Sabitlenmiş Tweet
Dopamine
393 posts

Dopamine
@MaybachVert
Arcanus Invisibilis 📡 Media & Systems Analysis. Decoding the unseen patterns in tech and society. 👁️ Tunazindua fikra.
Digital Space Katılım Nisan 2026
70 Takip Edilen71 Takipçiler

@MaybachVert @Mwinshehe07 @mTusiOriginal @COMCOMsvym Bot limepambana kuzinyaka pesa za mlamba ulimbo 🤣🤣
Indonesia

@Mwinshehe07 Yah kuna bro angu anafanya hii but yeye anauza baloo so rejareja
Indonesia

Una 2M Benki Umeiacha Pesa Hiyo Ilale wakati mitumba inaweza Kukuzalishia Pesa Kila Siku?
Watu wengi wakishakuwa na akiba kidogo huishia kuiacha benki bila mpango wowote wa kuizalisha. Lakini ukiwa na kazi yako ya kawaida au chanzo kingine cha kipato, unaweza kutumia sehemu ya pesa hiyo kuanzisha biashara inayozungusha hela haraka huku ukiendelea na shughuli zako kama kawaida
Moja ya biashara zenye faida kubwa na risk ndogo East Africa ni biashara ya mitumba (second hand clothes). Mahitaji yake ni makubwa kila siku kwa sababu watu wengi wanahitaji nguo nzuri kwa bei nafuu na mitumba sio biashara ya kushindwa maisha kama watu wanavyodhani ni biashara inayoweza kukuletea cashflow nzuri sana ukiifanya kwa akili
Jinsi Ya Kuanza Kwa Mtaji Wa M2
>Tafuta sehemu yenye watu wengi kama karibu na soko, vyuo au stand.
>Nunua mizigo 3–5 ya nguo zinazouzwa haraka kama jeans, T-shirts, dresses, jackets na nguo za watoto
>Tengeneza duka au meza yenye mpangilio mzuri na usafi
>Ongeza vitu vidogo kama viatu, mikoba au caps kuongeza faida
Tumia WhatsApp Status, Instagram au TikTok kuonyesha mzigo mpya (Social media)
Makadirio Ya Gharama
↪️Mizigo 3 ya mitumba 1M – 1.3M
↪️Kodi ya sehemu 300K – 500K
↪️Vifaa vya duka 150K – 250K
Faida Inayowezekana
Profit yake ni kubwa kwa sababu unanunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei nzuri kadri unavyoweka stock nzuri na kuwahudumia vizuri wateja, ndivyo biashara inavyozidi kukua
NB:
Hata ukiwa na 500k unaweza kuanza kidogo kwa meza au kibanda kisha ukapanua taratibu.
Pesa ikilala benki haikuzalishii chochote, lakini pesa ikiingia kwenye biashara inayozunguka kila siku inaanza kukutengenezea uhuru wa kifedha polepole
Indonesia

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏😍
👉Bei 27,000/=
Wa.me/+255717251747
Au 0714336827
👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA


Filipino

Kama unaamini eti vita ya Maji maji ambayo iliongozwa na Kinjikitile Ngwale watu walidanganywa kuhusu maji basi jipe muda utafakari vizuri, kama ilikuwa ni uongo iliwezekana vipi vita idumu kwa miaka 2?
Mtu anaona mwenzake hapo anasema “maji” anapigwa chuma anakufa na yeye anaenda tu?
Vita ilianzia Kilwa ikaenda kumalizikia Songea huko, ingekuwa kama ambavyo tumeambiwa vita ingeishia Kilwa hapo hapo na usingechukua hata miezi 6.
Na kitu kingine wengi hawajui ni kwamba Kinjikitile aliuwawa mwaka ule ule vita imeanza 1905 so walipata viongozi mwingine wa vita hapo katikati, na wao walikuwa wana wadanganya watu hivyo hivyo “sema maji?”
Kuna vitu hawajatuambia
Indonesia

Siasa sio uadui,siasa sio chuki,unajimudu kwa hoja achilia Lissu mzinese live,Tunamwitaji Mandela wetu,🇹🇿💔
#FreeTUNDULISSnow

Suomi































