Sabitlenmiş Tweet
#MaraHood
5K posts

#MaraHood
@MaraHo0d
Agriculturist||Food & Biochemistry Guru||Siyo kila Mzee ana Busara, kumbuka wapumbavu pia huzeeka.|
Miami, FL Katılım Mayıs 2015
362 Takip Edilen543 Takipçiler

@VungaEl74 Huu wa ndani unahitaji sacrifice kubwa kuupata kuliko ule wa zamani, bora mzungu alikua na ka utu, aibu na kiasi...huu wa sada ni kazi na mtutu unasonga.
Filipino

@VungaEl74 Uhakika mkuu, nilinunua Hoda CD ya Japan tanguy 2018 mpaka Leo sijawahi kuifungua injini🤣😁
The same na home mzee na bi mkubwa walikua wananunua redio za Sony mpaka wanauza hazijawahi kufunguliwa kutengenezwa.
Indonesia

@njiwapori_ Mifumo ya dunia haikuja kumnufaisha mtu ambae hana kila kitu, na haikuundwa ili mtu apate kitu bure, ndo maana hata sisi watu wa kilimo tuliletewa mbolea chumvi na mbegu chotara za kupanda na kuvuna mara moja...ni rahisi kumcontrol mtu ambae yuko kwenye scarcity...siyo abundance.
Indonesia

@Mwinshehe07 Au la Sativa la kuwatukania kina Girishoni na Daudi😁🤣🤣🤣 kasheshe
Filipino

@rayasel94 Jamaa anajikuta haelewi kaitiwa nini au ndo mgeni rasmi wa mahafali wanataka wampe kazi ya kukarabati madawati yaliyoharibika?🤣🤣
Indonesia

@Mwinshehe07 Miaka 13 bila kombe lolote mchezo?...viungo lazima viume.
Lietuvių

Kipindi nimeoa, kuna siku niliacha elfu 12 nyumbani halafu nikaingia town kusaka michongo.
Niliporudi usiku nikakuta wife amepika ugali na mrenda na hela imeisha.
Ile siku ndo niliamini ndoa siyo ya kila mtu.
#KataaNdoa
Filipino

@kighera50 @VungaEl74 @AlexSamoja Mi nahisi zamani ni kama walikua wakweli, saivi wameingiwa na tamaa wameanza utapeli.
Filipino

@VungaEl74 @AlexSamoja Mimi nikiwa mdogo tukitumia vitu vingi vya mchina, Thermos inakaa mpaka ukiigusa inamong'onyoka ile plastiki na bado inadunda, kupooza sahau, vikombe vya dongo vinamong'onyoka juu sio kupasuka, njoo sasa kwenye Baiskeli Phoenix, flying pegion, na Shang- sheng, wasukuma wanazijua
Indonesia

@MaraHo0d Kama mshahara haukutoshi ukiwa pekeako unadhani ukiwa majukumu ndo utatosha mahitaji?
Ni vile tu Africa tume normalize kuishi kienyeji ila tulitakuwa kudhibitiwa hata uzazi,
Mtu Hana kazi maalalum yupo kwenye nyumba ya kupanga anazaa watoto sita, kama sio ujinga ni Nini?🚮
Indonesia








