuriaji wa siku hii kubwa UMALITA Day.
Indonesia
4
16
24
428
Man Mupaya retweetledi
kichefuchefuu
kichefuchefuu@kichefuchefuu·
Uongozi unaojali unaonekana kwa vitendo! 🙌 Mama Lishe na Baba Lishe wako moyoni mwa Rais Samia Suluhu maendeleo yanapita kwa vitendo, sio maneno tu.
Filipino
0
25
14
161
Man Mupaya retweetledi
Africa Facts Zone
Africa Facts Zone@AfricaFactsZone·
African Countries That Contribute The Most To Intra-African Trade 1. South Africa - $39.2 billion 2. Egypt 🇪🇬 - $10.5 billion 3. Cote d'Ivoire 🇨🇮 - $8B 4. Morocco 🇲🇦 - $7.4B 5. Namibia 🇳🇦 - $7.1B 6. Zambia 🇿🇲 - $6.2B 7. Tanzania 🇹🇿 - $5.8B 8. Nigeria 🇳🇬 - $5.2B 9. Ghana 🇬🇭 - $4.7B 10. Kenya 🇰🇪 - $4.6B
Africa Facts Zone tweet media
English
87
190
777
39.4K
Man Mupaya retweetledi
Angelo Izama
Angelo Izama@Opiaiya·
Avoid Naguru Police HQ. Rush for fuel at the new Shell across the Ministry of Justice has clogged the road. Some clever fuel manager working for a ministry issued an order for fueling of GoU cars at this station ( with predictable consequences)
English
22
142
832
109.9K